Utata wa Sheria na Kanuni hizi za Bunge la Katiba utazaa Katiba ya mtaa wa Lumumba

Utata wa Sheria na Kanuni hizi za Bunge la Katiba utazaa Katiba ya mtaa wa Lumumba

attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
Sikubaliani sana na dhana yako kuwa Chadema ilaumiwe katika hili, Katiba sio ya chadema wala ya ccm, Watanzania wote tubebe lawama kwakuruhusi siasa ziteke katiba hii
Katiba mpya ilikuwa ni sera ya Chadema, haikuwahi kuwa sera ya CCM!.

Tangu mchakato unaanzishwa na CCM tuliwaonya Chadema beware of the phase "I fear the Greeks especially when they bring gifts!", Chadema hakusikia, CCM walipouleta ule muswada, tukiwategemea Chadema wangeusimamisa mchakato by doing the right thing at the right time and doing it right!, Chadema hakufanya walichopaswa kufanya!, na badala yake wakakimbilia juice, chai na vitafunwa vya Ikulu!, haps tulipofikia unadhani ndio tunaweza kufanya nini?!.

Dawa ni kwa Chadema na wengine wote kutulia tuu kama wananyolewa!, tuipate hiyo "bora katiba" msibiri kutimiza hiyo ndoto yenu ya 2015, ndipo mtuletee "katiba bora!".

Hiki unachotaka kushauri ni kutupigia tuu makelele ya mlango, the ball is set, kipenga kitapulizwa na magoli yataingia!.

Hii ni sehemu ya kulipia gharama ya kufanya kulichopaswa kufanywa, and this is the price Chadema na sisi wengine wote, must pay!.

Pasco.
 
Katiba mpya ilikuwa ni sera ya Chadema, haikuwahi kuwa sera ya CCM!.

Tangu mchakato unaanzishwa na CCM tuliwaonya Chadema beware of the phase "I fear the Greeks especially when they bring gifts!", Chadema hakusikia, CCM walipouleta ule muswada, tukiwategemea Chadema wangeusimamisa mchakato by doing the right thing at the right time and doing it right!, Chadema hakufanya walichopaswa kufanya!, na badala yake wakakimbilia juice, chai na vitafunwa vya Ikulu!, haps tulipofikia unadhani ndio tunaweza kufanya nini?!.

Dawa ni kwa Chadema na wengine wote kutulia tuu kama wananyolewa!, tuipate hiyo "bora katiba" msibiri kutimiza hiyo ndoto yenu ya 2015, ndipo mtuletee "katiba bora!".

Hiki unachotaka kushauri ni kutupigia tuu makelele ya mlango, the ball is set, kipenga kitapulizwa na magoli yataingia!.

Hii ni sehemu ya kulipia gharama ya kufanya kulichopaswa kufanywa, and this is the price Chadema na sisi wengine wote, must pay!.

Pasco.

Pasco,

Upataji wa katiba ni mchakato, hakuna taifa lililowahi kubadilisha katiba yake ndani ya miaka mitano baada ya kuitunga,

Mfano Tanganyika ilichukua miaka sita kupata katiba kutoka kwa Waingereza ijapokuwa halikuwa koloni lake, Kenya iliwachukua miaka 15 kupata katiba tangu mchakato wake uanza, Tanzania mapambano ya kudai katiba yalianza tangu kuundwa kwa Azimio la Zanzibar 1992, na leo ndio tunataka kuipata.

Kuuacha mchakato huu uendelee ilihali unafinyanga matakwa ya uum ni uhaini, kikundi kidogo (ccm) kinalisaliti taifa halafu unapendekeza tuache ipite tukitaraji mpaka Chadema iingie madarakani????? Isiposhida 2015 inamaana taifa litaendelea kutopea kwenye lindi la uzandiki huu???

Noooooo hapa kinachofuata ni kuvu ya umma na sio nguvu ya siasa,
 
Last edited by a moderator:
hakuna nia ya dhati ya kupata katiba mpya kwa hiyo ni usanii tu kila hatua inayopitiwa.
 
Kama watachakachua katiba mpya,basi nawaomba wapinzani ajenda kubwa ya uchaguzi ujao iwe ni kutengeneza KATIBA MPYA ya watanzania!

Yaani we kichwa kweli. Umesema maneno imara kweli kweli.
 
Pasco,
Kuuacha mchakato huu uendelee ilihali unafinyanga matakwa ya uum ni uhaini, kikundi kidogo (ccm) kinalisaliti taifa halafu unapendekeza tuache ipite tukitaraji mpaka Chadema iingie madarakani????? Isiposhida 2015 inamaana taifa litaendelea kutopea kwenye lindi la uzandiki huu???

Noooooo hapa kinachofuata ni nguvu ya umma na sio nguvu ya siasa,
Mkuu Yeri, kuekweli sisi ma realist, tunaiona wazi kabisa tena bila kuwa 2015 ni CCM tena, hivyo suala la kuisubiria Chadema, ni kusubiri mpaka!. Hii haina maana kuwazuia wishful thinkers na utopians na day dreamers to think positively kuwa Chadema itachukua nchi 2015, hivyo kwa hapa tulipofikia, matumizi ya nguvu za umma its too little too late!, dawa ni kutulia tuu na kunyolewa na kuzisubiria nywele ziote tena ndipo muendelee kuzichana mtindo mnaoupenda!.

Na kuchelewa huku kwa Chadema to do the right thing at the right time na kisha kutaka kuhsamasisha matumizi ya nguvu za umma, ndio kabissa kitaendelea kuwa put off kabisa, the right thinking members of the society hivyo Chadema kupoteza uungwaji mkono na "the elite!" hivyo kuishia kuwaandamanisha hao hao the poor of the poor and the destitues.

Na kosa hilo ndilo lilifanyika kabla ya uchaguzi wa marudia wa udiwani, sasa hivi mko bize na katiba, baada ya hapo, kuingia uchaguzi wenu wa ndani kufanga kufungua hamjajiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, mkishazikosa itakuwa ni muujiza kuja kushinda uchaguzi mkuu!. Huko ndiko mimi nilikowahi kuwaambia CHADEMA Haijajipanga!
halafu kuishia kulialia na kutaka kuwaandamanisha watu kwa kisingizio cha nguvu ya umma!.
Kwa kweli kwa hapa tulipofika, there is no way kwa Chadema, only to do the right thing, at the right time and doing it right, and I'm afraid to say, the time is not on Chadema's side, its almost too little too late!.

Pasco
 
Mkuu Yeri, kuekweli sisi ma realist, tunaiona wazi kabisa tena bila kuwa 2015 ni CCM tena, hivyo suala la kuisubiria Chadema, ni kusubiri mpaka!. Hii haina maana kuwazuia wishful thinkers na utopians na day dreamers to think positively kuwa Chadema itachukua nchi 2015, hivyo kwa hapa tulipofikia, matumizi ya nguvu za umma its too little too late!, dawa ni kutulia tuu na kunyolewa na kuzisubiria nywele ziote tena ndipo muendelee kuzichana mtindo mnaoupenda!.

Na kuchelewa huku kwa Chadema to do the right thing at the right time na kisha kutaka kuhsamasisha matumizi ya nguvu za umma, ndio kabissa kitaendelea kuwa put off kabisa, the right thinking members of the society hivyo Chadema kupoteza uungwaji mkono na "the elite!" hivyo kuishia kuwaandamanisha hao hao the poor of the poor and the destitues.

Na kosa hilo ndilo lilifanyika kabla ya uchaguzi wa marudia wa udiwani, sasa hivi mko bize na katiba, baada ya hapo, kuingia uchaguzi wenu wa ndani kufanga kufungua hamjajiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, mkishazikosa itakuwa ni muujiza kuja kushinda uchaguzi mkuu!. Huko ndiko mimi nilikowahi kuwaambia CHADEMA Haijajipanga!
halafu kuishia kulialia na kutaka kuwaandamanisha watu kwa kisingizio cha nguvu ya umma!.
Kwa kweli kwa hapa tulipofika, there is no way kwa Chadema, only to do the right thing, at the right time and doing it right, and I'm afraid to say, the time is not on Chadema's side, its almost too little too late!.

Pasco

Pasco

Umeongea maneno mengi sana lakini mimi bado nakurudisha kuwa nchi hii sio ya wanasiasa, umma ndio wenye kura ya turufu juu ya hili,

Umma utasimama wima kupinga udharimu huu, Ukran leo umma umeamua, Misri umma uliamua, Libya umma uliamua, Tunisia umma uliamua, Je huku vyama kama ccm havikuwepo???
 
Last edited by a moderator:
Pasco

Umeongea maneno mengi sana lakini mimi bado nakurudisha kuwa nchi hii sio ya wanasiasa, umma ndio wenye kura ya turufu juu ya hili,

Umma utasimama wima kupinga udharimu huu, Ukran leo umma umeamua, Misri umma uliamua, Libya umma uliamua, Tunisia umma uliamua, Je huku vyama kama ccm havikuwepo???



Mmefulia....

Mmepoteza mashiko zaidi sana mna mchoko mkubwa

2015 hamna nguvu tena na mjue umaarufu wenu umeshuka sana...

Huwezi kukumbatia siasa za fitina bado ukabaki na nguvu never!!
 
Last edited by a moderator:
Mmefulia....

Mmepoteza mashiko zaidi sana mna mchoko mkubwa

2015 hamna nguvu tena na mjue umaarufu wenu umeshuka sana...

Huwezi kukumbatia siasa za fitina bado ukabaki na nguvu never!!

Mada umeielewa?
 
INA MAAAANA HAO 600 HAWAONGEZI WALA KUPUNGUZA NENO KATIKA KATIBA? AU WAONGEZE ILA MAANA MAMA IBAKI PALEPALE? lol
 
Ina maaaana hao 600 hawaongezi wala kupunguza neno katika rasimu? Au kama wataongeza basi maana 'mama' ibaki palepale?
 
kuna Discrepancy Kati ya Kiingereza na Kiswahili
 
Mmefulia....

Mmepoteza mashiko zaidi sana mna mchoko mkubwa

2015 hamna nguvu tena na mjue umaarufu wenu umeshuka sana...

Huwezi kukumbatia siasa za fitina bado ukabaki na nguvu never!!

endelea kuota ndoto za mchana mdomo juu kama mbwa!
 
Katiba mpya ilikuwa ni sera ya Chadema, haikuwahi kuwa sera ya CCM!.

Tangu mchakato unaanzishwa na CCM tuliwaonya Chadema beware of the phase "I fear the Greeks especially when they bring gifts!", Chadema hakusikia, CCM walipouleta ule muswada, tukiwategemea Chadema wangeusimamisa mchakato by doing the right thing at the right time and doing it right!, Chadema hakufanya walichopaswa kufanya!, na badala yake wakakimbilia juice, chai na vitafunwa vya Ikulu!, haps tulipofikia unadhani ndio tunaweza kufanya nini?!.

Dawa ni kwa Chadema na wengine wote kutulia tuu kama wananyolewa!, tuipate hiyo "bora katiba" msibiri kutimiza hiyo ndoto yenu ya 2015, ndipo mtuletee "katiba bora!".

Hiki unachotaka kushauri ni kutupigia tuu makelele ya mlango, the ball is set, kipenga kitapulizwa na magoli yataingia!.

Hii ni sehemu ya kulipia gharama ya kufanya kulichopaswa kufanywa, and this is the price Chadema na sisi wengine wote, must pay!.

Pasco.

Kwa Hiyo unamaanisha Wakuu wa Upinzani walikosea Kwenda Ikulu?
 
Katiba mpya ilikuwa ni sera ya Chadema, haikuwahi kuwa sera ya CCM!.

Tangu mchakato unaanzishwa na CCM tuliwaonya Chadema beware of the phase "I fear the Greeks especially when they bring gifts!", Chadema hakusikia, CCM walipouleta ule muswada, tukiwategemea Chadema wangeusimamisa mchakato by doing the right thing at the right time and doing it right!, Chadema hakufanya walichopaswa kufanya!, na badala yake wakakimbilia juice, chai na vitafunwa vya Ikulu!, haps tulipofikia unadhani ndio tunaweza kufanya nini?!.

Dawa ni kwa Chadema na wengine wote kutulia tuu kama wananyolewa!, tuipate hiyo "bora katiba" msibiri kutimiza hiyo ndoto yenu ya 2015, ndipo mtuletee "katiba bora!".

Hiki unachotaka kushauri ni kutupigia tuu makelele ya mlango, the ball is set, kipenga kitapulizwa na magoli yataingia!.

Hii ni sehemu ya kulipia gharama ya kufanya kulichopaswa kufanywa, and this is the price Chadema na sisi wengine wote, must pay!.

Pasco.

kwa akili yako suala la kupatikana katiba bora anayewajibika ni CDM?????????????
Kama taifa litaendelea kubaki na watu wenye mawazo mgando kama wewe basi tumekwisha!!!!
 
Katiba mpya ilikuwa ni sera
ya Chadema, haikuwahi kuwa sera ya CCM!.

Tangu mchakato unaanzishwa na CCM tuliwaonya Chadema beware of the
phase "I fear the Greeks especially when they bring gifts!", Chadema
hakusikia, CCM walipouleta ule muswada, tukiwategemea Chadema
wangeusimamisa mchakato by doing the right thing at the right time and
doing it right!, Chadema hakufanya walichopaswa kufanya!, na badala yake
wakakimbilia juice, chai na vitafunwa vya Ikulu!, haps tulipofikia
unadhani ndio tunaweza kufanya nini?!.

Dawa ni kwa Chadema na wengine wote kutulia tuu kama wananyolewa!,
tuipate hiyo "bora katiba" msibiri kutimiza hiyo ndoto yenu ya 2015,
ndipo mtuletee "katiba bora!".

Hiki unachotaka kushauri ni kutupigia tuu makelele ya mlango, the ball
is set, kipenga kitapulizwa na magoli yataingia!.

Hii ni sehemu ya kulipia gharama ya kufanya kulichopaswa kufanywa, and
this is the price Chadema na sisi wengine wote, must pay!.

Pasco.

Ktk watu niliokuwa nawaheshimu hapa jamvini kutokana na michango yao mmoja wao ni wewe Pasco lkn nasikitika kusema kuwa nimekupuuza nimekudharau sana kutokana post yako hii eti unasema kuwa watu wazima wamefuata juice na mikate ikulu?! Real? Hunatofauti na visebengo wa hapo lumumba shame!
 
Mmefulia....

Mmepoteza mashiko zaidi sana mna mchoko mkubwa

2015 hamna nguvu tena na mjue umaarufu wenu umeshuka sana...

Huwezi kukumbatia siasa za fitina bado ukabaki na nguvu never!!

Jaman hapa mimi ndo huwa nasema maccm mna hamishia akili na ufahamu wenu miguuni. Hivi ccm na Cdm kipi chenye mchoko hujiuli kwanini mkiti wako alihamasisha nguvu kutumika ktk uchaguzi kalenga sasa nani ameishiwa ushawish kwa mtindo huo?
 
Jaman hapa mimi ndo huwa nasema maccm mna hamishia akili na ufahamu wenu miguuni. Hivi ccm na Cdm kipi chenye mchoko hujiuli kwanini mkiti wako alihamasisha nguvu kutumika ktk uchaguzi kalenga sasa nani ameishiwa ushawish kwa mtindo huo?


MMefulia....

Hamuaniki tena na wasomi wala raia wenye uelewa...

Umaarufu wenu umeshuka...
 
kwa akili yako suala la kupatikana katiba bora anayewajibika ni CDM?????????????
Kama taifa litaendelea kubaki na watu wenye mawazo mgando kama wewe basi tumekwisha!!!!


nyie si ndio mliitaka hiyo katiba mpya?
 
Back
Top Bottom