BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Mhhh aise mbona hatariWaulize Dr Kashimba alie na Siri aina ya majeraha ambayo hata Familia ilikataliwa kuona, pia Muulize Mzee Kizota yule mwenye Bar viwanja vya Saba Saba, alikuwa bodi gadi yake, wakimbizi waliokuwepo maeneo ya karibu na ajali wanadai kuona bodi gadi huyo akifyatua risasi, muda mfupi tu baada ya mheshimiwa kutoka nje ta gari kujaribu kukimbia. Muulize Mwalimu Nyerere aliekuwa Rahisi wa Tanzania
Tukipata jibu lake mzizi wa fitna utaishaKitu kinazidi kunichanganya ni kua safari za kiongozi kama waziri mkuu kunakua na msafara wa magari kibao yakiwamo ya polisi na TISS unakuta magari mengine yanazuiwa barabarani kupisha msafara sasa kwa huyu sokoine ilikuaje hiyo gark ilimgonga sokoine isizuiliwe kupisha msafara wa mkubwa waziri? au enzi hizo safari za viongozi hazikua na ving'ora? kichwa kinauma.
Daahnilikua bado mdogo sana,ila nakumbuka kipindi wanatangaza ndo nilikua natoka RTC kununua sukari ,ndo nikasikia ulikua mshituko na hudhuni sana tulifuatilia mazishi live kupitia RTD.
Kisha nikiwa sec miaka ya 90 tukawa na urafiki na mtoto wa mmoja wa mkuu wa majeshi ambae pia kwao ni butiama karibu kabisa na kwa jk,akawa anatuambia ni siri kubwa ila mwili wa sokoine ulikutwa na jeraha la risasi mgongoni.
Ila sikuwahi kuamini asee.
Angalia usijepata matatizo kama aliyopata mwalimu wa Sarafina remember?Mkuu mbona unanitishia tena? nina haki ya kutaka kujua mambo haya muhimu ukizingatia mi ni mwalimu wa masomo yanayo landana na matukio ya nchi yetu.
nimeipenda hiiRest in Peace
Fatilia uteuzi mpya wa mabalozi kuna jina lina sound alike cna hakika kama ni jina tu au laHivi kuna fadhila zozote wanazopata familia ya sokoine baada ya kifo chake? Naomba mnijuze.
Mkuu Karume baba alipigwa risasi na shemejie mwaka 1977 na mwaka huo 1984 rais alikuwa mzee Jumbe
acha kufukua makaburi. JPM atakuzinguaWadau ningependa kujua chanzo halisi cha kifo cha waziri mkuu wa zamani hayati Sokoine kwa vile alipofariki nilikua bado sijazaliwa, nimejaribu kupitia baadhi ya makala mbali mbali naona hazielezi mazingira halisi ya ajali hiyo kwa msingi huo napenda kushare na nyie maswali kadhaa;
1. Ajali iliyosababisha kifo cha Sokoine ilikuwa ya aina gani? Kupinduka kwa gari, kugongana uso kwa uso? ama kugonga mti?
2. Katika hiyo ajali hayati Sokoine na dereva wake walifia papo hapo ama hospitali?
3. Kama ni ajali ya magari kugongana uso kwa uso vipi kuhusu dereva na watu walio kuwemo kwenye gari ya pili walikufa ama wako hai?
4. Kama wako hai vipi dereva alichukuliwa hatua gani? maelezo ya dereva yanasemaje?
4. Ushahidi wa mashuhuda wa hiyo ajali wanasemaje?
5. Uchunguzi wa polisi unatoa maelezo gani kuhusu ajali iliyo sababisha kifo cha sokoine? ni uzembe wa madereva? au ni matatizo ya kiufundi? ama ni conspiracy?
6. Eneo la ajali ni wapi? i mean kijiji,kata,wilaya na mkoa gani na ilikua mda gani mchana au usiku?
7. KWA NINI HAKUNA SOKOINE DAY KWENYE KALENDA YA NCHI YETU KAMA ILIVYO NYERERE DAY NA KARUME DAY?
Kuna maswali mengi sana ila kwa leo naomba niyaweke hayo muhimu.
Chinga 1.
Alifariki mchana kwenye saa saba hivi. Tangazo rasmi likatolewa na Nyerere jioni kuanzia saa kumi.Pichani ni gari lililosababisha kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Mhe:Edward Moringe Sokoine mnamo Tar 12 Mwezi 04 Mwaka 1984 wakati akitokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma kwenda jijini Dar Es Salaam
Picha hapo chini ikimuonyesha Baba wa Taifa ambaye naye ni marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akilia kwa uchungu baada ya kuona mwili wa aliyekuwa rafiki yake kipenzi Waziri Edward Sokoine ukiwa umelala milele.
Sokoine alifariki kwa ajali ya gari Jumatano ya Aprili 12, 1984 saa 11:30 jioni wakati akitoka kwenye kikao cha bunge Dodoma kuelekea Dar es Salaam
Mwili wa Edward Moringe Sokoine ulizikwa nyumbani kwao Monduli, mkoani Arusha!
Hayo mengine ni maswali ya hisia tu ambayo kila mwenye hisia zake moyoni hana budi kujiuliza bt all in all apumzike kwa amani milele!
Calvary Temple Assemblies of GodNakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 15 April 1984 nikiwa Arusha. tulikuwa kanisani kwenye ibada ya jumapili katika kanisa lilo kando ya barabara ya uhuru ( kwasasa karibu na shoprite) waumini wote tulitoka nje ya kanisa kuangalia mwili wa Sokoine ukipitishwa kuelekea Munduli kwa Maziko, nakumbuka jinsi watu walivyokuwa na simanzi wakati huo
Wewe pia umesimuliwa. Kama ni kweli ulikuwa chuo mwaka huo ungekumbuka kuwa hakukuwa na waziri aliyeitwa Barongo. Edward Barongo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, na ni miongoni mwa waliokamatwa katika sakata la uhujumu uchumi, akawekwa mahabusu na kushitakiwa. Sokoine alipofariki Barongo alikuwa anasota mahabusu. Jamaa za Barongo na watu wengine waliokuwa kwenye list ya uhujumu walishangilia sana waliposikia Sokoine kafa.
Hapo ndipo kwenye Mnara wa kumbukumbu ya Moringe Edward Sokoine
Kweli baada ya Kikao cha Bunge kumalizika alikua aondoke na ndege ya Serikali kwenda Dar-es-salaam
Marehemu Sokoine akachagua atatumia Barabara
Heresay: alikuwa kochi la nyuma peke yake na hakufunga mkanda
ajali ilipotokea alirushwa hadi kioo cha mbele na aliummia kifuani sana (km ni headrest ya abiria wa mbele au dreva vilitoboa haya)
Kitu nisichokiamini ni kuwa walimpiga risasi na kumuita Dube eti alipondeponde hilo gari M-Benz mpaka lichakae NO- BIG- NO
Ninachokumbuka nilikuwa Chuoni siku hiyo na tifu ni kuuendeleza msako wake wa WALANGUZI ambao sasa utawavaa viongozi wa juu, wakatihuo alishakatazw kwani alimkamata Waziri Barongo akitaka aswekwe ndani Marehemu Julius Nyerere akamwambia sasa unaifanya kazi visivyo Barongo Mfungulie
Sokoine alikufa kwa ajali ingawa aliuwa na maadui wengi hasa Viongozi wenzake na wale walioupitia Uwaziri mkuu wakiwemo Msuya na Kawawa
Na Getrude Mongela pia.Niwakumbushe kitu. Wakati Sokoine akiwa Waziri Mkuu, Msaidizi wake alikuwa Horace Kolimba. Inatosha kusema hivyo!