Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
endelea kuota ndoto za mchana mdomo juu kama mbwa!
Mkuu mbona matusi?
Povu la nini sasa?
Kufulia ndo kumekuudhi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kuota ndoto za mchana mdomo juu kama mbwa!
MissM4C, hawakukosea kwenda Ikulu, bali kuna kitu Chadema ilipaswa kufanya mule bungeni, haikufanya, badala yake, wakasusa, wakatoka nje, sheria ikapitishwa bila wao, ndipo wakaitwa ikulu kubembelezewa juice, chai na vitafunwa!.Kwa Hiyo unamaanisha Wakuu wa Upinzani walikosea Kwenda Ikulu?
Mkuu Shingwe,kwa akili yako suala la kupatikana katiba bora anayewajibika ni CDM?????????????
Kama taifa litaendelea kubaki na watu wenye mawazo mgando kama wewe basi tumekwisha!!!!
Mkuu wa Boda, kwanza asante, pili tafuta muda wa kunisoma hapa, Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!.Ktk watu niliokuwa nawaheshimu hapa jamvini kutokana na michango yao mmoja wao ni wewe Pasco lkn nasikitika kusema kuwa nimekupuuza nimekudharau sana kutokana post yako hii eti unasema kuwa watu wazima wamefuata juice na mikate ikulu?! Real? Hunatofauti na visebengo wa hapo lumumba shame!
Katiba mpya ilikuwa ni sera ya Chadema, haikuwahi kuwa sera ya CCM!.
Tangu mchakato unaanzishwa na CCM tuliwaonya Chadema beware of the phase "I fear the Greeks especially when they bring gifts!", Chadema hakusikia, CCM walipouleta ule muswada, tukiwategemea Chadema wangeusimamisa mchakato by doing the right thing at the right time and doing it right!, Chadema hakufanya walichopaswa kufanya!, na badala yake wakakimbilia juice, chai na vitafunwa vya Ikulu!, haps tulipofikia unadhani ndio tunaweza kufanya nini?!.
Dawa ni kwa Chadema na wengine wote kutulia tuu kama wananyolewa!, tuipate hiyo "bora katiba" msibiri kutimiza hiyo ndoto yenu ya 2015, ndipo mtuletee "katiba bora!".
Hiki unachotaka kushauri ni kutupigia tuu makelele ya mlango, the ball is set, kipenga kitapulizwa na magoli yataingia!.
Hii ni sehemu ya kulipia gharama ya kufanya kulichopaswa kufanywa, and this is the price Chadema na sisi wengine wote, must pay!.
Pasco.
Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!Hii nchi iko na raia wa kiwango cha chini wengi mno akiwemo Pasco.
Mkuu Shingwe,
Mchakato huu ni process, ulianzia Bungeni, Chadema kikiwa ni chama kikuu cha Upinzani, kuna kitu hapa Chadema kilipaswa kufanya tangu mwanzo, hakikufanya na haya sasa ndio matokeo!.
Jee kitu ambacho Chadema walipaswa kufanya ni nini?, kwa nini hawakufanya?, na badala yake walifanya nini?.
Soma hapa Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
Pasco
Wasapu ndo nini? Shule kitu mhimu sana. Kila wakati unakuja na ushuzi mtupu kama mwendawazimu mwenye makengeza Mbowe
mkuu wa boda, kwanza asante, pili tafuta muda wa kunisoma hapa, katiba: chadema mlikosea! kubalini yaishe, tusonge mbele!.
Pasco.
Nikweli,Ukiangalia mapendekezo ya kanuni za Bunge la Katiba utaona zinakubaliana kabisa na madaraka ya Bunge hilo kwa mujibu wa Kifungu cha 25 cha Sheria ya Mapitio ya Katiba.
Pasco,
Upataji wa katiba ni mchakato, hakuna taifa lililowahi kubadilisha katiba yake ndani ya miaka mitano baada ya kuitunga,
Mfano Tanganyika ilichukua miaka sita kupata katiba kutoka kwa Waingereza ijapokuwa halikuwa koloni lake, Kenya iliwachukua miaka 15 kupata katiba tangu mchakato wake uanza, Tanzania mapambano ya kudai katiba yalianza tangu kuundwa kwa Azimio la Zanzibar 1992, na leo ndio tunataka kuipata.
Kuuacha mchakato huu uendelee ilihali unafinyanga matakwa ya uum ni uhaini, kikundi kidogo (ccm) kinalisaliti taifa halafu unapendekeza tuache ipite tukitaraji mpaka Chadema iingie madarakani????? Isiposhida 2015 inamaana taifa litaendelea kutopea kwenye lindi la uzandiki huu???
Noooooo hapa kinachofuata ni kuvu ya umma na sio nguvu ya siasa,
Nilivyokuwa nafahamu mimi (may be wrongly) Bunge la Katiba ni Supreme Council ambayo haifungwi na mipaka yoyote katika kuhoji na hata kurekebisha chochote kadiri itakavyoonekana inafaa. Tatizo ni "uhuni" wa CCM, otherwise ndivyo ilivyotakiwa kuwa.
Hivi Tanzania bado kuna watu wenye akili mbovu kama zako?... Wewe ni houseboi wa nani?vipi biashara yako ya vitabu na udhamini wa u.s aid unaendeleaje?.naona mbowe boss wako amepata zali la kushuglikia posho iongezwe japo ifikie laki 6 akulipe na wewe houseboy wake.
Wewe ni CCM? Mpuguso kuna CCM? Sasa Masaki na Oysterbay kuna nini?... Nahisi harufu ya Ulanzi wa Mpuguso..Kila siku tunasema CDM hawana maana.... hawana dira... hawana mikakati yoyote ya kile wanachoamua na kusimamia...
Hebu mkuu angalia taifa linavyoingia gharama kubwa kufanya kitu ambacho hakina maslahi yoyote wala jipya lolote kwa taifa...
Hebu ona wajumbe wote nguvu zao zipo kwenye muundo wa serikali na muungano.. Kwa jinsi wajumbe wa CCM walivyo wengi ni nadra kupata kitu tofauti na cha awali....
CCM wanataka serikali mbili na itapita.. Sehemu kubwa ya katiba itakayopitishwa itabeba maslahi ya CCM ni viongozi wazembe wa CDM walioshindwa kufikiri impact hii mbeleni ndo sasa wanahaha eti watasusia mchakato mzima then hasara haijulikani atafidia nani...
ni hasara na laana kubwa kuwa na viongozi wa namna yao wasiojua mahitaji ya taifa ni nin,, yaje lini na kwa njia gani..
Huko awali tulipata kusema unaweza ukawa na katiba mpya lakini isiwe suluhisho la uchumi au matatizo yetu.. kama watekelezaji wa katiba ni walewale watungaji ni walewale waliozoea kuishi kwa mazoea huwezi ukapata jipya katika utendaji hata kama kutakuwa na mambo mapya kwenye katiba....
Kwa ufupi wamechemka bora CCM tuliokiri toka Awali katiba haikuwa kipaumbele chetu..
Nimevunjika moyo sana kwa mambo mengi kidogo , kwani mwanzoni nilitengemea bunge maalumu la katiba linakwenda pale kufanya kazi ya wananchi wa tanganyika waliopoteza uhalisia wao kwa kipindi kirefu. Sasa hali ninayoiona pale ni kitu tofauti kabisa kumbe watu wamekusanywa waende pale ili mwisho wasiku wapige kura za ndio kama ambavyo wabunge wa bunge la bajeti wanavyopitisha mambo ambayo baadaye yanaigharimu nchi. Sasa changamoto ni je tutafanyaje ili tusipate katiba ya CHAMA TAWALA? Maana waliokwenda wamekwenda kwa ajili ya kufuta au kukataa maoni yaliyotolewa na wananchi ambao wamewachangua ili wawawakilishe. Lakini jambo lingine ambalo naliona KAMA TAYARI UTARATIBU UNAONYESHA KUWA BUNGE LA KATIBA LINAYO MAMLAKA KUFUTA /KUONDOA MAONI YA MWANANCHI NA KUWEKA WANAVYOONA WAO KWANINI TUMETUMIA PESA NYINGI KUKUSANYA MAONI LINGEUNDWA BUNGE HILI LIKATENGENEZA KATIBA ILI KUOKOA GHARAMA.:shock:
Wewe ni CCM? Mpuguso kuna CCM? Sasa Masaki na Oysterbay kuna nini?... Nahisi harufu ya Ulanzi wa Mpuguso..
Najiuliza sana, hivi kwamfano kwenye hiyo Sheria ya mabadiliko ya katiba ambayo ilitungwa awali kabisa, wanasheria wetu mahiri na wazee wetu wote hawakuona kasoro hizo????
Na wewe vunajiita CCM? Hata bajaji huna? Wenye CCM ni watu wanaohesabika!... Hawazidi 200!... Tena wanafahamika.. Siyo wewe unayetoka kwenye familia za "kajamba nani!"... Ushirika, mpuguso mpaka kaporogwe hakuna mwana - CCM!!!...kumbe mpuguso hakuna CCM? unachekesha!!!!