Nn kimetokea Tena jamn ikumbukwe Bado hatuja maliza swla la Simba au ngada fc Bado SanaMke wa Masanja yeye km yeye! aliona ile ndo njia rahisi kwake kumaliza utata tena kwa amani! kuliko kumsemea katibu kwa mumewe! ambye huenda angemfukuza kazi na kumtangaza vibaya!
Huyu dada/mama kijana aliona huruma za ki mama! alijua ni kijana tu kateleza shetani kamuingia na aliamini yataisha salama na yule ni mwanume! kuumbe katibu alipo muona shamas wakike maweee!
akahisi tonge limeondoka na mchungaji alikuwa km rafiki/mtoa maisha kwake! sasa kitendo cha kusema alitakiwa kufanya hivi mara vile hayo ni yenuuuu!! watu hawafanani akili! hilo mlijue pia!
Angemalizwa asinge acha ujumbe ule!.....ila jua mke wa Boss wake mtu oooo!! anatisha, na km dogo angefanikiwa daaa!! angetusua mambo..... heee! yaani ingekuwa niBhasi tu Rushwa ni adui wa haki ilaa Yule jamaa kamalizwaa
leo umelivutia wapi mkuu!Nn kimetokea Tena jamn ikumbukwe Bado hatuja maliza swla la Simba au ngada fc Bado Sana
Je masanja taarifa yake imetokaa au
Muhozi kainerugaba kwa nini hatumii jina la baba yake anaficha nini huyu dogo!Watanzani mnapenda udaku ngoja nitawavamia siku Saba tu inatosha kamaliza na wambeaView attachment 2379239
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app