Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Hakuna kuwajengea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
☑️🙏🙏🙏Kama wanakaa nyumba duni na wewe unauwezo kwa nini usiwajengee?
Kama unaweza kuwasaidia watu ambao hata huna uhusiano nao kwa nini iwe tatizo kuwasaidia wakwe zako?
Wewe wajengee tena Nyumba nzuri tu kulingana na uwezo wako
Fresh TU kama binti yao tumemkuta bikiraKwa wengine ni kama mwiko kuwajengea wakwe nyumba.
Lakini mimi sioni kama kuna ubaya wo wote ule kufanya hivyo, hasa kama hali ya kifedha inaruhusu. Kutaonekana na kasoro tu ikiwa utawajengea wakwe huku wazazi wako wa kukuzaa hujawatendea hilo.
Kimsingi, wakwe zako ni wazazi wako, na wa kwako ni wa mkeo vile vile!
Kama wewe na mkeo ni mwili mmoja, inamaanisha hata na wazazi wenu ni wenu sote.
Wewe una mtazamo gani? Utawajengea wakwe zako nyumba?
Vigezo na masharti kuzingatiwa, lazima Binti awe bikra. Sio wahuni wamemgalagaza vya kutosha halafu unakuja wewe unajifanya una mahaba mengi unajenga ukweniFresh TU kama binti yao tumemkuta bikira
😀Hakuna kuwajengea
Nitajenga kwenye uwanja wangu nawahamishia hapo, siku yakiisha nao wameisha kila mtu akale alikopeleka mboga. Maisha yenyewe sasa hivi tunaishi kimachale machale tu hakuna kufumba macho yote.
Ndugu, tusipangiane namna ya kuishi hata siku moja as long as sivunji sheria. Hilo jambo maamuzi ni hayo nimemalizaHaipaswi kuwa hivyo mkuu.
Mtoto wao wa kiume unaemtomba dada tako?(mkeo?)Kwa kuwa wewe na mke wako ni mwili mmoja, wewe nawe ni mmoja wa watoto wao wa kiume.
✅Unajenga tu kwani Dunia ni yetu
Ni mahari mkuuMahali...Mahari
Hakipo, hata wewe hapo huwafanyii watu kwa usawa ila haimaanishi una dharau au huwaheshimu.Aisee!
Kwamba hakuna kitu kinachoitwa usawa kwenye hii dunia?
Pesa kidogo tu tayari ushaanza kufikiria kuwajengea wakwe [emoji849]
Wanadai mahali kwa fujo siwajengeiKwa wengine ni kama mwiko kuwajengea wakwe nyumba.
Lakini mimi sioni kama kuna ubaya wo wote ule kufanya hivyo, hasa kama hali ya kifedha inaruhusu. Kutaonekana na kasoro tu ikiwa utawajengea wakwe huku wazazi wako wa kukuzaa hujawatendea hilo.
Kimsingi, wakwe zako ni wazazi wako, na wa kwako ni wa mkeo vile vile!
Kama wewe na mkeo ni mwili mmoja, inamaanisha hata na wazazi wenu ni wenu sote.
Wewe una mtazamo gani? Utawajengea wakwe zako nyumba?
✅Ni mahari mkuu
✅🙏🙏🙏Hilo Suala Linaambatana Na Uwezo Kubwa Kuliko Yote Hakuna Ubaya Wowote
Jenga Faster Faster