Utawala wa Samia umekata pumzi

Unapopata cheo alafu huna kampani na nyuzi za town nishida! Hujui nani atakusaidia nanani atazingua
 
Sema wewe kijana UNAJIPENDA SANA...... nasikia unafanya kazi TIGO..... ndo maana uko hivyo .....NI MFANYAKAZI wa TIGO....pia unajipenda sana
Usiniletee harufu mbaya! Mchana wote huu unainamishwa kisa chips, unadhalilisha wazazi wako!
 
Mama na ujasori wa kifisadi kuuza bandari , hii itamtafuna mpaka kanurini kama mkapa alivyouza nchi kwa ubinafsishaji
 
Team Magu all the way,Mama hapo nakubali,safi sana.
Na sitaki makasiriko opinion ni yangu mtu asinipangie,it's my right.
 
Mama anastrugle ili Dili lake la kuuza bandari libaki salama.
Vinginevyo akiondoka 2025 atapoteza Kila kitu
 
Werevu walishajua tangu anaapishwa. Ni watu wajinga na wasio na akili pekee ndiyo waliamini anafaa kuwa Rais. Hakuna kiongozi pale! Hana uwezo hata wa kuwa diwani! Ni katiba tu imembeba! Kuwa Rais sio mchezo! Kwa kifupi ni kichwa panzi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ewww
 
Kwenda zako fisadi wewe. Si nyie mlimsifu hasa pale alivyompiga vijembe jpm na kuwarudisha wote aliyowatumbua serikalini? Sasa kinamshinda nini. Eti anawarudisha timu ya magufuli ili kuungwa mkono na hapo hapo unasema walikua majambazi. Mwenyewe unakiri samia anawarudisha timu ya magufuli kuungwa mkono. Una maana kuungwa mkono na wananchi au fisadi? Bila shaka una maana kinacholengwa ni kura. Sasa timu magufuli kama ni wabaya watatoa wapi kura. Wewe bila shaka ni mtumbuliwa mpigaji cheti feki na kadhalika.
 
Alicheka na waliokuwa wanamfichia hela china tu. Kama akina Bashita na yule Biswalo
 
Usilete makasiriko shetani Magufuli ndiyo walishampelekea moto kuzimu na kuna wajinga kama wewe wanadhani bado ana ushawishi!
 
Huyu anae mponda magufuli sio mzima mkuu n WAKALA WA TIGO PESA.....ANATOA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…