Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Mkuu ebu fatilia jeshi la anga la Urusi na wana anga wa kawaida, usichanganye mambo aiseee, NATO iliundwa kwa ajili ya kumzuia Sovieti asijitanue Ulaya yote , NATO ipo kwa ajili ya usalama wa wanachama, BRICS ni kitu kingine kabisaa kwa ajili ya mambo tofauti na NATO
Sasa usalama maana yale si kusaidia endapo mmoja anaposhambuliwa au wanashirikiana hamna kusaidiana? Yale yale unakata Saidi kuitwa Side.

Jumuia zote ziwe zina lengo la kiusalama au kibiashara, malengo makuu kushirikiana na KUSAIDIANA.
 
Sasa usalama maana yale si kusaidia endapo mmoja anaposhambuliwa au wanashirikiana hamna kusaidiana? Yale yale unakata Saidi kuitwa Side.

Jumuia zote ziwe zina lengo la kiusalama au kibiashara, malengo makuu kushirikiana na KUSAIDIANA.
NATO na BRICS ni vitu viwili tofauti acha kuchanganya, NATO ni umoja wa kijeshi kwa ajili ya kuzuia sovieta isitanuke zaidi kuelekea Ulaya, BRICS haija undwa kwa ajili ya kijeshi , sasa unazungumzia kitu gani? mimi ni NATO nasaidiwaje na NATO sasa
 
NATO na BRICS ni vitu viwili tofauti acha kuchanganya, NATO ni umoja wa kijeshi kwa ajili ya kuzuia sovieta isitanuke zaidi kuelekea Ulaya, BRICS haija undwa kwa ajili ya kijeshi , sasa unazungumzia kitu gani? mimi ni NATO nasaidiwaje na NATO sasa
Screenshot_20250124_165517_Chrome.jpg

Utofauti wake upo wapi? Au hilo neno security labda litakuwa lina maana nyingine?

Okay kwa hiyo hao NATO wanashirikiana,ila HAWASAIDIANI?
 
Sasa defend against attack na security tofauti yake ni ipi?
Shida hii sasa BRICS hakuna ushirikiano wa kijeshi zaidi ya kuprome usalama , uchumi na mambo mengine ya kijamii ndio maana mwanachama yeyote wa Brics akiingia kwenye vita hiyo ni yake binafsi , ila NATO akiingia kwenye vita hiyo ni vita ya watu kama kaanza kushambuliwa ndio maana ya KUDEFEND kutoka nchi ya tatu
 
Ni kweli alisema ila sasa kaja Trump anataka wakae wazungumze wakubaliane, atakae leta utata atashuka nae kwahiyo anatii maagizo ya Trump
Bora atii......maana babu Trump hana cha kupoteza hapo Ukraine
 
Shida hii sasa BRICS hakuna ushirikiano wa kijeshi zaidi ya kuprome usalama , uchumi na mambo mengine ya kijamii ndio maana mwanachama yeyote wa Brics akiingia kwenye vita hiyo ni yake binafsi , ila NATO akiingia kwenye vita hiyo ni vita ya watu kama kaanza kushambuliwa ndio maana ya KUDEFEND kutoka nchi ya tatu
Sasa si nimekutumia post hapo ya malengo ya BRICS na security ni lengo mojawapo au Iran na China ni member wa nani? Maana wapo kule kudefend against attack kutoka Ukraine,NATO na US.

Halafu ninacho kushangaa wewe ,Urusi akisaidiwa na washirika wake China,Iran na NK,unasema ni dhaifu. Ila US akisaidiwa na na NATO,unasema wanashirikiana ila hawasaidiani.
 
Sasa si nimekutumia post hapo ya malengo ya BRICS au Iran na China ni member wa nani? Maana wapo kule kudefend against attack ya Ukraine na NATO.

Halafu ninacho kushangaa wewe ,Urusi akisaidiwa na washirika wake China,Iran na NK.Unasema ni dhaifu. Ila US akisaidiwa na na NATO,unasema wanashirikiana ila hawasaidiani.
HAKUNA USHIRIKIANO wa kijeshi pale BRICS mbona nimesha kwambia mara kibao , ndio wanasisitiza usalama duniani ila BRICS sio ushirkiano wa kijeshi , huyu ni waziri wa mambo ya nje wa Urusi, uwe unaelewa basi

7B2D5BD9-9306-46C8-B2AC-0FABC1970BB0.png



Ila NATO ni ushirikiano wa kijeshi, ukipiga mmoja umepiga wote hii ni article 5 ndani umoja huu sio suala la kulala na kuamka , vitu vidogo hivi unashindwa kuelewa

3BC034E7-0F1B-43C3-A597-87C2B4FBFA42.jpeg
 
HAKUNA USHIRIKIANO wa kijeshi pale BRICS mbona nimesha kwambia mara kibao , ndio wanasisitiza usalama duniani ila BRICS sio ushirkiano wa kijeshi , huyu ni waziri wa mambo ya nje wa Urusi, uwe unaelewa basi

View attachment 3212708


Ila NATO ni ushirikiano wa kijeshi, ukipiga mmoja umepiga wote hii ni article 5 ndani umoja huu sio suala la kulala na kuamka , vitu vidogo hivi unashindwa kuelewa

View attachment 3212717
Screenshot_20250124_165517_Chrome.jpg

Kwani kile anachofanya Iran na China tunitaje? Au wanashoboka....
 
Urusi na Ukraine ndio watakuwa na cha kupoteza ndio maana ya kumaliza vita sio US
US cha kupoteza anacho maana Russia kakamata vifaa vingi vya kivita kutoka US,UK na Germany.So atatumja kuvistudy kwa ajili ya kujimarisha yy na mifumo yake. Pili kumbuka kuna wanajeshi wa US wengi,Private Military Contractors kutoka US na wengi wameangamiza na mashambulia ya anga ya Russia,huoni hapo napo wamepoteza?

Ndio maana sasa hivi Trump anataka kurudisha wanajeshi wote US wa 20k,waliopo nchi za NATO ikiwemo walio kuwepo Ukraine.
 
View attachment 3212721
Kwani kile anachofanya Iran na China tunitaje? Au wanashoboka....
Nafikiri umemsikia Waziri wa mambo ya nje ya Urusi hakuna ushirikiano wa kijeshi pale BRICS, kwahiyo unaweza kuita unavyotaka lakini BRICS hakuna hili jambo la kijeshi, PROMETE maana yake sio ushirikiano wa kijesho ni kusisitiza/ kupigia kampeni mbona hata mtoto mdogo ana elewa hili
 
US cha kupoteza anacho maana Russia kakamata vifaa vingi vya kivita kutoka US,UK na Germany.So atatumja kuvistudy kwa ajili ya kujimarisha yy na mifumo yake. Pili kumbuka kuna wanajeshi wa US wengi,Private Military Contractors kutoka US na wengi wameangamiza na mashambulia ya anga ya Russia,huoni hapo napo wamepoteza?

Ndio maana sasa hivi Trump anataka kurudisha wanajeshi wote US wa 20k,waliopo nchi za NATO ikiwemo walio kuwepo Ukraine.
Vile ni msaada kwa Ukraine, havina shida yeyote ndio maana Urusi ndio alikuwa anatishia kutumia Nyuklia kama Ukraine atapewa silaha za masafa marefu, yeye ndio anaogopa Ukraine kupewa sio US
 
Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi nyingi hapa duniani, hususani kwa nchi ambazo ni dhaifu kijeshi kama hizi nchi zetu za kiAfrika. Ni hatari zaidi kwa nchi ambazo zinapakana na nchi zingine zenye nguvu zaidi ya kiuchumi, kijeshi na zenye Watawala wababe wanaopenda Vita, mathalani majirani zake wote wa Urusi, Rwanda.
Watanzania tusifurahie jambo hili eti kwa sababu Trump anafanya hivyo dhidi ya nchi ya Ukraine ambayo ipo mbali nasi, tukumbuke kwamba tunapakana na nchi ya Rwanda ambayo mtawala wake aliyopo huko anafanana sana na Rais Vladmir Putin kwa misimamo yao. Congo DR ni nchi kubwa sana kuliko Tanzania lakini inahenyeshwa na Rwanda. Aidha, Iran pia ni nchi kubwa sana lakini inahenyeshwa na Israel.
Mwenzako akinyolewa zako tia maji!
Kwahio kuna mtu atakuja kutuhenyesha na JWTZ wakiwa wapo😄?
 
Unapata eneo nchi ya ugenini kwa kuvuruga uchumi wako, eneo ambalo halikuingizia chochote zaidi ya majumba chakavu , unachukua magofu na machuma tu hapo hakuna kitu Urusi atanufaika kwasasa, wakati huo kavuruga uchumi
We ndio unaijua Ukraine kuliko Urusi?
 
Vile ni msaada kwa Ukraine, havina shida yeyote ndio maana Urusi ndio alikuwa anatishia kutumia Nyuklia kama Ukraine atapewa silaha za masafa marefu, yeye ndio anaogopa Ukraine kupewa sio US
Apewe mara ngapi? na amesha zitumia na ndipo Russia akarusha Orshenik na baadhi ya hayo mabomu ya masafa marefu ambayo more intelligent yashakuwa captured na Russia. Ukisikia bomb la masafa marefu jua akili iliyotumika kuidesign ni kubwa so Russia akilikamata inasaidia kulisoma na kulielewa.
Vip na hao askari wake US wanao angaizwa Russia nao hana shida nao? Maana Trump hasinge taka warudishwe.

US wangekuwa hawana shida na kuacha silaha zao basi hata zile za zinazo shikiliwa na Talban zenye thamani ya zaidi ya Dollar Bill 7 wasinge zidai au hujui US anataka silaha zake alizo sahau Afghanistan na Talban wamesema hawazirudishi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=8_R3X6Eqb2A&pp=ygUlVGFsYmFuIHJlamVjdCB0byByZXR1cm4gVVMgZXF1aXBtZW50IA%3D%3D

Kwenye uwanja wa kivita,ukifanikiwa kukamata silaha ya adui yako basi umefanikiwa na adui yako kapoteza.
 
Apewe mara ngapi? na amesha zitumia na ndipo Russia akarusha Orshenik na baadhi ya hayo mabomu ya masafa marefu ambayo more intelligent yashakuwa captured na Russia. Ukisikia bomb la masafa marefu jua akili iliyotumika kuidesign ni kubwa so Russia akilikamata inasaidia kulisoma na kulielewa.
Vip na hao askari wake US wanao angaizwa Russia nao hana shida?

US wangekuwa hawana shida na kuacha silaha zao basi hata zile za TalTalb zenye thamani ya zaidi ya Dollar Bill 7 zinazo shikiliwa wasinge zidai au hujui US anataka silaha zake alizo sahau Afghanistan na Talban wamesema hawazirudishi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=8_R3X6Eqb2A&pp=ygUlVGFsYmFuIHJlamVjdCB0byByZXR1cm4gVVMgZXF1aXBtZW50IA%3D%3D

Orshenik haina maajabu, alipewa baada ya kuona Putin anapiga mkwala ambao hawezi kufanya chochote au umesahau Putin alivyotishia Nyuklia lakini Biden akampuuza na akampa silaha, sasa kule Afghastan wana zungumza na Taliban hata juzi wamebadilishana mateka zile silaha Taliban hawezi kutumia ndio maana wanazitaka hakuna uhusiano wowote na msaada wa Ukraine, NDIO MAANA TRUMP kamwambia PUTIN acha vita vyako vya KIJINGA

D1106856-4C7B-41D9-B963-95317B486A57.png
 
Back
Top Bottom