Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Unaandika maneno haya na hujawai hata kufika U.S hujui hata Whitehouse Wala Jengo la Pentagon lilipo unaandika kisa limekuja wazo lako kichwani la kijinga hujawai fika hata Kremlin Wala hata Russia huijui
Ukifika huko ndio unakuwa mwelewa wa mambo ya dunia? Au kufika tu ni sawa na kuhitimu chuo kikuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…