Utawala wake hautatulia abadani

wewe mpumbavu kweli kwahiyo umeshaona mpaka yajayo.
Nyerere alimtaka Salim akaja Mwinyi, Mwinyi sijui kama alimtaka Mkapa
Mkapa sijui kama alimtaka JK, Hata JK kumpitisha Magu ni kupoza nguvu ya Lowasa
 
Yametimia
 
Yanatimia ....
 
Ukiona hivyo ujue huyo ni mfuasi wa hayati.

Anatapatapa tu... Anadhani Mama anafanya mabadiliko makubwa kama haya akiwa jikoni anakaanga chapati. Hajui Urais ni taasisi na haya hayafanyiki bila makubaliano na wanataasisi...
Kiko wapi? Bado unaweza kuisimamia hiyo kauli yako?!
 
Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.[emoji3064][emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…