Utata wa mtoto wa Diamond, Mama Zari amaliza ubishi..

Utata wa mtoto wa Diamond, Mama Zari amaliza ubishi..

nimepanda bei sijibu mtu mpaka nijisikieeeee �� warumi nimekumisooooooooo

Kutoka sh ngapi mpaka sh ngapi?
Au mganga wako ndo maagizo aliyokupa?
au unaiogopa Cyber?
 
Last edited by a moderator:
Hawa waandishi ni vtuko hapo kwa mama zari kuondoa utata kwani yeye ni DNA na walijuaje kafurahi.

Akinamama wanauwezo wa kutambua bila kutumia VinaSaba...usijaribu kumuuzia mmewako mbuzi kwenye gunia..mama mkwe atakuumbua mchana kweupe!!
 
Hapanaaa
Maanake huyo simsin huwa anawagwaya watu fulani...
Sasa leo kajichanganya afu kakuta mwenzie ameokoka.

Ahaaaaaaaaa.....hapo nimekupata.
aiseeee.
Ana vinyege mshindo kumbe huyo samsung galaxy
 
Diamond atakua pharl@ sana. Kwa hli hasameheki hata kdogo.
 
Hapanaaa
Maanake huyo simsin huwa anawagwaya watu fulani...
Sasa leo kajichanganya afu kakuta mwenzie ameokoka.

hhhhaaa we SI unaona pichani yupo mheshimiwaaa sijibu pumba
 
Hapanaaa
Maanake huyo simsin huwa anawagwaya watu fulani...
Sasa leo kajichanganya afu kakuta mwenzie ameokoka.

hhhhaaa we SI unaona pichani yupo mheshimiwaaa sijibu pumba
 
Basi huyo mwanamke ni changudoa, sasa kama wanaume watatu wanagombania mtoto! Cheche hili
 
Akinamama wanauwezo wa kutambua bila kutumia VinaSaba...usijaribu kumuuzia mmewako mbuzi kwenye gunia..mama mkwe atakuumbua mchana kweupe!!
Labda kwa kuangalia vidole vya miguu hivi hivi akiwa mchanga ni ngumu kutambua mpaka akue.
 
nimepanda bei sijibu mtu mpaka nijisikieeeee �� warumi nimekumisooooooooo

Akii hujastaafugu umbea binamu??? Mwaka huu lazima tulale segerea akiii...yan nimekumis mpaka bhasiiiii....ila ebu mtoe huyo kikongwe kwa profile si bora umuweke kingwendu tu, hiv bibamu yako chige na lusungo wapo??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom