Haha Mange alikuwa maarufu tangu zamani wakati kina zari wanabadilishwa nepi.Hivi mange na zari nani mkubwa jamani??haahaha
Jaman mange ana wivu sana pia atakua na roho mbaya yaani yote hayo kisa dai alimuacha wema
Wema mwenyew hanaga time na huyo mange,
Mange analazmisha kua maarufu
Anamtaka baba tiffahv huyo dada na familia ya baba t wana ugomv gan aisee
Tumeambiwa siasa mpaka 2020Naona mnatiririka tu jukwaa la siasa mmetelekeza mmekuja kwa binamu zangu
Bas kaz ipo kama ni hvyo si ana wazungu wakeAnamtaka baba tiffa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Bas kaz ipo kama ni hvyo si ana wazungu wake
Atajua mwenywe na maisha yake[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Yule bado anaushamba wa kiafrika kila mzungu tajiri hajui siku hizi habari ngozi nyeusi wana mawe ya hatariiii haoni huko majuu kuanzia beyonce mpaka kardashians wote wako kwa mablack mwambieni astuke
Weaka ya huyo mange.
- new.didiUnajimfanya mjuaaji sana tatizo ya mjini yote yako Huna nzuri kwa hao watu wayofanya yote mabaya ila naaamini Huna unaye mfikia kwa mafanikio hata mmoja wao jipange dada umri unaendaa mwenzio umri unaendaa lakin una mafanikio weka yako uliyonunua hata kibaha kazi ya chukiiiii tuu.
Umbea wa tiffah kuwa ni mtoto wa katunzi na photogrid una ukweli?Uzuri wa mange ni anatoa umbea wenye ukweli ndani yake, it's just a matter of time!
Mafanikio yapi?!Mange kila kitu anajua yeye khaa eti zar mzee sasa yeye na umri alokuwa nao hamfikii zari kwa mafanikio hata kidogo