Utawala wake hautatulia abadani

Utawala wake hautatulia abadani

Hakuna kundi lenye nchi zaidi ya rais.na hakutatokea ndani ya CCM mtu mwenye nguvu,pesa na ushawishi Kama Edward ngoyai Lowasa nn kilitokea ndio ujue hizo kura unazosema zilipigwa kwa wingi waliamua kuziacha Kama zilivyo kwani mwenyekiti angeamua kubadilisha alikuwa anashindwa fikiria Mara mbili
wewe mpumbavu kweli kwahiyo umeshaona mpaka yajayo.
Nyerere alimtaka Salim akaja Mwinyi, Mwinyi sijui kama alimtaka Mkapa
Mkapa sijui kama alimtaka JK, Hata JK kumpitisha Magu ni kupoza nguvu ya Lowasa
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Yametimia
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Yanatimia ....
 
Ukiona hivyo ujue huyo ni mfuasi wa hayati.

Anatapatapa tu... Anadhani Mama anafanya mabadiliko makubwa kama haya akiwa jikoni anakaanga chapati. Hajui Urais ni taasisi na haya hayafanyiki bila makubaliano na wanataasisi...
Kiko wapi? Bado unaweza kuisimamia hiyo kauli yako?!
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.[emoji3064][emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom