- Thread starter
- #21
Kwa akili yake anadhani kuteua wauaji na majambazi kutamsaidia!Akapata akina Sabaya, Makonda, Gambo et al.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili yake anadhani kuteua wauaji na majambazi kutamsaidia!Akapata akina Sabaya, Makonda, Gambo et al.
Huyu wasasa anashndwaje kutengeneza wakwake?
Hakuna kitu kigumu kama kupata watu wa kuwaamini na kuwatumainia katika nchi ya watu wasio na msimamo na wanafiki kama Tanzania.
Magufuli aliwapata baadhi kwakuwa aliwatoa huko mbali na akawaingiza kwenye chama(ulaji) yeye mwenyewe. Lakini pia aliwapata kwakuwa alikuwa haongei mara mbili, hakucheka na kima.
Amedhihirisha wazi kuwa ana uwezo mdogo sana!Hu
Huyu wasasa anashndwaje kutengeneza wakwake?
Hu
Huyu wasasa anashndwaje kutengeneza wakwake?
Utawala pekee ulipongezwa na Watanzania wengi , Afrika na Dunia Kwa ujumla hapa Tanzania ni Hayati JPM.Rais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.
Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.
Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.
Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.
HATUDANGANYIKI!
Ni majini peke yake yanayoweza kuunga mkono utawala wa shetani Magufuli! Mtu asiye na huruma na binadamu, mtekaji, jambazi na muuaji!Utawala pekee ulipongezwa na Watanzania wengi , Afrika na Dunia Kwa ujumla hapa Tanzania ni Hayati JPM.
Kama huna elimu ya kuunga unga, basi una Elimu ya makaratasi ila Kichwani HUNA AKILI YA KUKUPA UWEZO KUTATUA MAMBO.
Kama ni mfanyabiashara ni wale wakwepa Kodi na wafanya magendo na biashara haramu.
Kama ni mtumishi wee ni fisadi, tuishi Moja hivi vivu zembe zembe lisilo na werevu Wala ubunifu ila linapenda Hela .
Kama wee ni Raia wa kawaida, basi ulizoea Kunyonya, vya kuchinja huwezi.
Kama ni Mwanasiasa, wee ni wa Vyama vya UPINZANI ,Hawa wakati wa JPM ilikula kwao, vile vitisho vya maandamano na kuitwa ikulu Mara Kwa mara ,kama ilivyokua Kwa Jamaa wa Msoga,..Ngosha alisema NO..na Kweli ikawa NO.
SahihiRais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.
Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.
Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.
Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.
HATUDANGANYIKI!
Pumzi imekataHu
Huyu wasasa anashndwaje kutengeneza wakwake?
Siku JK na kikundi chake cha wahuni akidondoka na CCM ikafa ndiyo nchi hii itaendelea!Mara kwa mara kuteua, kutengua, kuhamisha, kuteua tena, kutengua muda mfupi mara baada ya kuteua, kutengua na kumpachika mtenguliwa hadhi ya ubalozi bila ya kituo cha kazi, n.k. ni kiashiria kikubwa kinachothibitisha kuwa kuna shida na pia kukosa umakini katika mamlaka za uteuzi.
Inawezekana teuzi hutegemea kundi dogo lenye ushawishi ndani chama. Wateuliwa hupendekezwa kutokana haja ya kulinda maslahi ya watawala na kundi hilo. Hakuna anayejali kuhusu vigezo, bali ukaribu na waridi humfanya muhusika naye kunukia kaarufu ka uwaridi.
Wewe usiyejua ambaye hujajificha kwenye keyboard halafu hujui chochote una msaada gani?Tukijificha kwa keyboard zetu tunajua kila kitu.
Uchawa umekutoa fahamu!Tukijificha kwa keyboard zetu tunajua kila kitu.
Eti unauwawa... Umewezaje kuandika wewe pimbi?Rais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.
Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.
Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.
Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.
HATUDANGANYIKI!
Sibishani na mkata viuno mbele ya madume!Eti unauwawa... Umewezaje kuandika wewe pimbi?
We kweli makalio.Uchawa umekutoa fahamu!
Utakuwa kinyeo wewe!We kweli makalio.
Kijana una andika huu ujinga kutokea wapi mkuuRais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.
Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.
Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.
Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.
HATUDANGANYIKI!