Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica.

Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.

Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Asante PI. KAma unaangalia IDX discovery hii homicide mhusika namba Moja ni Masanja! Cover up imefanyika kijinga na hili alikua anajua sio juzi Wala sio Jana long time planned Homicide!
 
Huyu karibu kapita na hela ya sembe,au alitishia kutoa siri ya kambi ndo mana akadhurumiwa uhai wake police tz please fanyeni uchunguzi
 
Achana nao watoto wajinga hao mkuu😅kitu kinatolewa maelezo na RPC kwenye radio si maana yake kiko open for public discussion afu anakuja kuuliza maswali ya kijinga jinga
Mbaya zaidi Kuna mtu amepoteza uhai, ana wazazi ana mke ana labda watoto na ndugu na marafiki wanamtazama halafu mtu anatoa majibu rahisi TU wakati wahusika Ni public figures
 
Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica.

Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.

Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Pamoja na kujisifu kuwa mtazamaji wa crime documentary lakini uchambuzi wako hauonyeshi hivyo
 
Screenshot_2022-10-05_192057.jpg
Screenshot_2022-10-05_192029.jpg
 
Na kwa nini amsamehe mkewe kama ilikuwa anatongozwa tu? Je mke kutongozwa ni kosa la mke mpaka asamehewe? Hapa kuna maswali yasiyo na majibu. Angesema amemsamehe marehemu hapo kidogo ingeleta mantiki.

Lakini kumsamehe mtongizwaji ambaye alikuwa anakataa mahusiano kwa kulinda heshima ya mmewe ni kosa kubwa alilofanya Masanja katika kupanga mipango yake. Ningekuwa askari sasa hivi Masanja angekuwa anajibu maswali hayo kwa kuanzia uchunguzi.
Hivi mnaposema amepost kamsamehe mke wake, mbona mm sijaona ?amepost Instagram, Twitter au status naomba kueleweshwa please
 
Haya mambo yanafikirisha! Unfortunately inaonekana dogo ana familia dhaifu kufatilia hili kwa kina maana kama una akili timamu hesabu zote zinagoma! Hakuna anayeomba mabaya kwa Masanja lakini hili swala hata kama ukifunika kombe bado linatatiza sana ....
Usisahau pia kuwa Masanja ni CHAWA maarufu wa huu utawala, kwa hiyo ni lazima yeye ndiye awe mbebwaji na hawa wana_ccm wanaovaa sare za polisi.
 
Mimi naona marehemu kapata alichostahili. Iwe kwa kujiua au kuuwawa ni sahihi kabisa hiyo adhabu. Mke ni kitu kingine kabisa. Si unakumbuka Chameleone alivunjikaga miguu kwa kuruka toka ghorofani Impala hotel kisa mke wa mtu? Pia polisi ndo wameharibu zaidi kwa kusema kwamba manzi alienda kumkanya marehemu. Cha muhimu wanandoa wabadilike waache upumbavu wa show off zisizo na faida. Masanja ajikaze kwa kuchapiwa. Kama kuna tatizo labda la nguvu za kiume basi mke amsaidie mumewe kulitatua na sio kuanza kufanya umalaya.
Kama kauawa kwa mpango wa Masanja, mkewe akiendelea na pigo hizo ataua wangapi!? Tatizo liko kwa mwanamke, yeye kaolewa anakubali vipi kugongwa nje!? Kwani wanawake wengine walioolewa hawatongozwi!? Au atasingizia alibakwa!?
 
Mimi naona marehemu kapata alichostahili. Iwe kwa kujiua au kuuwawa ni sahihi kabisa hiyo adhabu. Mke ni kitu kingine kabisa. Si unakumbuka Chameleone alivunjikaga miguu kwa kuruka toka ghorofani Impala hotel kisa mke wa mtu? Pia polisi ndo wameharibu zaidi kwa kusema kwamba manzi alienda kumkanya marehemu. Cha muhimu wanandoa wabadilike waache upumbavu wa show off zisizo na faida. Masanja ajikaze kwa kuchapiwa. Kama kuna tatizo labda la nguvu za kiume basi mke amsaidie mumewe kulitatua na sio kuanza kufanya umalaya.
Kama kauawa kwa mpango wa Masanja, mkewe akiendelea na pigo hizo ataua wangapi!? Tatizo liko kwa mwanamke, yeye kaolewa anakubali vipi kugongwa nje!? Kwani wanawake wengine walioolewa hawatongozwi!? Au atasingizia alibakwa!?
 
faten maisha yenu, ya masanja hayawahusu, huo muda wa kujadiri maisha ya mwanaume mwenzenu, tumien kulisha familia zenu
Kwa hiyo siku zote familia zetu unazilisha wewe!? Acha ujinga wa kupangia watu cha kufanya.
 
It's none of ur bussiness,tafuta pesa jombaa,umbea haukusaidii chochote,
Wabongo bana,Kuna Binti alivuliwa nguo mbele ya baba yake mara,baba akachukuliwa,akauliwa,hii kesi wabongo hakuna anayeitolea povu!!ila ya mke wa Sanja boy na toy boy wake,inawatoa povu balaa,na wengi wenu sio kwamba mna uchungu saaana na huyo mpuuzi katibu,wengi wenu mnataka na mtafurahi hili jumba bovu limuangukie Sanja boy,ashitskiwe,akutwe na hatia afungwe maxima,Ili awe fukara kama nyinyi,watu weusi maskini siku zote hawapendi kuona mweusi mwenzao yupo juu,wanatamani wamshushe awe kama wao.
Unawapangia watu jinsi ya kuishi!? Siku zote maisha yao unayaendesha wewe!? Kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom