Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama kuna anayefahamu tarehe ya utekelezaji wa jambo hili atueleze ili tujipange tusije kuingia matatizoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kwa ufafanuziMwisho ilikuwa tarehe 32/13/2023.
Shukrani kiongozi wa Chama.asante kwa ufafanuzi
Jamaa ni kiongozi wa chama gani.?Shukrani kiongozi wa Chama.
Siongozi chama chochote , si cha siasa wala cha wanafunziShukrani kiongozi wa Chama.
Jaffo hajawahi kukosea , mi nadhani anajipanga tu , mtu mwenye wake wanne ashindwe hili ?Huyo sasa ndo tafsiri halisi ya mwanasiasa wa kibongo.Najua anasoma hapa.Siyo vizuri,au alidhani 2024 ni 2084?
Wewe Kada/shabiki wa Chama gani?Siongozi chama chochote , si cha siasa wala cha wanafunzi
ChaputaJamaa ni kiongozi wa chama gani.?
Jamaa anapanda minazi ya pale ufipa kwa mkono mmoja 😂Chaputa
ChademaWewe Kada/shabiki wa Chama gani?
Chama cha waandishi wa upinzani Tanganyika.Jamaa ni kiongozi wa chama gani.?
Subiri uone,mi mwenyewe leo nimepikia mkaa.Jaffo hajawahi kukosea , mi nadhani anajipanga tu , mtu mwenye wake wanne ashindwe hili ?
Safi,nilifikiri utakana hili.Chadema
Labla kweli mana jamaa anasifia sana upinzani utadhani ni mpakwa mafuta wa upinzaniChama cha waandishi wa upinzani Tanganyika.