Utawala wa Samia umekata pumzi

Hu
Huyu wasasa anashndwaje kutengeneza wakwake?
 
Mara kwa mara kuteua, kutengua, kuhamisha, kuteua tena, kutengua muda mfupi mara baada ya kuteua, kutengua na kumpachika mtenguliwa hadhi ya ubalozi bila ya kituo cha kazi, n.k. ni kiashiria kikubwa kinachothibitisha kuwa kuna shida na pia kukosa umakini katika mamlaka za uteuzi.

Inawezekana teuzi hutegemea kundi dogo lenye ushawishi ndani chama. Wateuliwa hupendekezwa kutokana haja ya kulinda maslahi ya watawala na kundi hilo. Hakuna anayejali kuhusu vigezo, bali ukaribu na waridi humfanya muhusika naye kunukia kaarufu ka uwaridi.
 
Hu

Huyu wasasa anashndwaje kutengeneza wakwake?
Yupo tayari kuwaacha watoto, marafiki na wapambe wa makada wakongwe ndani ya chama? Mimi sijui siasa lakini naamini sio kila mtu anayekushauri anakutakia mema. Wengine wana mipango yao ambayo ni kinyume na mafanikio yako!
 
Utawala pekee ulipongezwa na Watanzania wengi , Afrika na Dunia Kwa ujumla hapa Tanzania ni Hayati JPM.

Kama huna elimu ya kuunga unga, basi una Elimu ya makaratasi ila Kichwani HUNA AKILI YA KUKUPA UWEZO KUTATUA MAMBO.

Kama ni mfanyabiashara ni wale wakwepa Kodi na wafanya magendo na biashara haramu.

Kama ni mtumishi wee ni fisadi, tuishi Moja hivi vivu zembe zembe lisilo na werevu Wala ubunifu ila linapenda Hela .


Kama wee ni Raia wa kawaida, basi ulizoea Kunyonya, vya kuchinja huwezi.

Kama ni Mwanasiasa, wee ni wa Vyama vya UPINZANI ,Hawa wakati wa JPM ilikula kwao, vile vitisho vya maandamano na kuitwa ikulu Mara Kwa mara ,kama ilivyokua Kwa Jamaa wa Msoga,..Ngosha alisema NO..na Kweli ikawa NO.
 
Ni majini peke yake yanayoweza kuunga mkono utawala wa shetani Magufuli! Mtu asiye na huruma na binadamu, mtekaji, jambazi na muuaji!

Tunashukuru waliomkata moto mapema kwa kuwa alikuwa janga!
 
Sahihi
 
Siku JK na kikundi chake cha wahuni akidondoka na CCM ikafa ndiyo nchi hii itaendelea!
 
Eti unauwawa... Umewezaje kuandika wewe pimbi?
 
Tangu anaingia madarakani tulishaona hapa hamna kitu uwezo hakuna. Uwezo wa kuwa Rais sio sawa na makalio kila mtu anayo! Ohoo
 
Kijana una andika huu ujinga kutokea wapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…