Utawajengea wakwe zako nyumba?

Kama wanakaa nyumba duni na wewe unauwezo kwa nini usiwajengee?
Kama unaweza kuwasaidia watu ambao hata huna uhusiano nao kwa nini iwe tatizo kuwasaidia wakwe zako?
Wewe wajengee tena Nyumba nzuri tu kulingana na uwezo wako
β˜‘οΈπŸ™πŸ™πŸ™
 
Fresh TU kama binti yao tumemkuta bikira
 
Fresh TU kama binti yao tumemkuta bikira
Vigezo na masharti kuzingatiwa, lazima Binti awe bikra. Sio wahuni wamemgalagaza vya kutosha halafu unakuja wewe unajifanya una mahaba mengi unajenga ukweni
 
Hilo Suala Linaambatana Na Uwezo Kubwa Kuliko Yote Hakuna Ubaya Wowote
Jenga Faster Faster
 
Nitajenga kwenye uwanja wangu nawahamishia hapo, siku yakiisha nao wameisha kila mtu akale alikopeleka mboga. Maisha yenyewe sasa hivi tunaishi kimachale machale tu hakuna kufumba macho yote.

[emoji23][emoji23]
 
Na nilishagasema nyumba nitakayokwenda kutoa posa halafu wakwe waniletee ngendembwe za kutaka mahari yao kias walichokitaja kiwe fixed isipungue hata mia, nikiwa nimemuelewa vizuri binti yao hiyo mahari nitalipa na hapo ndo nitakuwa nimemalizana na ukweni.
 
Sio jambo baya!
Lakini Mimi nani nijengee mkwe nyumba wakati shemeji zangu wapo wanajenga heshima bar?
 
Wanadai mahali kwa fujo siwajengei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…