Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

Ukweli usemwe na sio kupotoshwa.
Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi kisheria, Tanzania mpaka leo tunaendelea kudai haki ya kudhurumiwa kupata sehemu ya ziwa. Hicho ndio google map wamefanya.
Kisheria, sheria za wapi?.. sheria za mipaka kimataifa ni nchi zinazoshea water body basi mpaka ni katikati ya water body,mito ya tanzania ndiyo inajaza maji hilo ziwa,tuwatoze kwa kila tone?..mpaka upo pwani ya tanzania,je maji yakiongezeka mpaka utaendelea kuingia tanzania au yakipungua mpaka utaingia malawi?
 
Alafu nahisi wengine walikuwa wanapakiwa pale Malimu nyerere memorial academy pale Kigamboni Ili waende huko Unguja maana Kuna makaburi ya Masharifu wa Karne hizo(17-19) walikuwa wanatolewa Lindi na maeneo mengine.
SEMA WANAJISAHA SANA HAWA WAZENJI.
 
Nafikiri wadau kwenye huu mjadala wanataka kuona vithibitisho vya kisheria kwamba Ziwa hili ni mali ya Malawi kwa sheria hii ya mwaka fulani.

Google Map brother? Come on man, you are better than that.
 
Mleta mada ni mfano mzuri wa wajinga, wasaliti, na wahaini.

Ukiachana na hiyo mikataba na makubaliano ya kikoloni, umoja wa mataifa ( UN)ulishatoa mwongozo wa mipaka katika rasilimali maji.

Umoja wa Mataifa ( UN) unatambua rasilimali maji ni moja ya basic needs za wanadamu kote duniani, hivyo; popote penye mpaka unaogusa maji, Nchi zote husika zitanufaika ( share) maji kwa pande zote.

Maji ni haki ya mwanadamu yeyote, hauwezi kumzuia mwanadamu aliye upande Fulani wa maji ( hasa ziwa ai mto mkubwa) asinufaike nayo.

Hili sakata ni harakati za kijinga na kishamba kwa watu wasio na elimu kwenye International conflicts Resolutions ( ICRs).

Google wao hupokea data tu na hawana mandate na hawatambuliki kimataifa katika kuchora mipaka ya nchi.

Wewe hupaswi kupuuzwa unapaswa KUSHUGHULIKIWA ipasavyo.
 
Malawi ndio walifungua kesi mkuu.
 
Sijakuelewa wewe mtoa mada kwani Google si wanaweka mipaka Kwa kufuata maelekezo au kuangalia ramani husika
Kwahiyo Google lazima wachore hivyo Kwa sababu wao wamefuata maelekezo kutoka Malawi
 
Hiyo Pwani inaanzia wapi na inaishia wapi?

Nani aliyegawa huo mpaka wa Pwani?

Nani huyo aliyepata Mamlaka ya kuwanyima haki vizazi vilivyokuwa vikiishi Pwani ya Ziwa upande wa Tanzania tangu asili kwamba Leo wao hawana haki ya kuingia Ziwani maana Ziwa ni la Vizazi vya upande wa pili wa Malawi?

Mambo mengine unatakiwa kutumia tu ubongo kwa usahihi.
 
Ukweli usemwe na sio kupotoshwa.
Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi kisheria, Tanzania mpaka leo tunaendelea kudai haki ya kudhurumiwa kupata sehemu ya ziwa. Hicho ndio google map wamefanya.
Hiyo Shetia ya nani? Nani aliweka huo mpaka?
 
Mtu kama wewe unatakiwa ufumuliwe tu Marinda.
 
Wewe ni Zombi lililoshiba urojo. Eti Malawi waliridhoa kuwapa Msumbiji sehemu ya Ardhi yao. Hiyo historia ulisemea ulisomea Mchambawima.
 
Mkataba unaosema Malawi Ina full umiliki wa hilo ziwa,pia unasema Rwanda&Burundi ni Tanganyika...Sasa sijui unashauri vipi hapo?
Mikataba ya kimataifa inatambua mipaka majini ni katikati ya eneo la maji.
 
Ameamua kuja Kucheza na hisia zetu huyu aidha Kwa kujua ama kutokujua.
 
Ukweli usemwe na sio kupotoshwa.
Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi kisheria, Tanzania mpaka leo tunaendelea kudai haki ya kudhurumiwa kupata sehemu ya ziwa. Hicho ndio google map wamefanya.
Ziwa mpaka ni katikati, hadithi kama hizi ndo zilimuingiza nyerere vitani na Uganda.
 
Hile ni shamba la iwekezaji kama ambavyo Watangayika na wageni wengine Wana umiliki iwekezaji Zanzibar. Hati ya iwekezaji ikiisha muda wake mnatimka. Au RAIS akiamka anafuta hati kwa maslahi ya wananchi. Rudi darasani kasomee upya kidogo kuhusu mipaka ya nchi na maeneo ya uwekezaji.

Zanzibar tu yote ni Mali ya Tanganyika
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…