GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #41
Mahari✅Mahali...Mahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahari✅Mahali...Mahari
Vipi na wenyewe wakiwazawadia nyumba utaipokea?Ntawapa nyumba tu waishi aisee ila kumiliki hapana
Uchoyo...Nikijaaliwa uwezo sana kiasi kwamba hadi hela ya kuwajengea nione sio kitu hata ikipotea ila hivihivi labda nijenge nyumba wakae lakini hati miliki zangu.
Aliye mwaminifu kwa kidogo atakuwa mwaminifu kwa kikubwa pia.Pesa kidogo tu tayari ushaanza kufikiria kuwajengea wakwe [emoji849]
Kwa kuwa wewe na mke wako ni mwili mmoja, wewe nawe ni mmoja wa watoto wao wa kiume.Wenyewe hawana watoto wa kiume wa kuwajengea?
???Nyumba nikijenga mm ukiona wakwe zangu wanaishi humo ujue ni wapangaji km wapangaji wengine.... Unawajengeaje wakwe zako nyumba ww fala bichwa lako km kocha wa yanga
✅🙏🙏🙏Gorofa mkuu nitawajengea
Utakuwa na amani kukaa kwenye nyumba ya kifahari wakati "wazazi " wako wakiishi kwenye banda lililoezekwa kwa nyasi?Sio jukumu langu.
Ukiwaonesha upendo watakuheshimu tu hata kama wewe si "mtajiri" kiviile!Kama mtoto wao tunakaa nae kwa amani na upendo nitawajengea ila kama kuna vurugu sitawajengea ili kuepuka hasara ya kujenga ukweni. Na pia nitaangalia kama wakwe zangu wananiheshimu. Unakuta masela mmea nyumba moja lakini kuna wenzako wengine wanapewa heshima kutokana na kipato chao huku we kapuku ukidharaulika ukweni hata kuku huchiwi wanachiwa wenzako. Ukweni kuna dharau sana kama huna kitu ukilinganishwa na watozi wenzako. Labda uwe peke yako ndio umeoa huko hakuna kenge mwingine wa kulinganishwa nawe
🤣🤣🤣Anhaa akija mwamba mwingine anachinjiwa kuku ila wewe ukienda ni mwendo wa soda ya fanta na ugali samaki hizo ni dharau kweli kweli
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kuwajengea wakwe nyumba ni sawa na kutoa sadaka.Kivipi mkuu?
✅🙏🙏🙏Kuwajengea wakwe nyumba ni sawa na kutoa sadaka.
Uwatendee kama wazazi wakoKama wana shida sana ya makaazi nitawapa chumba kwenye nyumba yangu wakae kama wapangaji, ila kuwajengea ni umbumbumbu ufala na kujikomba mimi na wao tunamalizana kwenye mahari. Wakiwa na shida na wasaidia kama watu wengine na sio kama wakwe.
😀haitatokea
kama uchoyo ni m'baya ngoja mkeo asiwe nao.Uchoyo...
Hiyo misemo haina tofauti na ile kama ya kitanda hakizai haramu [emoji3]Aliye mwaminifu kwa kidogo atakuwa mwaminifu kwa kikubwa pia.