Utawala wake hautatulia abadani

Utawala wake hautatulia abadani

Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Kwa hiyo Sukuma Gang mumejipanga kumletea Samia usumbufu kwenye utawala wake,ok tutaona mwisho wa siku nani ataibuka kidedea,ila mjue nazi haiwezi kushindana na jiwe.
 
Usifurahie mambo haya...Ombea nchi yako...Nobody is safe if there is no peace!
CCM ya mwendazake mna matatizo makubwa, yaani mama kuongea na kina Mbowe imekuwa nongwa ? tukutane majukwaani - nchi ipo salama usitishe watu kijana.

Tushindane kwa hoja majukwaani, muda wa kutishana, kutekana, kupotezana ushakwisha - someni alama za nyakati.
 
Kawaida hakuna Rais ambaye hakuwa na watu wa kwenda nao toka Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Sasa Samia wote waliweka watu wanaowaamini kwenye tawala zao!!

Muhimu tupiganie katiba mpya iliyo bora haya ndio yataisha!!
Ila hao uliowataja baada ya kuwatumbua wasiowaamini waliwapa kazi za kugonga HANGER na MAPAZIA ikulu?

Tuwe wa kweli tu alichemka na kama diwani aliomba apumzike alikuwa sahihi.
 
CCM ya mwendazake mna matatizo makubwa, yaani mama kuongea na kina Mbowe imekuwa nongwa ? tukutane majukwaani - nchi ipo salama usitishe watu kijana.

Tushindane kwa hoja majukwaani, muda wa kutishana, kutekana, kupotezana ushakwisha - someni alama za nyakati.
Una matatizo gani? CCM ya mwendazake ni ipi?

Utalia muda si mrefu kutoka sasa...Ombea amani na mshikamano, siasa zinapendeza tu pale kila mtu ana amani katika moyo wake...
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Mbona maneno haya hamkuyasema wakati wa fisi aliyejivisha ngozi ya kondoo?
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
The day dreamers, kila zama na kitabu chake.....
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Kwa hiyo mnataka wasiwepo watu wengine wakushika nafasi hizo ila wabaki wale wale wa miaka yote eti kisa wakitolewa watamvuruga? Punguzeni ubinafsi watanzania wapo mil 69+
 
Ukiona hivyo ujue huyo ni mfuasi wa hayati.

Anatapatapa tu... Anadhani Mama anafanya mabadiliko makubwa kama haya akiwa jikoni anakaanga chapati. Hajui Urais ni taasisi na haya hayafanyiki bila makubaliano na wanataasisi...
Waache wamvuruge mpemba akasirike atuachie katiba mpya ambayo wao hawataki kuisikia.
Mama Hana cha kupoteza, wanawake tunaridhika mapema sana, kashakua Rais, Hadi hapo CV imejitosheleza.hana makando kando tuseme atang'ang'ania madaraka Ili kulinda interest zake.....

Haters kina Suzy endeleeni kumvuruga apate Moto aachie katiba, ndo mtajua nyie na yeye nani atapoteza!
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Sukuma Gang mna matatizo sana

Mbona ndugu yenu aliteua na kutengua masaa 24 kwa siku saba
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Aliyemuelewa pls adadavue
 
Mwacheni Samia afanye kazi anyooshe, acheni kumzingazonga!

Go Samia go [emoji123]

Sisi wapenda mabadiliko tunamkubali sana @ Madam.
 
Back
Top Bottom