Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Mbona wananchi bado tunampenda na tunazidi kumpenda? Kajiharibiaje?
Kajiharibia mwenyewe wananchi walimpenda balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajiharibia mwenyewe wananchi walimpenda balaa
Ange fanya yote ila asingegusa maisha ya watu wa chini huo ndo mtaji wa CCM, Tozo la miamala kodi ya nyumba kupitia luku kajimaliza mwenyewe kujisafisha itamgharimu sanaa.Inasemekana kuwa akina Diwani na Majaliwa wanamuingiza chaka.
Inasemekana wanajaribu kumuweka mbali na JK wakati angeweza kupata ushauri mzuri sana wa kuongoza nchi kutoka kwa mzee wa Msoga...
Labda mwanzoni mwa utawala wake, ila sasa hivi crooks ndani ya kitengo ndo wanasimamia showTusipindishe maneno mzee kikwete anasauti sana kwa rais samia angalia hata teuzi zake kwa bara wengi ni watu wa kikwete wanaoteuliwa,wanaobaki nikutoka huko nchi ya Zanzibar angalia ujenzi wa bandari ya bagamoyo ambayo angalia wahalifu wanaoachiwa kwa makosa ya ufisadi
We kama unakula milo 3 ShukuruAmekupelekaje kwenye lindi la umasikini??
weka ushahidi ?
Labda mwanzoni mwa utawala wake, ila sasa hivi crooks ndani ya kitengo ndo wanasimamia show
Hii kazi ya kipuuzi uliyoamua kuifanya itakudhalilisha sana.Amekupelekaje kwenye lindi la umasikini??
weka ushahidi ?
Unamuwakilisha nani? upo kama katuni.Mbona wananchi bado tunampenda na tunazidi kumpenda? Kajiharibiaje?