Utawala wa Awamu ya 5, Paulo Makonda alisingizia Watu kuuza Madawa ya kulevya bila Ushahidi wowote. Alilenga kuwadhalilisha tu

Utawala wa Awamu ya 5, Paulo Makonda alisingizia Watu kuuza Madawa ya kulevya bila Ushahidi wowote. Alilenga kuwadhalilisha tu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tunahitimisha zile nyuzi zetu za mwezi wa Mungu , Kwenye utawala wa awamu ya 5 , Bwana Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , alijipa cheo cha Kitengo cha kudhibiti Madawa ya kulevya kabla ya kudhibitiwa, huku akiutangazia umma kwamba ataweka hadharani Majina ya Waingizaji na wauzaji wa madawa ya kulevya Nchini Tanzania .

Screenshot_2024-04-01-00-45-13-1.png


Katika kampeni yake hiyo alishirikiana kikamilifu na Simon Sirro aliyekuwa RPC wa DSM , Makonda aliungwa mkono na Vyombo vyote vya Habari vya Tanzania , ikiwemo Clouds Media aliyotuhumiwa kuivamia kwa Bunduki usiku wa manane , huku vyombo hivyo vikirusha live upuuzi wake ule bila hata kuhariri .

Waliotajwa kuhusika na Biashara hiyo bila Ushahidi wowote ni Yusufu Manji , aliyedaiwa kuwa pamoja na kuuza unga pia anabwia , Idd Azan , Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima , Wema Sepetu , Riziwan Kikwete , Nyandu Tozi , Mwanamuziki TID , Freeman Mbowe na wengine wengi tu , Miongoni mwa waliokamatwa ni Josephat Gwajima , TID , NYANDU TOZI na Yusufu Manji , Japo kesi iliyovutia Wengi ilimhusu Mfadhili wa Yanga Yusufu Manji , ambaye mpaka sasa vipimo vyake vya mkojo havijulikani majibu yake ,

Hata hivyo Yusufu Manji aliyekuwa na matatizo ya Moyo na huku akitibiwa Marekani na Muhimbili madaktari wake waliithibitishia Mahakama kwamba kwa afya aliyonayo isingewezekana Kutumia Madawa ya kulevya , Kwa niaba ya Jopo la Madaktari hao Profesa Janabi alileta nyaraka Mahakamani zilizothibisha kwamba kwa Tatizo la Moyo alilokuwa nalo Bwana Manji asingeweza kula Unga , na kama angefanya hivyo angekufa , Mahakama ilipokea vielelezo hivyo kama ushahidi .

Kesi za akina Gwajima , TID , Nyandu Tozi , Wema Sepetu na wengine hazikufahamika zilikoishia , Na wala haikuwahi kufahamika kwanini Mbowe na Riziwan Kikwete hawakukamatwa wala kushitakiwa hadi leo , Mbowe alidaiwa kuitumia Club Bilicanas kuuzia Unga huo , huku haikujulikana kama Riziwani yeye alikuwa anauzia Chalinze au kwingine .

FB_IMG_1589397986327.jpg


Mwisho tunatoa wito kwa Viongozi wa kuteuliwa kuacha kuchafua watu kwa sababu zao binafsi , huwezi kuwataja watu kwenye tuhuma nzito namna hiyo halafu ukashindwa kuwafikisha Mahakamani , Nani atawasafisha ?

Kwa kumalizia japo si kwa umuhimu tunawashukuru wadau wate wa JF waliotufuatilia kwenye makala zetu kabambe za Mwezi wa Mungu , tunaamini kwamba makala hizi zimewafunza Jambo , Siku zote tutambue kwamba Madaraka ni dhamana ya muda mfupi tu tujitahidi kuyatumia kwa haki .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO .
 
Nishasema nikiona mtu wa mbeya analeta thread kuhusu dar najua itakua vumbi tu.
Wewe hujui kitu. Sisi tunashukuru hai watu kesi zao zilipeperuka tu.
Kwahiyo tuliza kipira hiko.
 
akuna cha ushahidi point ni kusilibana masizi ya mkaa kuchafuana.

Siasa za bongo zipo hivyo."Makonda muuwaji lakini ushahidi akuna,,"Lema mwizi wa magari",, lakini ushahidi zero.
mara hoo Chadema wamekula pesa za marehemu Sabodo,"toa ushahidi",,mtu hana.😁
 
Unaandika kama umekatwa kichwa au ndio kumtetea shemejio makonda!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wee muuza madawa ya kulevya, tuliza.

Makonda alikua hakurupuki, alikua Mwenyekiti wa usalama Wilaya, Mkoa, kwahiyo ana taarifa zote.
Kinachomtofautisha na waliopita nikwamba yeye alikua na uthubutu wa kuwataja hadharani.
 
Tunahitimisha zile nyuzi zetu za mwezi wa Mungu , Kwenye utawala wa awamu ya 5 , Bwana Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , alijipa cheo cha Kitengo cha kudhibiti Madawa ya kulevya kabla ya kudhibitiwa, huku akiutangazia umma kwamba ataweka hadharani Majina ya Waingizaji na wauzaji wa madawa ya kulevya Nchini Tanzania .

Katika kampeni yake hiyo alishirikiana kikamilifu na Simon Sirro aliyekuwa RPC wa DSM , Makonda aliungwa mkono na Vyombo vyote vya Habari vya Tanzania , ikiwemo Clouds Media aliyotuhumiwa kuivamia kwa Bunduki usiku wa manane , huku vyombo hivyo vikirusha live upuuzi wake ule bila hata kuhariri .

Waliotajwa kuhusika na Biashara hiyo bila Ushahidi wowote ni Yusufu Manji , aliyedaiwa kuwa pamoja na kuuza unga pia anabwia , Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima , Wema Sepetu , Riziwan Kikwete , Nyandu Tozi , Mwanamuziki TID , Freeman Mbowe na wengine wengi tu , Miongoni mwa waliokamatwa ni Josephat Gwajima , TID , NYANDU TOZI na Yusufu Manji , Japo kesi iliyovutia Wengi ilimhusu Mfadhili wa Yanga Yusufu Manji , ambaye mpaka sasa vipimo vyake vya mkojo havijulikani majibu yake ,

Hata hivyo Yusufu Manji aliyekuwa na matatizo ya Moyo na huku akitibiwa Marekani na Muhimbili madaktari wake waliithibitishia Mahakama kwamba kwa afya aliyonayo isingewezekana Kutumia Madawa ya kulevya , Kwa niaba ya Jopo la Madaktari hao Profesa Janabi alileta nyaraka Mahakamani zilizothibisha kwamba kwa Tatizo la Moyo alilokuwa nalo Bwana Manji asingeweza kula Unga , na kama angefanya hivyo angekufa , Mahakama ilipokea vielelezo hivyo kama ushahidi .

Kesi za akina Gwajima , TID , Nyandu Tozi , Wema Sepetu na wengine hazikufahamika zilikoishia , Na wala haikuwahi kufahamika kwanini Mbowe na Riziwan Kikwete hawakukamatwa wala kushitakiwa hadi leo , Mbowe alidaiwa kuitumia Club Bilicanas kuuzia Unga huo , huku haikujulikana kama Riziwani yeye alikuwa anauzia Chalinze au kwingine .

View attachment 2950321

Mwisho tunatoa wito kwa Viongozi wa kuteuliwa kuacha kuchafua watu kwa sababu zao binafsi , huwezi kuwataja watu kwenye tuhuma nzito namna hiyo halafu ukashindwa kuwafikisha Mahakamani , Nani atawasafisha ?

Kwa kumalizia japo si kwa umuhimu tunawashukuru wadau wate wa JF waliotufuatilia kwenye makala zetu kabambe za Mwezi wa Mungu , tunaamini kwamba makala hizi zimewafunza Jambo , Siku zote tutambue kwamba Madaraka ni dhamana ya muda mfupi tu tujitahidi kuyatumia kwa haki .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO .
Zile sanaa ukimsikia na ukamwangalia usoni utajua kweli kabisa.....huyo jamaa bwana
 
Tunahitimisha zile nyuzi zetu za mwezi wa Mungu , Kwenye utawala wa awamu ya 5 , Bwana Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , alijipa cheo cha Kitengo cha kudhibiti Madawa ya kulevya kabla ya kudhibitiwa, huku akiutangazia umma kwamba ataweka hadharani Majina ya Waingizaji na wauzaji wa madawa ya kulevya Nchini Tanzania .

Katika kampeni yake hiyo alishirikiana kikamilifu na Simon Sirro aliyekuwa RPC wa DSM , Makonda aliungwa mkono na Vyombo vyote vya Habari vya Tanzania , ikiwemo Clouds Media aliyotuhumiwa kuivamia kwa Bunduki usiku wa manane , huku vyombo hivyo vikirusha live upuuzi wake ule bila hata kuhariri .

Waliotajwa kuhusika na Biashara hiyo bila Ushahidi wowote ni Yusufu Manji , aliyedaiwa kuwa pamoja na kuuza unga pia anabwia , Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima , Wema Sepetu , Riziwan Kikwete , Nyandu Tozi , Mwanamuziki TID , Freeman Mbowe na wengine wengi tu , Miongoni mwa waliokamatwa ni Josephat Gwajima , TID , NYANDU TOZI na Yusufu Manji , Japo kesi iliyovutia Wengi ilimhusu Mfadhili wa Yanga Yusufu Manji , ambaye mpaka sasa vipimo vyake vya mkojo havijulikani majibu yake ,

Hata hivyo Yusufu Manji aliyekuwa na matatizo ya Moyo na huku akitibiwa Marekani na Muhimbili madaktari wake waliithibitishia Mahakama kwamba kwa afya aliyonayo isingewezekana Kutumia Madawa ya kulevya , Kwa niaba ya Jopo la Madaktari hao Profesa Janabi alileta nyaraka Mahakamani zilizothibisha kwamba kwa Tatizo la Moyo alilokuwa nalo Bwana Manji asingeweza kula Unga , na kama angefanya hivyo angekufa , Mahakama ilipokea vielelezo hivyo kama ushahidi .

Kesi za akina Gwajima , TID , Nyandu Tozi , Wema Sepetu na wengine hazikufahamika zilikoishia , Na wala haikuwahi kufahamika kwanini Mbowe na Riziwan Kikwete hawakukamatwa wala kushitakiwa hadi leo , Mbowe alidaiwa kuitumia Club Bilicanas kuuzia Unga huo , huku haikujulikana kama Riziwani yeye alikuwa anauzia Chalinze au kwingine .

View attachment 2950321

Mwisho tunatoa wito kwa Viongozi wa kuteuliwa kuacha kuchafua watu kwa sababu zao binafsi , huwezi kuwataja watu kwenye tuhuma nzito namna hiyo halafu ukashindwa kuwafikisha Mahakamani , Nani atawasafisha ?

Kwa kumalizia japo si kwa umuhimu tunawashukuru wadau wate wa JF waliotufuatilia kwenye makala zetu kabambe za Mwezi wa Mungu , tunaamini kwamba makala hizi zimewafunza Jambo , Siku zote tutambue kwamba Madaraka ni dhamana ya muda mfupi tu tujitahidi kuyatumia kwa haki .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO .
Bora ufe tu, hakuna haja ya mjinga kama wewe kuendelea kuishi kwenye nchi nzuri kama hii. Mjinga kama wewe ni hasara kwa wazazi wako na mtaji wa kwa matapeli ya kisiasa
 
Back
Top Bottom