Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kuna fikra miongoni mwa wananchi kuwa siku 100 za mwanzo za utawala rais Samia alikuwa akisikiliza ushauri wa wazee hasa raisi Kikwete ndiyo maana kulikuwa na uvumilivu wa kisiasa ndani ya kipindi hicho kifupi, uonevu ulipungua, kesi za kubambikiza zikafutwa n. k
Wananchi wanasema kuwa baada ya miezi hiyo mitatu kuna uwezekano mkubwa kuwa kundi lisilokubaliana na utawala wa Kikwete, na lenye chuki binafsi naye ambalo ni masalia ya mwendazake limefanikiwa kumbadilisha Samia na hivyo kundeleza siasa za ubabe, uonevu, uongouongo.
Wananchi wanadhani kuwa kundi hilo la mwendazake lina longterm goal ya kurudi madarakani na kuendeleza agenda yao, lakini lina lengo la kujilinda kutokana na udhalimu walioutenda kipindi cha mwendazake na kadhalika lina lengo la kulinda positions zao
Wananchi wanadhani kuwa Kundi la mwendazake, limefanikiwa kukamata mpini wa ushawishi kwa rais Samia ndiyo maana Samia amepiga U-Turn na sasa hivi serikali yake imekuwa insensitive kwa hisia za wananchi, imekuwa dhalimu na onevu.
Labda Samia hajui, lakini ukweli ni kwamba Siku zake 100 wananchi walizipokea kwa furaha kubwa lakini siku hizi Uungwaji wake mkono miongoni mwa wananchi unapungua siku baada ya siku, Nenda kasikilize wananchi wanamvyomrate Samia, kwa kweli amepoteza uungwaji mkono kwa kiwango cha kutisha!
Samia ana kazi kubwa mbele yake, lakini ukweli ni kuwa uungwaji wake mkono mbele ya wananchi baada ya siku 100 za utawala wake ni mdogo sana. Sasa ni uamuzi wake, Je aendelee kuwa insensitive au arudi ktk mode aliyokuwa nayo alivyoingia madarakani
Wananchi wanasema kuwa baada ya miezi hiyo mitatu kuna uwezekano mkubwa kuwa kundi lisilokubaliana na utawala wa Kikwete, na lenye chuki binafsi naye ambalo ni masalia ya mwendazake limefanikiwa kumbadilisha Samia na hivyo kundeleza siasa za ubabe, uonevu, uongouongo.
Wananchi wanadhani kuwa kundi hilo la mwendazake lina longterm goal ya kurudi madarakani na kuendeleza agenda yao, lakini lina lengo la kujilinda kutokana na udhalimu walioutenda kipindi cha mwendazake na kadhalika lina lengo la kulinda positions zao
Wananchi wanadhani kuwa Kundi la mwendazake, limefanikiwa kukamata mpini wa ushawishi kwa rais Samia ndiyo maana Samia amepiga U-Turn na sasa hivi serikali yake imekuwa insensitive kwa hisia za wananchi, imekuwa dhalimu na onevu.
Labda Samia hajui, lakini ukweli ni kwamba Siku zake 100 wananchi walizipokea kwa furaha kubwa lakini siku hizi Uungwaji wake mkono miongoni mwa wananchi unapungua siku baada ya siku, Nenda kasikilize wananchi wanamvyomrate Samia, kwa kweli amepoteza uungwaji mkono kwa kiwango cha kutisha!
Samia ana kazi kubwa mbele yake, lakini ukweli ni kuwa uungwaji wake mkono mbele ya wananchi baada ya siku 100 za utawala wake ni mdogo sana. Sasa ni uamuzi wake, Je aendelee kuwa insensitive au arudi ktk mode aliyokuwa nayo alivyoingia madarakani