Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

Unajua kwamba OAU walikubaliana kuwa mipaka ya kikoloni ndio iendelee kutumika baada ya uhuru?

Yani unataka kusema kwamba nchi za Afrika tuna busara sana kwahiyo tuanze kuchora upya mipaka. Unazijua akili za Mwafrika kweli mkuu?

Yani turudie kuchora, Uganda wapendekeze kupata Kagera salient, Kenya wapendekeze kupata mlima Kilimanjaro pale ambapo ramani ilipindishwa ili mlima uwe Tanzania, Zanzibar wadai pwani ya bara maana kuna Sultan aliwahi sema anaimiliki na akiwapa Wajerumani sijui, Tanzania tudai sehemu ya Masai Mara ya Kenya ili Wamasai wote wawe Tanzania, Kenya wapendekeze waongezewe sehemu ya ziwa Victoria wawe nayo nyingi maana Tanzania imechukua kipande kikubwa zaidi, Burundi nao waombe sehemu kubwa zaidi ya ziwa Tanganyika. Hapo ni sisi tu, bado sehemu nyingine za Afrika.

Kiuhalisia ukisoma Helligoland treaty na mkataba mwingine, hakuna ushahidi unaoonyesha Tanzania tunamiliki nusu ya ziwa Nyasa. Hata Wajerumani waliokuwa wanatawaka Tanganyika ramani yao inaonyesha Nyasa nzima ni ya Malawi.

Sisi Tanzania tunakuwa na claim kuwa wazungu walikubaliana kama kuna chanzo cha maji mpakani basi kigawanywe kila nchi inayopakana ipate kiasi chake. But that wasn't the case kwa ziwa Nyasa. Tukienda mahakama ya usuluhishi, zikaletwa mikataba na mashahidi wakoloni Tanzania tunashindwa asubuhi na mapema kabisa.
Ni kweli kwenye heligoland treaty muingereza alitumia influence yake kupata ziwa upande wa Tanganyika na kwa sababu inasemekana mjerumani hakuwa na interest kwenye water bodies. Wala hakujali ndio maana pande zote zingine kama msumbiji walipewa haki za mipaka yao

Ubaya zaidi tanganyika na malawi zilikuja kusimamiwa na muingereza kwa muda mrefu zaidi. Kwa hiyo kusingekuwa na njia ya yeye kugawa hilo eneo

Ila ukifuatilia vigezo vilivyotumika Berlin kugawa maeneo, natural geographical bodies kama maziwa, milima na mito ndivyo vilitumika kupima mipaka. Ukianzia ziwa Victoria, tanganyika hadi mto kagera.. Hiyo ndio ilikuwa criteria ya ugawsji Ila neglection ya mjerumani kutojali maziwa ndio ilisababisha yote hayo

Na ndio maana sheria ya mipaka hadi leo bado inatambua hizi geographical structures kama mpaka sahihi.. Kingine ukisema malawi wamiliki ziwa lote, utakuwa na assurance gani kwamba hawatokuja kudai na pwani

Shida ni hiyo mkuu neglection ya mjerumani na muingereza kutofuata vigezo vya ugawaji mipaka ndio chanzo cha yote
 
Serikali ya Tanzania imetoa tamko la marufuku ya kuzuia matumizi ya google map yenye kuonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye ziwa Nyasa ulipo kutumika kufundishia mashuleni. Kwenye ramani hiyo ya google inaonyesha mpaka wa kisheria uko pwani ya Ziwa Nyasa upande wa Tanzania na hapo hapo kuonyesha mpaka ambao Tanzania inadai ambao uko katikati ya Ziwa Nyasa. Kimsingi google map wako sahihi kwa 100%. Huo ndio ukweli ambao umekuwepo siku zote kabla hata ya kupata Uhuru na baada ya kupata uhuru.

Mpaka leo hii Tanzania tunadai kupata haki ya kumiliki karibu nusu ya Ziwa Nyasa lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa Malawi bado wana umiliki wa Ziwa Nyasa lote katika mpaka wake na Tanzania. Ni ukweli mchungu dhidi ya Tanzania na ukweli usio wa haki. Lakini ndio ukweli halisi. Tuna haki ya kudai ubadilishwe lakini hatuna haki ya kuupotosha.

Zama za kuwadanganya watu kielimu na kuwatisha wasijifunze kujua nini dunia inasema na kutambua (tofauti na vile walivyoaminishwa awali) kuhusu jeografia, historia na sayansi zimepitwa na wakati.
We jamaa unataka kusema pale Liuli,,Mbamba bay.. Maatema beach na Kyela ni Malawi??
 
Hivi unajua Zanzibar tuna eneo letu rasmi kisheria huko Tanganyika maeneo ya Bagamoyo. Ni maelfu ya ekari, eneo kubwa huenda zaidi ya nchi ya Vatican. Hivyo wazanzibar wote tunaweza kuja hapo Tanganyika, tukaanzisha taifa letu jipya dogo ndani ya taifa lenu huku tukila mema ya Tanganyika huku mazombi ya kitanganyika yakieendelea kulia lia.
Tanganyika ni shamba fulani la bibi mzee sana.
Hivyo ukae utulie tu.


Niishie hapo.

Lengo la mada hii ni nini? Kwa kuwa ulitaka kudai pwani za Tanzania Bara ndiyo isababishe kuleta suala la ziwa Nyasa? Wewe ni mtanzania kweli? Umevuka mipaka
 
Kwanini Liwe la Malawi peke yao?

1. Upande wa Msumbiji mpaka upo katikati ya Ziwa, ukija Tanzania uende Pwani WTF?!!
2. MSUMBIJI wanaliita Ziwa Niasa, sisi tunalazimishwa tuite lake Malawi!

Wajua hata wao Malawians hawapo serious kulidai wanajua madhara yake, hence preservation of the status quo!
 
Hivi unajua Zanzibar tuna eneo letu rasmi kisheria huko Tanganyika maeneo ya Bagamoyo. Ni maelfu ya ekari, eneo kubwa huenda zaidi ya nchi ya Vatican. Hivyo wazanzibar wote tunaweza kuja hapo Tanganyika, tukaanzisha taifa letu jipya dogo ndani ya taifa lenu huku tukila mema ya Tanganyika huku mazombi ya kitanganyika yakieendelea kulia lia.
Tanganyika ni shamba fulani la bibi mzee sana.
Hivyo ukae utulie tu.


Niishie hapo.
Usiwe zezeta kiasi hicho lile eneo ni huruma za Nyerere kuwapa wachambawima kwa ajili ya mifugo lakini serikali inaweza kubadilisha matumizi yake muda wowote ikitaka na usichojua ni kwamba wanachi wanazidi kujenga kwenye hilo eneo kwa kadri wanavyoweza, tuliza kinyesi hicho tahira usie na kisogo shenzi
 
Serikali ya Tanzania imetoa tamko la marufuku ya kuzuia matumizi ya google map yenye kuonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye ziwa Nyasa ulipo kutumika kufundishia mashuleni. Kwenye ramani hiyo ya google inaonyesha mpaka wa kisheria uko pwani ya Ziwa Nyasa upande wa Tanzania na hapo hapo kuonyesha mpaka ambao Tanzania inadai ambao uko katikati ya Ziwa Nyasa. Kimsingi google map wako sahihi kwa 100%. Huo ndio ukweli ambao umekuwepo siku zote kabla hata ya kupata Uhuru na baada ya kupata uhuru.

Mpaka leo hii Tanzania tunadai kupata haki ya kumiliki karibu nusu ya Ziwa Nyasa lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa Malawi bado wana umiliki wa Ziwa Nyasa lote katika mpaka wake na Tanzania. Ni ukweli mchungu dhidi ya Tanzania na ukweli usio wa haki. Lakini ndio ukweli halisi. Tuna haki ya kudai ubadilishwe lakini hatuna haki ya kuupotosha.

Zama za kuwadanganya watu kielimu na kuwatisha wasijifunze kujua nini dunia inasema na kutambua (tofauti na vile walivyoaminishwa awali) kuhusu jeografia, historia na sayansi zimepitwa na wakati.
Wewe ni mpuuzi kabisa ona bichwa lake
 
Hivi unajua Zanzibar tuna eneo letu rasmi kisheria huko Tanganyika maeneo ya Bagamoyo. Ni maelfu ya ekari, eneo kubwa huenda zaidi ya nchi ya Vatican. Hivyo wazanzibar wote tunaweza kuja hapo Tanganyika, tukaanzisha taifa letu jipya dogo ndani ya taifa lenu huku tukila mema ya Tanganyika huku mazombi ya kitanganyika yakieendelea kulia lia.
Tanganyika ni shamba fulani la bibi mzee sana.
Hivyo ukae utulie tu.


Niishie hapo.

Usijali hadi zile mile kumi za sultani kutokea pwani ya kenya hadi tanganyika mnaweza kuzidai na mkazipata.

Hivi kwa nini wazanzbari mna chuki kali dhidi ya wabara
 
Hujui hata Makubaliano ya Berlin Conference 1884-85.

Let alone ushenzi wa Leopard II aliuofanya huko Congo (enhe sikia tu) hadithi za kugawa hiyo mipaka na ushenzi wa wazungu.

Unazungumza habari za UN, clear hujui historia ya Africa.

What do they teach you

Ningekuwa na nafasi serikalini ningesema usakwe unyofolewe walau kucha, ujinga mwingine sio wa kuvumiliwa.

Yaani kabisa unachezea mipaka ya nchi na kuna mataahira yanakuunga mkono.
 
Ni kweli kwenye heligoland treaty muingereza alitumia influence yake kupata ziwa upande wa Tanganyika na kwa sababu inasemekana mjerumani hakuwa na interest kwenye water bodies. Wala hakujali ndio maana pande zote zingine kama msumbiji walipewa haki za mipaka yao

Ubaya zaidi tanganyika na malawi zilikuja kusimamiwa na muingereza kwa muda mrefu zaidi. Kwa hiyo kusingekuwa na njia ya yeye kugawa hilo eneo
Then tunarudi palepale, mikataba ya kikoloni inaipa Malawi ziwa Nyasa lote.
Ila ukifuatilia vigezo vilivyotumika Berlin kugawa maeneo, natural geographical bodies kama maziwa, milima na mito ndivyo vilitumika kupima mipaka. Ukianzia ziwa Victoria, tanganyika hadi mto kagera.. Hiyo ndio ilikuwa criteria ya ugawsji Ila neglection ya mjerumani kutojali maziwa ndio ilisababisha yote hayo
Hizi waligawa mkuu. Maandishi yapo na mkataba upo, sio maneno ya mdomoni. Kwahiyo ukienda mahakamani Malawi wakaleta Heligoland treaty, Mtanzania ukaleta maneno ya mdomoni ya "ni kwa sababu Ujerumani ilineglect vyanzo vya maji" unapigwa za uso asubuhi na mapema.
Na ndio maana sheria ya mipaka hadi leo bado inatambua hizi geographical structures kama mpaka sahihi.. Kingine ukisema malawi wamiliki ziwa lote, utakuwa na assurance gani kwamba hawatokuja kudai na pwani
Malawi hawawezi dai Pwani, watadai kwa claim ipi? Wanadai ziwa Nyasa kwa claim ya kimkataba wa wakoloni ambao ndio tunatumia kudai mpaka fulani uko wapi. Kama hatukubaliani na mpaka ule, vipi Kenya nao wakisema hawakubaliani na Kilimanjaro kuwa Tanzania? Na wao tuwakubalie.
Shida ni hiyo mkuu neglection ya mjerumani na muingereza kutofuata vigezo vya ugawaji mipaka ndio chanzo cha yote
Sasa hii kisheria ndio imeishakuwa hivyo. Hata Kaprivi strip kule Namibia inaheshimiwa na majirani. Haya mambo ya wakoloni walikosea yataleta shida kwenye akili za kipuuzi za Mwafrika.
Iddi Amin naye alisema wakoloni walikosea kutoipa bandari Uganda, pia walikosea kuiweka Kagera salient Tanzania. Ethiopia inasikitika sana kutokuwa na access na bandari.
 
Hivi mwendawazimu gani anaweza kukubali kuwa mpaka wa nchi ni mawimbi ya maji?.

Sisi tunachojua ni kwamba maji lazima yawe shared kwa watu wote wanaohabit hilo ziwa. Haki aliyotoa Mungu haiwezi kugawiwa vinginevyo na mkoloni.

Anayeleta habari za mkataba wa kikoloni aende akabaki na ukoloni wake, sisi ni watu huru na maji tuliyonayo tutayatumia bila kujali mikataba feki.
 
Miaka ya nyuma hili jambo lilileta shida sana. Ikabidi tupeleke baadhi ya maafisa wa jeshi letu kushughulikia lakini bado hali ni tete. Malawi wameshikilia msimamo Ziwa nyasa lote ni lao kitu ambacho si sahihi
 
nilende kukupinga. mipaka inapoangukia kwenye maj.bas lazma iwe nusu kwa nusu. kwa raman hio kipi kijustify malawa aje mpaka tanzania? bas kama ndio hivyo hata tanganyika uwaambie ko ngo kuwa ziwa ni lettu lote .hapa umepotosha
Kama hoja ni kugawana sawa sawa, inakuwaje Ziwa Victoria Tanzania tuna umiliki wa zaidi ya 60% wakati huo huo Kenya na Uganda wamepata jumla ya chini ya 35% ya ziwa Victoria?
 
Unajua kwamba OAU walikubaliana kuwa mipaka ya kikoloni ndio iendelee kutumika baada ya uhuru?

Yani unataka kusema kwamba nchi za Afrika tuna busara sana kwahiyo tuanze kuchora upya mipaka. Unazijua akili za Mwafrika kweli mkuu?

Yani turudie kuchora, Uganda wapendekeze kupata Kagera salient, Kenya wapendekeze kupata mlima Kilimanjaro pale ambapo ramani ilipindishwa ili mlima uwe Tanzania, Zanzibar wadai pwani ya bara maana kuna Sultan aliwahi sema anaimiliki na akiwapa Wajerumani sijui, Tanzania tudai sehemu ya Masai Mara ya Kenya ili Wamasai wote wawe Tanzania, Kenya wapendekeze waongezewe sehemu ya ziwa Victoria wawe nayo nyingi maana Tanzania imechukua kipande kikubwa zaidi, Burundi nao waombe sehemu kubwa zaidi ya ziwa Tanganyika. Hapo ni sisi tu, bado sehemu nyingine za Afrika.

Kiuhalisia ukisoma Helligoland treaty na mkataba mwingine, hakuna ushahidi unaoonyesha Tanzania tunamiliki nusu ya ziwa Nyasa. Hata Wajerumani waliokuwa wanatawaka Tanganyika ramani yao inaonyesha Nyasa nzima ni ya Malawi.

Sisi Tanzania tunakuwa na claim kuwa wazungu walikubaliana kama kuna chanzo cha maji mpakani basi kigawanywe kila nchi inayopakana ipate kiasi chake. But that wasn't the case kwa ziwa Nyasa. Tukienda mahakama ya usuluhishi, zikaletwa mikataba na mashahidi wakoloni Tanzania tunashindwa asubuhi na mapema kabisa.
Hilo ziwa haiwezekani nchi moja kujimilikisha lote ilihali na raia wetu wanalitumia kwa sababu za kiuchumi na kimaisha...eti kisa mkataba wa mkoloni....
 
Back
Top Bottom