GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Hata kama ni "vijana", ukiona kuna uhitaji huo na unamudu kuwajengea fanya hivyo. Utakuwa umetoa sadaka.Wakishakua wakongwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni "vijana", ukiona kuna uhitaji huo na unamudu kuwajengea fanya hivyo. Utakuwa umetoa sadaka.Wakishakua wakongwe
Ukiwajengea, chukulia umetoa sadaka. Si yako tena.Sithubutu Bora tuunganishe nguvu na ndugu zako au nijenge yangu niwape wakae wakichemka waniachie
Mkeo siyo bidhaa mkuu. Hujamnunua. Mahari ni zawadi tu.Nimetoa Mahali inatosha🤣🤣🤣🪑
Haipaswi kuwa hivyo mkuu.Nitajenga kwenye uwanja wangu nawahamishia hapo, siku yakiisha nao wameisha kila mtu akale alikopeleka mboga. Maisha yenyewe sasa hivi tunaishi kimachale machale tu hakuna kufumba macho yote.
Kivipi mkuu?Kwani kutoa sadaka Pana mipaka
You are absolutely wrong sir!One man down.
You are not the true son of your father
Nimetoa Mahari inatosha🤣🤣🤣🪑
Big noHata kama ni "vijana", ukiona kuna uhitaji huo na unamudu kuwajengea fanya hivyo. Utakuwa umetoa sadaka.
Mkuu, huo ni mtizamo wa kibinafsi. Wewe si kwa ajili ya manufaa yako binafsi. Mafanikio yako yanapaswa kuwagusa na wengine, hata wasiokuwa na undugu nawe.Jenga uchumi wa familia yako,
Kujjipendekeza kujenga kwenye familia ya watu wengine ni upuuzi,
Unajenga kwa wazazi wako, halafu wew unakufa na nyumba tatu na watoto wanne,
Si bora ujengee watoto wako ili future iwe nzuri, hao wakwe unaowajengea in most cases hawana more than 20 years za kuishi
Why?Big no
Anhaa akija mwamba mwingine anachinjiwa kuku ila wewe ukienda ni mwendo wa soda ya fanta na ugali samaki hizo ni dharau kweli kweliKama mtoto wao tunakaa nae kwa amani na upendo nitawajengea ila kama kuna vurugu sitawajengea ili kuepuka hasara ya kujenga ukweni. Na pia nitaangalia kama wakwe zangu wananiheshimu. Unakuta masela mmea nyumba moja lakini kuna wenzako wengine wanapewa heshima kutokana na kipato chao huku we kapuku ukidharaulika ukweni hata kuku huchiwi wanachiwa wenzako. Ukweni kuna dharau sana kama huna kitu ukilinganishwa na watozi wenzako. Labda uwe peke yako ndio umeoa huko hakuna kenge mwingine wa kulinganishwa nawe