Utawajengea wakwe zako nyumba?

Utawajengea wakwe zako nyumba?

Kama wewe na mkeo ni mwili mmoja, inamaanisha hata na wazazi wenu ni wenu sote

hiyo kauli ni ya kijinga na kitapeli et mwili mmoja?? how come
 
Kama mtoto wao tunakaa nae kwa amani na upendo nitawajengea ila kama kuna vurugu sitawajengea ili kuepuka hasara ya kujenga ukweni. Na pia nitaangalia kama wakwe zangu wananiheshimu. Unakuta masela mmea nyumba moja lakini kuna wenzako wengine wanapewa heshima kutokana na kipato chao huku we kapuku ukidharaulika ukweni hata kuku huchiwi wanachiwa wenzako. Ukweni kuna dharau sana kama huna kitu ukilinganishwa na watozi wenzako. Labda uwe peke yako ndio umeoa huko hakuna kenge mwingine wa kulinganishwa nawe
Ukiwaonesha upendo watakuheshimu tu hata kama wewe si "mtajiri" kiviile!
 
Kama wana shida sana ya makaazi nitawapa chumba kwenye nyumba yangu wakae kama wapangaji, ila kuwajengea ni umbumbumbu ufala na kujikomba mimi na wao tunamalizana kwenye mahari. Wakiwa na shida na wasaidia kama watu wengine na sio kama wakwe.
 
Kama wana shida sana ya makaazi nitawapa chumba kwenye nyumba yangu wakae kama wapangaji, ila kuwajengea ni umbumbumbu ufala na kujikomba mimi na wao tunamalizana kwenye mahari. Wakiwa na shida na wasaidia kama watu wengine na sio kama wakwe.
Uwatendee kama wazazi wako
 
Back
Top Bottom