Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Kuna ushahidi kuwa baadhi ya Waajiri ambao wamelalamikiwa na wafanyakazi waliowafukuza wanatoa RUSHWA kwa wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Umma, ili waendelee kuwakandamiza wafanyakazi.
Mgoja nikuelekeze kitu,

Mchambuzi wa rufaa yako hawezi kupindisha ukweli kwasababu vielelezo vyako na vya mamlaka ya nidham (Mwajiri) vipo na akichambua baadae kikao cha Idara kinapitia then Menejimenti inapitia then Tume kwa maana ya Makamishna 6 na Mwenyekiti ambaye ni Jaji mtaafu wa Mahakama kuu ya rufaa wanapitia na kutoa uamuzi


Sasa niambie Ofisa anawezaje kupindisha Haki????

Nipe huo USHAHIDI wako
 
Majibu haya hayamjibu mtoa mada, inakuaje tume haina utaratibu wa kujua lini mtu anajibiwa rufaa yake? Na wakati ukisoma hizo kanuni zao wanasema miezi 3 baada ya kupokea rufaa alafu hapa wanasema first in, first out. Yaani hoja zipo nyingi hapo juu majibu mepesi na vitisho juu
Ukute umefukuzwa kwa chati feki [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] sasa akili unaitoa wapi
 
Samia atupie jicho wakati naye matatizo aliyakuta na awamu aliyoanzia kuwa madarakani ndio mambo haya yalishamiri?

Mliaminishwa kuwa mnaye mtetezi wa wanyonge ilhali akamkabidhi mpwa wake cheo cha kuwa paymaster general !?

Kwani kulikua hakuna Senior officers zaidi ya mpwa ambao wangeipata hiyo nafasi kabla yake kutokana na ubobevu wao kwenye taasisi hiyo nyeti?
Kwa hio huyu wa Sasa nae akaona ampe uwaziri wa watumishi mkwe wake ili ngoma iwe drop?
 
First in Firs out miaka minne , na rushwa wanaomba , ooh mimi flani shauri lako nitalisogeza kwa wakubwa fanya fanya utaratibu SHAME ON THEM vilaza
Acha uongo nimefanya kazi pale kwa miaka 5 kesi nyingi mostly zina miaka2 hasa baada ya kesi za VYETI na mabadiliko ya sheria ya mwaka 2019 kutoa rufaa za.CMA kuja TUU

Workload imekua kubwa sana
 
Pumbavu mkubwa wee! Work load maana yake nini! Watu wakose haki yao kwa kisingizio cha work load!

Shenzi wewe!
We ni boonge la kilaza ukishinda tufaa yako unakula mishahara yako toka umefukuzwa kazi.kwanza ukute hata ajira huna
 
Upuuzi mtupu!! Ni aibu kubwa sana kwa Afisa Mkubwa kama wewe kutoa ufafanuzi ambao ni utopolo mkubwa!! Shame on you!! Mnacheza na haki za Watumishi kwa maelezo ya kipuuzi kama hayo!!

Eti mnafanyia kazi rufaa za watumishi kwa first in first out! Kwani Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003 zinasemaje katika kushughulikia rufaa ya mtumishi wa Umma in terms of time frame!

Mbona mara nyingi Tume inatoaga majibu rahisi tu kuwa hawawezi kuifanyia kazi rufaa kwasababu iko nje ya Muda ulioruhusiwa kisheria?

Kwanini Tume nayo isifuate muda uliowekwa Kisheria katika kuzifanyia kazi rufaa za watumishi??

Watu kama nyie akina John Mbiso ndio mnaofanya Tume ionekane kama ni kituko! Tume imejaza vilaza na hawamsaidii Mh. Rais. Hizo tuhuma ni very serious hampaswi kutoa majibu kijumlajumla tu! Shame on you!!

Eti Tume ina Makamishina walioteuliwa na Rais, kwani hao Makamishina si ndo wanaofanya maamuzi yaliyopelekwa na nyie VILAZA?. Wazungu wanasema GARBAGE INN GARBAGE OUT!![emoji38][emoji38][emoji38]

Tume ya Utumishi inatakiwa ifumuliwe, why?

1. Wako very corrupted

2. Wako very defensive

3. Wanashirikiana na Waajiri kikandamiza haki za Watumishi

4. Mara nyingi Tume haifuati Sheria na Kanuni katika kushugulikia rufaa za Watumishi

5. Wanafanya kazi kwa mazoea na customer care iko very poor. Hata namba waliyoitoa ni geresha tu kwasababu unaweza ukaipiga siku nzima na usijibiwe au ukajibiwa dry!!

Tunamuomba Mh. Rais Samia atupie jicho kwenye hiyo Tume maana inatia kinyaa. Otherwise, ikkshindikana basi Watumishi wapeleke kesi zao moja kwa moja Mahakamani badala ya kupeleka kwenye huu uchocholo!
Naomba Kanuni inayotoa muda wa rufaa kutolewa uamuzi
 
Hii Tume ni hovyo kabisa! Wanachezea haki za wafanyakazi kirahisirahisi tu. Sheri zinawekwa halafu wanakuwa wa kwanza kuzikiuka....pumbavu kabisa.

Afisa Mwandamizi mzima eti anajibu very simple kwamba wana workload kubwa, kwani hiyo workload inamsaidia nini mtumishi?, kwani umuhimu umuhimu wa kuweka Sheria na Kanuni ni upi?
Haki ya mtu haipotei ukishinda kesi unalipwa na Kanuni zooote zinazingatiwa.
 
Mgoja nikuelekeze kitu,

Mchambuzi wa rufaa yako hawezi kupindisha ukweli kwasababu vielelezo vyako na vya mamlaka ya nidham (Mwajiri) vipo na akichambua baadae kikao cha Idara kinapitia then Menejimenti inapitia then Tume kwa maana ya Makamishna 6 na Mwenyekiti ambaye ni Jaji mtaafu wa Mahakama kuu ya rufaa wanapitia na kutoa uamuzi


Sasa niambie Ofisa anawezaje kupindisha Haki????

Nipe huo USHAHIDI wako
Acha kutetea ujinga, Makamishna na Jaji mstaafu ni kitu gani bhana??

Mbali ya Tume kushirikiana na waajiri kukandamiza haki za Watumishi, hapo Tume wamejaa vilaza watupu, hawawezi kuzifanyie critical analysis rufaa za Watumishi pia wako corrupted!!

Maafisa wa Tume wanajenga hoja na kuandaa ripoti za kinafiki na kuzipeleka kwa maboss wao zilizojaa ukandamizaji bada ya kupokea RUSHWA!

Najua uko hapo Tume pole sana lakini huo ndio ukweli!
 
Acha kutetea ujinga, Makamishna na Jaji mstaafu ni kitu gani bhana??

Mbali ya Tume kushirikiana na waajiri kukandamiza haki za Watumishi, hapo Tume wamejaa vilaza watupu, hawawezi kuzifanyie critical analysis rufaa za Watumishi pia wako corrupted!!

Maafisa wa Tume wanajenga hoja na kuandaa ripoti za kinafiki na kuzipeleka kwa maboss wao zilizojaa ukandamizaji bada ya kupokea RUSHWA!

Najua uko hapo Tume pole sana lakini huo ndio ukweli!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] vilaza??

We pimbi umefukuzwa kwa cheti feki ni "msomi"

Pambana na hali yako halafu Jaji wa mahakama ya rufaa ameamua kesi ngapi?? Ashindwe kashauri kako ka cheti au wizi au utoro?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha kutetea ujinga, Makamishna na Jaji mstaafu ni kitu gani bhana??

Mbali ya Tume kushirikiana na waajiri kukandamiza haki za Watumishi, hapo Tume wamejaa vilaza watupu, hawawezi kuzifanyie critical analysis rufaa za Watumishi pia wako corrupted!!

Maafisa wa Tume wanajenga hoja na kuandaa ripoti za kinafiki na kuzipeleka kwa maboss wao zilizojaa ukandamizaji bada ya kupokea RUSHWA!

Najua uko hapo Tume pole sana lakini huo ndio ukweli!
We mtu ni mpuuzi sana SIAJABU WAKAKUFUKUZA KAZI

UJINGA WAKO unajidhihirisha hapa
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] vilaza??

We pimbi umefukuzwa kwa cheti feki ni "msomi"

Pambana na hali yako halafu Jaji wa mahakama ya rufaa ameamua kesi ngapi?? Ashindwe kashauri kako ka cheti au wizi au utoro?[emoji23][emoji23][emoji23]
usimshambulie mdau kwa kutoa maoni yake , hata wewe unayefanya kazi huko tume ni masikini tu wala huawsaidii watumishi wenzio, kufanya kazi tume ya hovyo sio ndio una akili kuzidi wengine hoja hapa ni Tume haifanyi kazi yake inavyotakiwa full stop
 
usimshambulie mdau kwa kutoa maoni yake , hata wewe unayefanya kazi huko tume ni masikini tu wala huawsaidii watumishi wenzio, kufanya kazi tume ya hovyo sio ndio una akili kuzidi wengine hoja hapa ni Tume haifanyi kazi yake inavyotakiwa full stop
Unapolalamika uje na facts sio unalalama bila ushahidi

Niambie anapolalamikia Kanuni hazifuatwi ataje ni Kanuni gani?

Pia Tume sio mwisho wa mtumishi kupata Haki yake, akishindwa anaambiwa akate rufaa kwa Mh. Rais

Huko pia akishindwa anakata rufaa Mahakama kuu idara ya Kazi.

Sasa analalamika nini? Kama ana HAKI ataipata
 
Mgoja nikuelekeze kitu,

Mchambuzi wa rufaa yako hawezi kupindisha ukweli kwasababu vielelezo vyako na vya mamlaka ya nidham (Mwajiri) vipo na akichambua baadae kikao cha Idara kinapitia then Menejimenti inapitia then Tume kwa maana ya Makamishna 6 na Mwenyekiti ambaye ni Jaji mtaafu wa Mahakama kuu ya rufaa wanapitia na kutoa uamuzi


Sasa niambie Ofisa anawezaje kupindisha Haki????

Nipe huo USHAHIDI wako
Ulichoandika wewe ndiyo kinapaswa ku happen lakini haiwi hivyo. Makamishna husoma makabrasha yaliyotayatishwa na maafisa wa Tume na kumbuka wale siyo wabobezi wa fani za Sheria za kazi. Mwenyekiti anaweza kuwa Jaji Msataafu lakini siyo lazima kuwa ni ni bingwa wa Sheria za kazi.

Wachambuzi wa Tume wakiwa corrupted tu na waajiri, hakuna namna makamishna wataamua vinginevyo
 
Taasisi
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma ikiongozwa na ndugu Muhoji aliyezungukwa na wasaidizi vilaza wavivu kutumia akili katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma walioonewa na waajiri enzi zile!

Kumekuwa na biaiseness kubwa sana ktk kushughulikia rufaa za watumishi wa umma pale Tume.

1. Tume imekuwa ikishirikiana na waajiri katika kuhujumu haki za watumishi.

2. Rufaa zimekuwa zinakaa kwa muda mrefu bila kuzitolea maamuzi. Ningefurahi sana kujua kama kuna kipengele chochote kinachoibana Tume kuhusu muda.

3. Maafisa wa Tume hawako makini katika uchambuzi wa rufaa za watumishi.

4. Maafisa wa Tume wamekosa customer service or care kwenye kazi zao na hivyo kupelekea wwtumishi wanaokwenda kuulizia rufaa kuwafanya kama maadui, they are so defensive and protective.

5. Wamekuwa wakipewa rushwa na waajiri ili watumishi wakandamizwe ktk kudai haki zao kwasababu waajiri wengi wamekuwa wakiwabambikkiza makosa watumishi wao.

Hivyo basi, tunaomba Mh. Rais Samia tupia jicho lako kwenye hiyo Tume, wanafanya kazi kwa mazoea na kuminya haki za watumishi.
Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu na Wizara yenyewe zinaongoza kutuo rushwa kudhulumu haki za wafanyakazi. Ushahidi ni kesi zilizo kwenye hatua mbalimbali. Mh Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan hiyo Tume imeoza inakuhujumu kwa rushwa. Mtandao wao wa rushwa ni mpana mno hadi Wizarani. Macho ya serikali yataona huo uozo ukiamua kufuatilia.
 
Samia atupie jicho wakati naye matatizo aliyakuta na awamu aliyoanzia kuwa madarakani ndio mambo haya yalishamiri?

Mliaminishwa kuwa mnaye mtetezi wa wanyonge ilhali akamkabidhi mpwa wake cheo cha kuwa paymaster general !?

Kwani kulikua hakuna Senior officers zaidi ya mpwa ambao wangeipata hiyo nafasi kabla yake kutokana na ubobevu wao kwenye taasisi hiyo nyeti?
Mh Rais anauwezo kabisa wa kuondoa uozo huo kwenye Taasisi husika na wizarani.
 
HII tume kiukweli ni Disaster kwa watumishi wa Umma kuna jamaa namfahamu mpaka amekufa hakuna alichosaidiwa na hao vilaza, Nimeona wamejitia Kujibu kwa mihemko kwa Kuandika Press Release, Ni ukweli mtupu wanaopeleke Malalamiko ni wengi lakini hayashughulikiwi kwa wakati , inawezekanaje mtu ana madai yake yanazidi miaka miwili hadi mitatu hakuna anachojibiwa hakuna anachosaidiwa, watu wanawafuata fuata mpaka soli za viatu zinakwisha, hawatoi majibu hawapokei simu, hawana majibu mazuri kwa watumishi ambao ndio wanawafanya wawepo mjini, Wakati umefika hivi vitume vya dizaini hii vifutwe ili kama watu wana mambo yao wayapeleka MAHAKAMANI na si vinginevyo.

Yaani wanalundika mashauri ya watu, hawashughulikii ukiuliza unaambiwa wanasubiri fedha , yaani kukaa vikao vya kuamua na kusaidia hatma ye wenzenu ni mpaka Mlipwe POSHO enzi za mwendazake ndio kabisaaaa hawa mchwa wala posho walikua ndio hawana kazi kabisaaaa, maana jamaa alikua anaajiri yeye anafukuza yeye anaamua yeye keshi na wao wapo tu, mavyeo makuubwa utasikia sijui Katibu, Sijui Naibu Katibu Sijui takataka gani ,na wooote wanaenda kazini na kurudi kila siku, wanachofanya hakuna.

Kuna jamaa wengi wameomba sauti ipazwe kwenye mitanmdao yote ili haki zao zipatikane ni hivi watumishi wa Tanzania njaa kali hata haki zao wanalazimika wakati mwingine kuzinunua , ingekua huku kwa wenzetu maujinga haya yasingekuwepo kabisa, Kimsingi kwa TANZANIA Utumishi wa Umma ni Utumwa na ni Balaa.
Majibu yanayotolewa na Tume kwa rufaa ya Mtumishi ukiangalia ni kama wameandaliwa na Mwajiri husika wao ni kusaini na kupiga mhuri tu. Kugundua hujuma hii iko wazi sana sema tu wamejipanga kiasi kwamba bahasha zinatembea kwa wahusika wote.
 
Ulichoandika wewe ndiyo kinapaswa ku happen lakini haiwi hivyo. Makamishna husoma makabrasha yaliyotayatishwa na maafisa wa Tume na kumbuka wale siyo wabobezi wa fani za Sheria za kazi. Mwenyekiti anaweza kuwa Jaji Msataafu lakini siyo lazima kuwa ni ni bingwa wa Sheria za kazi.

Wachambuzi wa Tume wakiwa corrupted tu na waajiri, hakuna namna makamishna wataamua vinginevyo
Huko juu nimetoa ufafanuzi wa PROCESS ya rufaa kuchambuliwa.

Labda nirudie

Ofisa atachambua rufaa kwa kujibu HOJA zako vs majibu ya mamlaka ya nidhamu vs sheria, kanuni, nyaraka, taratibu, miongozo, nk

Akimaliza uchambuzi wake unapitiwa na kikao cha IDARA wanasoma kila HOJA ilivyochambuliwa, watarekebisha kama kuna MAKOSA.

Baadae huo uchambuzi utapitiwa na kikao cha MENEJIMENTI ya TUME ambayo ina wabobezi za sheria za kazi watarekebisha kama kuna makosa.

Mwishoni ndio inaenda TUME.

NADHANI UMEELEWA ILIVYO NGUMU OFISA KULA RUSHWA AU WEWE KUONEWA

CHECK AND BALANCE ni kubwa mno

So huwezi kuonewa wala kupendelewa
 
Back
Top Bottom