Utekelezwaji wa agizo la Trump; Je, Rais Samia amejipangaje ?

Utekelezwaji wa agizo la Trump; Je, Rais Samia amejipangaje ?

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.

bdd6255c-8518-4c9f-9618-0063324f5a44.jpeg


Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.

ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini ya hawa jamaa.

Wakati nipo OCEAN Road , kile kitengo cha radiation Unit na vifaa vyake vilikuwa chini ya ufadhili wa hawa jamaa. USAID wapo maeneo mengi sana hapo bongo ikiwemo kufadhili baadhi ya wanafunzi wa level za juu.

Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.

Kwenye perspective ya ukweli, Serikali ya Tanzania ni masikini mnoo, wenyewe hamtoweza kwa sababu viongozi wameshauza kila kitu na deni la taifa lipo juu.

Je , Rais Samia Umejipangaje...? Îkiwa Mama Mjamzito anatukanwa kwa kokosa gloves , je huu mzigo utakuaje…..?

Tuendelee kubandika mabango yako nchi nzima na promo za kibabe au tukae chini kujadili hili jambo?

Kwangu Mimi Trump yupo sahihi, Waafrica wana resources nyingi but ni too dependent Kama vilema.


Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
 

Attachments

  • c04b1b3e-affa-4370-bd88-d0623ebaec0c.mov
    11.1 MB
Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.

View attachment 3217544

Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.

ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini ya hawa jamaa.

Wakati nipo OCEAN Road , kile kitengo cha radiation Unit na vifaa vyake vilikuwa chini ya ufadhili wa hawa jamaa. USAID wapo maeneo mengi sana hapo bongo ikiwemo kufadhili baadhi ya wanafunzi wa level za juu.

Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.

Kwenye perspective ya ukweli, Serikali ya Tanzania ni masikini mnoo, wenyewe hamtoweza kwa sababu viongozi wameshauza kila kitu na deni la taifa lipo juu.

Je , Rais Samia Umejipangaje...? Îkiwa Mama Mjamzito anatukanwa kwa kokosa gloves , je huu mzigo utakuaje…..?

Tuendelee kubandika mabango yako nchi nzima na promo za kibabe au tukae chini kujadili hili jambo?

Kwangu Mimi Trump yupo sahihi, Waafrica wana resources nyingi but ni too dependent Kama vilema.


Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Amemuachia Mungu
 
Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.

View attachment 3217544

Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.

ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini ya hawa jamaa.

Wakati nipo OCEAN Road , kile kitengo cha radiation Unit na vifaa vyake vilikuwa chini ya ufadhili wa hawa jamaa. USAID wapo maeneo mengi sana hapo bongo ikiwemo kufadhili baadhi ya wanafunzi wa level za juu.

Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.

Kwenye perspective ya ukweli, Serikali ya Tanzania ni masikini mnoo, wenyewe hamtoweza kwa sababu viongozi wameshauza kila kitu na deni la taifa lipo juu.

Je , Rais Samia Umejipangaje...? Îkiwa Mama Mjamzito anatukanwa kwa kokosa gloves , je huu mzigo utakuaje…..?

Tuendelee kubandika mabango yako nchi nzima na promo za kibabe au tukae chini kujadili hili jambo?

Kwangu Mimi Trump yupo sahihi, Waafrica wana resources nyingi but ni too dependent Kama vilema.


Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Uongo
 
Tumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.

Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.

Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.

Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.

Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?

Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?

Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.

Inshallah.
 
Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.
Rudia tena kusoma hapo ulichoandika, tutakua na nani wakati wewe una hali ngumu wenzio wanazunguka kwenye viyoyozi ndani ya V8 unapigwa vumbi tu hapo na kiredio chako cha kuita wateja kwenye biashara yako ambayo haitoki
 
Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.

View attachment 3217544

Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.

ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini ya hawa jamaa.

Wakati nipo OCEAN Road , kile kitengo cha radiation Unit na vifaa vyake vilikuwa chini ya ufadhili wa hawa jamaa. USAID wapo maeneo mengi sana hapo bongo ikiwemo kufadhili baadhi ya wanafunzi wa level za juu.

Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.

Kwenye perspective ya ukweli, Serikali ya Tanzania ni masikini mnoo, wenyewe hamtoweza kwa sababu viongozi wameshauza kila kitu na deni la taifa lipo juu.

Je , Rais Samia Umejipangaje...? Îkiwa Mama Mjamzito anatukanwa kwa kokosa gloves , je huu mzigo utakuaje…..?

Tuendelee kubandika mabango yako nchi nzima na promo za kibabe au tukae chini kujadili hili jambo?

Kwangu Mimi Trump yupo sahihi, Waafrica wana resources nyingi but ni too dependent Kama vilema.


Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
ChoiceVariable ukweli ni upi? Fact hupingwa kwa fact, sio kwa kauli rahisi isiyo na staha kwa kumuita mtoa mada kwamba ni muongo. Hebu tupe ukweli ambao mtoa mada hajatupa
 
... Uliza Kenya wamejipangaje! ... Tanzania mambo yanaenda kuwa poa sana, tuna vigezo vya kukopa na World bank wanalitambua hilo!

BONGO HAS A CLEARANCE TO SMOOTH TRANSITION!

SAGA CHUPA UMEZE! 😅
 
Rudia tena kusoma hapo ulichoandika, tutakua na nani wakati wewe una hali ngumu wenzio wanazunguka kwenye viyoyozi ndani ya V8 unapigwa vumbi tu hapo na kiredio chako cha kuita wateja kwenye biashara yako ambayo haitoki
Sipo huku. Hata bible inatumia neno We , kwani mungu wapo wengi 🤣!

Anyway watanzania wa hali ya chini watataabika
 
Back
Top Bottom