Utekelezaji wa Amri hii ya Jaffo kuhusu kusitisha matumizi ya mkaa itaanza lini?

Utekelezaji wa Amri hii ya Jaffo kuhusu kusitisha matumizi ya mkaa itaanza lini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-01-02-22-35-54-1.png
Jafo alitoa tamko kuwa kuanzia January 2024 mwisho kutumia kuni, mkaa.

Kama kuna anayefahamu tarehe ya utekelezaji wa jambo hili atueleze ili tujipange tusije kuingia matatizoni.
 
Nimetoka Geita, naona huko mkaa wameubadilishia matumizi, gunia la mkaa halikai jikoni, limewekwa pembeni mlangoni mwa choo cha shimo, na huyu mzee mmoja Ngosha nimemuona wakati anaingia kushusha "nya" alichukua vipande viwili vya mkaa akaingia navyo chooni, sijui vya kazi gani.
 
Back
Top Bottom