- Thread starter
- #41
Wewe unajiharia boxer yako ukiwa soko gani?Kijana una andika huu ujinga kutokea wapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajiharia boxer yako ukiwa soko gani?Kijana una andika huu ujinga kutokea wapi mkuu
Wewe unajiharia boxer yako ukiwa soko gani?
Sema wewe kijana UNAJIPENDA SANA...... nasikia unafanya kazi TIGO..... ndo maana uko hivyo .....NI MFANYAKAZI wa TIGO....pia unajipenda sanaWewe unajiharia boxer yako ukiwa soko gani?
Usiniletee harufu mbaya! Mchana wote huu unainamishwa kisa chips, unadhalilisha wazazi wako!Sema wewe kijana UNAJIPENDA SANA...... nasikia unafanya kazi TIGO..... ndo maana uko hivyo .....NI MFANYAKAZI wa TIGO....pia unajipenda sana
Mama na ujasori wa kifisadi kuuza bandari , hii itamtafuna mpaka kanurini kama mkapa alivyouza nchi kwa ubinafsishajiRais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.
Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.
Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.
Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.
HATUDANGANYIKI!
Wewe ni wa wakala TIGO PESA....UNATOA TIGO??Au salio limeishaUsiniletee harufu mbaya! Mchana wote huu unainamishwa kisa chips, unadhalilisha wazazi wako!
😂😂😂😂ewwwRais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.
Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.
Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.
Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.
HATUDANGANYIKI!
Aione Kwenye File Lake Lumumba FC Buku SabaKwako Lucas 😂
Kwenda zako fisadi wewe. Si nyie mlimsifu hasa pale alivyompiga vijembe jpm na kuwarudisha wote aliyowatumbua serikalini? Sasa kinamshinda nini. Eti anawarudisha timu ya magufuli ili kuungwa mkono na hapo hapo unasema walikua majambazi. Mwenyewe unakiri samia anawarudisha timu ya magufuli kuungwa mkono. Una maana kuungwa mkono na wananchi au fisadi? Bila shaka una maana kinacholengwa ni kura. Sasa timu magufuli kama ni wabaya watatoa wapi kura. Wewe bila shaka ni mtumbuliwa mpigaji cheti feki na kadhalika.Rais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto.
Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake fresh ambayo ataimudu na watamuheshimu. Kuendelea kutumia timu ya Magufuli ni kujizika kwake mwenyewe kwani wanafahamu fika kuwa anataka kuwatumia kupata uungwaji mkono kwa wananchi.
Sisi wananchi hatudanganyiki kwani tunafahamu vizuri timu Magufuli kuwa ni majambazi, wauwaji na pia mafisadi kwa mgongo wa kutupamba kutuita wanyonge! Sisi siyo wanyonge bali tunanyongeshwa, tunatekwa, tunauawa ili kutuziba midomo.
Sasa Rais Samia amebaki akibadilisha timu yake kila kukicha kitu kinachowavunja moyo wale wachache ambao wangeweza kumsaidia.
HATUDANGANYIKI!
Alicheka na waliokuwa wanamfichia hela china tu. Kama akina Bashita na yule Biswalo
Hakuna kitu kigumu kama kupata watu wa kuwaamini na kuwatumainia katika nchi ya watu wasio na msimamo na wanafiki kama Tanzania.
Magufuli aliwapata baadhi kwakuwa aliwatoa huko mbali na akawaingiza kwenye chama(ulaji) yeye mwenyewe. Lakini pia aliwapata kwakuwa alikuwa haongei mara mbili, hakucheka na kima.
Usilete makasiriko shetani Magufuli ndiyo walishampelekea moto kuzimu na kuna wajinga kama wewe wanadhani bado ana ushawishi!Kwenda zako fisadi wewe. Si nyie mlimsifu hasa pale alivyompiga vijembe jpm na kuwarudisha wote aliyowatumbua serikalini? Sasa kinamshinda nini. Eti anawarudisha timu ya magufuli ili kuungwa mkono na hapo hapo unasema walikua majambazi. Mwenyewe unakiri samia anawarudisha timu ya magufuli kuungwa mkono. Una maana kuungwa mkono na wananchi au fisadi? Bila shaka una maana kinacholengwa ni kura. Sasa timu magufuli kama ni wabaya watatoa wapi kura. Wewe bila shaka ni mtumbuliwa mpigaji cheti feki na kadhalika.
Kumbe umeiona hiyoKizimkazi kwani anajali basi.
Huyu anae mponda magufuli sio mzima mkuu n WAKALA WA TIGO PESA.....ANATOA SANAKwenda zako fisadi wewe. Si nyie mlimsifu hasa pale alivyompiga vijembe jpm na kuwarudisha wote aliyowatumbua serikalini? Sasa kinamshinda nini. Eti anawarudisha timu ya magufuli ili kuungwa mkono na hapo hapo unasema walikua majambazi. Mwenyewe unakiri samia anawarudisha timu ya magufuli kuungwa mkono. Una maana kuungwa mkono na wananchi au fisadi? Bila shaka una maana kinacholengwa ni kura. Sasa timu magufuli kama ni wabaya watatoa wapi kura. Wewe bila shaka ni mtumbuliwa mpigaji cheti feki na kadhalika.
Kipwezni Cha watanzView attachment 2950218
Mwambieni ajiheshimu kwanza yeye vinginevyo ni fisadi tu!Huyu ni Rais na ni Mama
Tuwe na Adabu.
Serikali inamkono mrefu.