Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Mke wa Masanja yeye km yeye! aliona ile ndo njia rahisi kwake kumaliza utata tena kwa amani! kuliko kumsemea katibu kwa mumewe! ambye huenda angemfukuza kazi na kumtangaza vibaya!

Huyu dada/mama kijana aliona huruma za ki mama! alijua ni kijana tu kateleza shetani kamuingia na aliamini yataisha salama na yule ni mwanume! kuumbe katibu alipo muona shamas wakike maweee!

akahisi tonge limeondoka na mchungaji alikuwa km rafiki/mtoa maisha kwake! sasa kitendo cha kusema alitakiwa kufanya hivi mara vile hayo ni yenuuuu!! watu hawafanani akili! hilo mlijue pia!
 
Mke wa Masanja yeye km yeye! aliona ile ndo njia rahisi kwake kumaliza utata tena kwa amani! kuliko kumsemea katibu kwa mumewe! ambye huenda angemfukuza kazi na kumtangaza vibaya!

Huyu dada/mama kijana aliona huruma za ki mama! alijua ni kijana tu kateleza shetani kamuingia na aliamini yataisha salama na yule ni mwanume! kuumbe katibu alipo muona shamas wakike maweee!

akahisi tonge limeondoka na mchungaji alikuwa km rafiki/mtoa maisha kwake! sasa kitendo cha kusema alitakiwa kufanya hivi mara vile hayo ni yenuuuu!! watu hawafanani akili! hilo mlijue pia!
Nn kimetokea Tena jamn ikumbukwe Bado hatuja maliza swla la Simba au ngada fc Bado Sana

Je masanja taarifa yake imetokaa au
 
Bhasi tu Rushwa ni adui wa haki ilaa Yule jamaa kamalizwaa
Angemalizwa asinge acha ujumbe ule!.....ila jua mke wa Boss wake mtu oooo!! anatisha, na km dogo angefanikiwa daaa!! angetusua mambo..... heee! yaani ingekuwa ni

kula sana shavu kupitia Masanja makndamizaji heee! tena angejirusha dogoooo! ! na kumsahau mke wake yule mpya.....kwa hiyo wewe wataka sema muuaji alimlazimisha mfu, aandike ujumbe kwa Mwandiko wake au??

wkt hayo yanafanyika kulikuwa hakuna movement za watu hapo karibu?? na katibu aliishi uswahilini sana! nyumba ziko karibu karibu ivi! mke wake alimuacha wapi wkt analazimishwa kuandika huo ujumbe??

acha kukuza Mambo kimasihara weye!! dogo kajimaliza baada ya kuona jumbe ime-Leak kwa Mama shemasi wa kanisa! inauma kukataliwa wewe heee! bora ukataliwe na kasichana kimbau mbau!...

nia ya onyo la mke wa Masanja ilikuwa nzuri tu! msimseme! ndo akili yake ilimtuma ivo!
 
Siku ya kiama kuna watu watakuwa wanazimia
Kwa kushuhudia matukio ya ajabu
 
Back
Top Bottom