Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Wadau ningependa kujua chanzo halisi cha kifo cha waziri mkuu wa zamani hayati Sokoine kwa vile alipofariki nilikua bado sijazaliwa, nimejaribu kupitia baadhi ya makala mbali mbali naona hazielezi mazingira halisi ya ajali hiyo kwa msingi huo napenda kushare na nyie maswali kadhaa;
1. Ajali iliyosababisha kifo cha Sokoine ilikuwa ya aina gani? Kupinduka kwa gari, kugongana uso kwa uso? ama kugonga mti?
2. Katika hiyo ajali hayati Sokoine na dereva wake walifia papo hapo ama hospitali?
3. Kama ni ajali ya magari kugongana uso kwa uso vipi kuhusu dereva na watu walio kuwemo kwenye gari ya pili walikufa ama wako hai?
4. Kama wako hai vipi dereva alichukuliwa hatua gani? maelezo ya dereva yanasemaje?
4. Ushahidi wa mashuhuda wa hiyo ajali wanasemaje?
5. Uchunguzi wa polisi unatoa maelezo gani kuhusu ajali iliyo sababisha kifo cha sokoine? ni uzembe wa madereva? au ni matatizo ya kiufundi? ama ni conspiracy?
6. Eneo la ajali ni wapi? i mean kijiji,kata,wilaya na mkoa gani na ilikua mda gani mchana au usiku?
7. KWANINI HAKUNA SOKOINE DAY KWENYE KALENDA YA NCHI YETU KAMA ILIVYO NYERERE DAY NA KARUME DAY?
Kuna maswali mengi sana ila kwa leo naomba niyaweke hayo muhimu.
Chinga 1.
1. Ajali iliyosababisha kifo cha Sokoine ilikuwa ya aina gani? Kupinduka kwa gari, kugongana uso kwa uso? ama kugonga mti?
2. Katika hiyo ajali hayati Sokoine na dereva wake walifia papo hapo ama hospitali?
3. Kama ni ajali ya magari kugongana uso kwa uso vipi kuhusu dereva na watu walio kuwemo kwenye gari ya pili walikufa ama wako hai?
4. Kama wako hai vipi dereva alichukuliwa hatua gani? maelezo ya dereva yanasemaje?
4. Ushahidi wa mashuhuda wa hiyo ajali wanasemaje?
5. Uchunguzi wa polisi unatoa maelezo gani kuhusu ajali iliyo sababisha kifo cha sokoine? ni uzembe wa madereva? au ni matatizo ya kiufundi? ama ni conspiracy?
6. Eneo la ajali ni wapi? i mean kijiji,kata,wilaya na mkoa gani na ilikua mda gani mchana au usiku?
7. KWANINI HAKUNA SOKOINE DAY KWENYE KALENDA YA NCHI YETU KAMA ILIVYO NYERERE DAY NA KARUME DAY?
Kuna maswali mengi sana ila kwa leo naomba niyaweke hayo muhimu.
Chinga 1.