Utata wa Sheria na Kanuni hizi za Bunge la Katiba utazaa Katiba ya mtaa wa Lumumba

Utata wa Sheria na Kanuni hizi za Bunge la Katiba utazaa Katiba ya mtaa wa Lumumba

MissM4C, hawakukosea kwenda Ikulu, bali kuna kitu Chadema ilipaswa kufanya mule bungeni, haikufanya, badala yake, wakasusa, wakatoka nje, sheria ikapitishwa bila wao, ndipo wakaitwa ikulu kubembelezewa juice, chai na vitafunwa!.

Kosa lilifanyika mwanzo na haya ni matokeo tuu!, tangu mwanzo tumepiga kele Chadema i deal na chanzo, na sasa haya ni matokeo tuu!. Kama ulishindwa kuzuia chanzo, ukafurahia juice na chai, unashangaa nini kwa matokeo haya?.
Kanisome hapa labda utanielewa Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
Pasco.

acha vituko wée ndugu, CHADEMA hata wangebaki ndani wange influence vipi kwa idadi yao ndogo? Tumia akili japo kidogo Pasco! Kwa kutoka nje tumejua what they are standing for! Wangekaa ndani wangenekana wameunga mkono, History will tell! is just a matter of time!
 
Hili lilijulikana mapema, ndo maana wakalazimisha Wabunge na Wawakilishi toka Zanzibar wawe wajumbe na pia Rais achague wajumbe 201! Hapa kuna bao la kisigino linakuja hapa!
 
Kwa wanaotegemea kupatikana katiba mpya chini ya utawala wa ccm mnaota ndoto! Ccm wamejazama dodoma kwa ajili ya kuchakachua mawazo ya wananchi na si vinginevyo!
 
Wakuu nimekiwa kwenye lindi la msongo wa mawazo mazito juu ya upatikanaji wa katiba ya umma,

Utata wa sheria ya katiba mpya.

Kwenye tafsiri ya kiswahili inatafsiriwa hivi:

1. Tafsiri ya kifungu cha 25 (2)cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba juu ya Majukumu ya Bunge la Katiba Mpya inasema hivi: "Bunge Maalumu la Katiba litakuwa na jukumu la kuijadili rasimu ya Katiba na kuipitisha tu"

Sheria hii ya mabadiliko ya Katiba inalifunga Bunge Maalumu la Katiba kuishia katika kujadili na kupitisha rasimu hiyo bila kuondoa neno wala kuongeza neno litakalobadili maana ya neo hilo.

Vivyo hivyo Bunge la katiba litafanya kazi ya kuboresha masharti ya Katiba yaliyomo ndani ya rasimu ya Katiba pasipo kuweka masharti mapya ambayo kwa taathira yatabadili ama kufifisha masharti ya kikatiba yaliyomo kwenye Rasimu hii ya Katiba Mpya.


Lakini kwenye tafsiri ya sheria ile ya kiingereza kifungu hichohicho inatoa ruhusa kwa Bunge la katiba, kujadili, kuondoa kifungu, kutunga kifungu ama KUIONDOA/KUIFUTA kabisa rasimu ile ya Mzee Warioba ambayo ndio maoni ya umma na kuleta rasimu yao ya Lumumba,

Utata huo hauishii kwenye Sheria tu bali upo pia kwenye KANUNI za uendesha wa Bunge lenyewe la katiba,


Mathalani ukakasi wa kanuni ya 48 ya uendeshaji wa bunge la katiba unaosema kutakuwa na mambo ya faragha katika utungaji wa katiba hiyo,


Watanzania lazima tureje hata kwenye historia ya nchi yetu, Tujifunze huko ambapo tunaona wazi kuwa hata Lancaster House hapakuwa na faragha wakati Wazungu wakiandika katiba ya kwanza ya Tanganyika!

Katiba hutungwa na watu na bunge la katiba ni bunge la watu kwa niaba ya watanzania!

Watanzania tusimame tukatae uimla huu, sasa tuwaeleze hawa mabeberu wa ndani kuwa MAPINDUZI ya kiraia hayaepukiki ikiwa watafinyanga matakwa ya umma,

Jionee vifungu vyenye utata hapa chini.

hapo kwenye nyekundu,

hata bunge lenyewe limechaguliwa na wana lumumba na cyo watanzania
 
acha vituko wée ndugu, CHADEMA hata wangebaki ndani wange influence vipi kwa idadi yao ndogo? Tumia akili japo kidogo Pasco! Kwa kutoka nje tumejua what they are standing for! Wangekaa ndani wangenekana wameunga mkono, History will tell! is just a matter of time!
Mkuu Kasimba, bunge la vyama vingi linaendeshwa kwa sheria taratibu na kanuni, ili muswada wa serikali upite, lazima kwanza uanzie kwenye kamati, kisha maoni ya kambi rasmi ya upinzani kwa wizara husika.

Uratibu wa kuuzuia muswada usipite ni kuusimamisha, kwa kutokutoa maoni ya kambi ya upinzani na badala yake kuweka zuio!.

Chadema walipaswa kuweka zuio kwa mujibu wa kanuni ili kuusimamisha process nzima na ukishaweka zuio spika lazima ataisimamisha process nzima, utasikilizwa hoja za zuio, ndipo serikali itajibu, kisha kura zitapigwa kuuruhusu kuendelea au laa, kama serikali ingekaidi na kuendelea, record zingebaki kwenye hansard kuwa Chadema walizuia kwa hoja a,b,c,d!, serikali ikapuuza!.

Chadema walichofanya ni kutoa maoni ya kambi ya upinzani (hii ni pre requisite kwa muswada kusonga mbele!" hivyo walitoa go ahead muswada usonge mbele, then kwenye last line, ndio wakasema "tunapiga!"

Hii ni sawa na zile za wanawake wa Kichagga wa enzi zille, unamshika mkono kumuongoza, anajifanya anasita huku akisema "sitaki" lakini kwa miguu anakuja!.

Anakuona kabisa mnaingia guest, mnachukua room, Ile kufika tuu chumbani, unamvua nguo, anajaribu kuzizui huku akisema "sitaki" huku akiachia nguo zivuke!. Nguo zote zimetoka, panda kitandani "sitaki!" huku anapanda!, kisha anafunga miguu eti "sitaki!"
Pasco.
 
Wasapu ndo nini? Shule kitu mhimu sana. Kila wakati unakuja na ushuzi mtupu kama mwendawazimu mwenye makengeza Mbowe

Sio kosa lako hilo ni tatizo la kuzaliwa nje ya ndoa hata maono yako yanatuonyesha pole sanaa.
 
Hili lilijulikana mapema, ndo maana wakalazimisha Wabunge na Wawakilishi toka Zanzibar wawe wajumbe na pia Rais achague wajumbe 201! Hapa kuna bao la kisigino linakuja hapa!

Watanzania tukatae hilo kwa nguvu zote
 
MissM4C, hawakukosea kwenda Ikulu, bali kuna kitu Chadema ilipaswa kufanya mule bungeni, haikufanya, badala yake, wakasusa, wakatoka nje, sheria ikapitishwa bila wao, ndipo wakaitwa ikulu kubembelezewa juice, chai na vitafunwa!.

Kosa lilifanyika mwanzo na haya ni matokeo tuu!, tangu mwanzo tumepiga kele Chadema i deal na chanzo, na sasa haya ni matokeo tuu!. Kama ulishindwa kuzuia chanzo, ukafurahia juice na chai, unashangaa nini kwa matokeo haya?.
Kanisome hapa labda utanielewa Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
Pasco.
Pasco, lazima utakuwa mgonjwa! Haki ya mama akili zako zimeathiriwa eidha na tumbo au tamaa tu. Yani Chadema hao wasingetoka bungeni wangebadili nini ambacho CCM ya Lowassa wako wangeamua?
 
Last edited by a moderator:
Pasco, lazima utakuwa mgonjwa! Haki ya mama akili zako zimeathiriwa eidha na tumbo au tamaa tu. Yani Chadema hao wasingetoka bungeni wangebadili nini ambacho CCM ya Lowassa wako wangeamua?
Mkuu Ikwe, kwenye utawala kuna kitu kinaitwa sheria taratibu na kanuni, ndio kufuata misingi ya kitu kinaitwa law and order!.

Kama kanuni A ya kupitisha muswada wa serikali inasema Maoni ya Upinzani yasomwe!.
Na Kanuni B ya kuupinga muswada inasema Maoni ya Upinzani yasisomwe bali wawasilishe pingamizi!.
Wewe ukaitumia kanuni A kuupitisha huo muswada, line ya mwisho ukasema tunapinga! muswada unapt, mnasusa mnatoka nje!, kama ulimaanisha kupinga then you must be joking!. Kwa nini hukuitumia kanuni ya kuusimamisha huo muswada ambayo iko provided kwenye kanuni?!.

Kiukweli, japo CCM imeoza kwa rushwa na ufisadi, Chadema ingeshinda ile 2010, nakuapia kwa jina la Mu...ingekuwa majanga!. Najua wengi mnaipenda mon Chadema hadi inapoboronga, mnaogopa kuiambia ukweli mkiichelea italia!, mchelea mwana kulia, hulia yeye!.

Pasco.
 
Mkuu Ikwe, kwenye utawala kuna kitu kinaitwa sheria taratibu na kanuni, ndio kufuata misingi ya kitu kinaitwa law and order!.

Kama kanuni A ya kupitisha muswada wa serikali inasema Maoni ya Upinzani yasomwe!.
Na Kanuni B ya kuupinga muswada inasema Maoni ya Upinzani yasisomwe bali wawasilishe pingamizi!.
Wewe ukaitumia kanuni A kuupitisha huo muswada, line ya mwisho ukasema tunapinga! muswada unapt, mnasusa mnatoka nje!, kama ulimaanisha kupinga then you must be joking!. Kwa nini hukuitumia kanuni ya kuusimamisha huo muswada ambayo iko provided kwenye kanuni?!.

Kiukweli, japo CCM imeoza kwa rushwa na ufisadi, Chadema ingeshinda ile 2010, nakuapia kwa jina la Mu...ingekuwa majanga!. Najua wengi mnaipenda mon Chadema hadi inapoboronga, mnaogopa kuiambia ukweli mkiichelea italia!, mchelea mwana kulia, hulia yeye!.

Pasco.

Pasco

Hivi wewe ni mgeni mgeni wa utawala wa bunge na taratibu zake?

Mara ngapi bunge linaongozwa kwa meseji toka Ada estate??
 
Last edited by a moderator:
Pasco

Hivi wewe ni mgeni mgeni wa utawala wa bunge na taratibu zake?

Mara ngapi bunge linaongozwa kwa meseji toka Ada estate??
Mkuu Yeri, namalizia kwa msisitizo, Chadema ilipaswa kufuata taratibu, sheria na kanuni!, period!.

Kama kanuni inasema ili muswada usonge mbele, moni ya kambi rasmi ya upinzani, lazima kwanza yasomwe!.
Ili muswada usimamishwe, lazima lipelekwe pingamizi!, Chadema haikupeleka pingamizi1, that was it!.
Pasco
 
Mkuu Kasimba, bunge la vyama vingi linaendeshwa kwa sheria taratibu na kanuni, ili muswada wa serikali upite, lazima kwanza uanzie kwenye kamati, kisha maoni ya kambi rasmi ya upinzani kwa wizara husika.

Uratibu wa kuuzuia muswada usipite ni kuusimamisha, kwa kutokutoa maoni ya kambi ya upinzani na badala yake kuweka zuio!.

Chadema walipaswa kuweka zuio kwa mujibu wa kanuni ili kuusimamisha process nzima na ukishaweka zuio spika lazima ataisimamisha process nzima, utasikilizwa hoja za zuio, ndipo serikali itajibu, kisha kura zitapigwa kuuruhusu kuendelea au laa, kama serikali ingekaidi na kuendelea, record zingebaki kwenye hansard kuwa Chadema walizuia kwa hoja a,b,c,d!, serikali ikapuuza!.

Chadema walichofanya ni kutoa maoni ya kambi ya upinzani (hii ni pre requisite kwa muswada kusonga mbele!" hivyo walitoa go ahead muswada usonge mbele, then kwenye last line, ndio wakasema "tunapiga!"

Hii ni sawa na zile za wanawake wa Kichagga wa enzi zille, unamshika mkono kumuongoza, anajifanya anasita huku akisema "sitaki" lakini kwa miguu anakuja!.

Anakuona kabisa mnaingia guest, mnachukua room, Ile kufika tuu chumbani, unamvua nguo, anajaribu kuzizui huku akisema "sitaki" huku akiachia nguo zivuke!. Nguo zote zimetoka, panda kitandani "sitaki!" huku anapanda!, kisha anafunga miguu eti "sitaki!"
Pasco.

Pasco, Bunge hili linafuata kanuni kama hiyo au ni daydream? Jamaani hivi unajua maana ya hoja ya nguvu, kanuni kama hiyo ingekuwa inazingatiwa tusingekuwa kila siku tunaona madudu ya bunge hili, hebu kuwa realistic japo kidoogo na kwa mtazamo wangu i know you know everything ila hapa tunaandika tuu kufurahisha baraza!
 
Pasco, Bunge hili linafuata kanuni kama hiyo au ni daydream? Jamaani hivi unajua maana ya hoja ya nguvu, kanuni kama hiyo ingekuwa inazingatiwa tusingekuwa kila siku tunaona madudu ya bunge hili, hebu kuwa realistic japo kidoogo na kwa mtazamo wangu i know you know everything ila hapa tunaandika tuu kufurahisha baraza!
Mkuu Kasimba, mwanasiasa mzuri au chama imara ni kile kinachutumia "nguvu ya hoja" na sio hoja ya nguvu!.

Kama kanuni inasema utapiga hodi kabla ya kuingia ndani!, utapiga hodi ndipo uingie na sio kujiingilia tuu kama kuingia chooni!.

Kanuni za bunge zinatamka wazi ili hoja ya serikali ipite, lazima kwanza maoni ya kambi ya upinzani yaletwe!.

Kanuni hizo hizi zinasema namna pekee ya kupinga hoja ya serikali ni kwa kuweka pingamizi!, zuio!.

Hoja imeletwa Chadema wametoa maoni ya kambi ya upinzani badala ya pingamizi, hoja ikapita, hapo unataka kueleza nini?!.

Maadam kanuni inasema lete pingamizi, wewe ukatoa go ahead, Chadema wangeweka pingamizi, hata kama mwisho wa siku pingamizi hilo lingekataliwa kwa CCM kuutumia vibaya wingi wao bungeni, ingebaki kwenye hansard na kwenye record, Chadema walipinga!.

Nilikilaani kitendo cha Chadema kutoa go ahead, kisha kususa kwa kutoka nje, baadaya chai na juice ikulu, hapa sasa ndipo tulipofikishwa!. Na baada ya hoja za CCM za serikali mbili kupita!, sitawashangaa watakaohamasisha wananchi kupiga kura ya hapana katika kura za maoni, ili katiba mpya ikataliwe turudi kwenye katiba ya zamani!.

Hili likifanyika, kiukweli kabisa nitahamasisha maandamano nchi nzima, ruzuku kwa vyama vya siasa zifutwe tujue moja!. Pasco
 
Mkuu Kasimba, mwanasiasa mzuri au chama imara ni kile kinachutumia "nguvu ya hoja" na sio hoja ya nguvu!.

Kama kanuni inasema utapiga hodi kabla ya kuingia ndani!, utapiga hodi ndipo uingie na sio kujiingilia tuu kama kuingia chooni!.

Kanuni za bunge zinatamka wazi ili hoja ya serikali ipite, lazima kwanza maoni ya kambi ya upinzani yaletwe!.

Kanuni hizo hizi zinasema namna pekee ya kupinga hoja ya serikali ni kwa kuweka pingamizi!, zuio!.

Hoja imeletwa Chadema wametoa maoni ya kambi ya upinzani badala ya pingamizi, hoja ikapita, hapo unataka kueleza nini?!.

Maadam kanuni inasema lete pingamizi, wewe ukatoa go ahead, Chadema wangeweka pingamizi, hata kama mwisho wa siku pingamizi hilo lingekataliwa kwa CCM kuutumia vibaya wingi wao bungeni, ingebaki kwenye hansard na kwenye record, Chadema walipinga!.

Nilikilaani kitendo cha Chadema kutoa go ahead, kisha kususa kwa kutoka nje, baadaya chai na juice ikulu, hapa sasa ndipo tulipofikishwa!. Na baada ya hoja za CCM za serikali mbili kupita!, sitawashangaa watakaohamasisha wananchi kupiga kura ya hapana katika kura za maoni, ili katiba mpya ikataliwe turudi kwenye katiba ya zamani!.

Hili likifanyika, kiukweli kabisa nitahamasisha maandamano nchi nzima, ruzuku kwa vyama vya siasa zifutwe tujue moja!. Pasco

Unafikiri wanasheria wenzio akina Tundu Iisu hawajui hiyo kanuni? Au unafikiri ni kwanini wana opt kufanya wanavyofanya kama ni rahisi kiasi hicho? This is Tz friend! where impunity is at its climax! NO kanuni here, no sheria kwa baadhi ya watu! no hoja mbadala so long as the superiour group wameamua kitu! mnaweza kufukuzwa bungeni for no reason ili mradi mambo ya the chosen one yapite and unaona kila siku vitu vinavyotokea ndugu! Sleep one eye open like a rabbit ndugu!
 
Unafikiri wanasheria wenzio akina Tundu Iisu hawajui hiyo kanuni? Au unafikiri ni kwanini wana opt kufanya wanavyofanya kama ni rahisi kiasi hicho? This is Tz friend! where impunity is at its climax! NO kanuni here, no sheria kwa baadhi ya watu! no hoja mbadala so long as the superiour group wameamua kitu! mnaweza kufukuzwa bungeni for no reason ili mradi mambo ya the chosen one yapite and unaona kila siku vitu vinavyotokea ndugu! Sleep one eye open like a rabbit ndugu!
Mkuu Kasimba G, sina shaka kabisa na umahiri wa Mhe Tundu Lissu kama mwanasheria nguli, ila hata mabingwa na waliobobea nao pia huwa wakati fulani, wanachemsha!.

Fuatilia mjadala huu uone kama Chadema walichemka au laa!.
[h=3]Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!.[/h]Pasco
 
Mkuu Kasimba G, sina shaka kabisa na umahiri wa Mhe Tundu Lissu kama mwanasheria nguli, ila hata mabingwa na waliobobea nao pia huwa wakati fulani, wanachemsha!.

Fuatilia mjadala huu uone kama Chadema walichemka au laa!.
Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!.

Pasco

Nimesoma hoja zakobut, amini usiamini kwa Ulaya au pande nyingine za Africakwenye Rule of Law sawa, huku kwetu hamna hiyo, ushahidi ni Mwangosi saga, Ulimboka Saga, Mvungi saga, et al!
 
Back
Top Bottom