Utawala wa Samia umekata pumzi

Utawala wa Samia umekata pumzi

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Rais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.

Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.

Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.

Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.

HATUDANGANYIKI!
 
IMG-20240328-WA0777.jpg
 

Hakuna kitu kigumu kama kupata watu wa kuwaamini na kuwatumainia katika nchi ya watu wasio na msimamo na wanafiki kama Tanzania.

Magufuli aliwapata baadhi kwakuwa aliwatoa huko mbali na akawaingiza kwenye chama(ulaji) yeye mwenyewe. Lakini pia aliwapata kwakuwa alikuwa haongei mara mbili, hakucheka na kima.
 
Rais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.

Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.

Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.

Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.

HATUDANGANYIKI!
Hata hamweleweki.
Akiwaacha watu wenu mnanuna.
Akiwatumia eti kafilisika.
Ameachwa Kaleman tu hapa mnaugulia mpk leo.
Sasa Mama piga chini SG wote tuone mtakuja vipi tena
 

Hakuna kitu kigumu kama kupata watu wa kuwaamini na kuwatumainia katika nchi ya watu wasio na msimamo na wanafiki kama Tanzania.

Magufuli aliwapata baadhi kwakuwa aliwatoa huko mbali na akawaingiza kwenye chama(ulaji) yeye mwenyewe. Lakini pia aliwapata kwakuwa alikuwa haongei mara mbili, hakucheka na kima.
Akapata akina Sabaya, Makonda, Gambo et al.
 
Kwani katiba inasema rais lazima awe na timu???
Mada za toka juzi vichaa wengi!!
Anyway kama kuhusu timu mi naona Yanga itafika mbali
 
Akapata akina Sabaya, Makonda, Gambo et al.
Bashiru, Polepole, Kabudi, PM wa sasa kumbuka alikuwa Naibu waziri tu na hakuna aliyetegemea kama angekuwa Waziri mkuu.

Bashiru alipewa chama kabisa, sasa mtu ambae kwanza wala hakuwa Mwanaccm(kama inavyodaiwa) ukampa chama aongoze unadhani anaweza kukusaliti? Wanachama wote wakongwe wanamuona kama mtu asiyestahili kuwa KM wa chama, sasa akikusaliti wewe atabaki na nani?
 
Bashiru, Polepole, Kabudi, PM wa sasa kumbuka alikuwa Naibu waziri tu na hakuna aliyetegemea kama angekuwa Waziri mkuu.

Bashiru alipewa chama kabisa, sasa mtu ambae kwanza wala hakuwa Mwanaccm(kama inavyodaiwa) ukampa chama aongoze unadhani anaweza kukusaliti? Wanachama wote wakongwe wanamuona kama mtu asiyestahili kuwa KM wa chama, sasa akikusaliti wewe atabaki na nani?
Sahihi
 
Hata hamweleweki.
Akiwaacha watu wenu mnanuna.
Akiwatumia eti kafilisika.
Ameachwa Kaleman tu hapa mnaugulia mpk leo.
Sasa Mama piga chini SG wote tuone mtakuja vipi tena
Kwako wewe Kalemani ndiye timu Magufuli? Mtu ambaye kwao anadharaulika ana ushawishi gani?
 
Back
Top Bottom