Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
- #21
Lina mechanism gani?Jiwe la nyoka linatibu na uking'atwa na nyoka ukiliweka sehemu ya jeraha halitoki mpaka sumu iishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lina mechanism gani?Jiwe la nyoka linatibu na uking'atwa na nyoka ukiliweka sehemu ya jeraha halitoki mpaka sumu iishe
Upo sahihi. Vyuo vya kata vimeharibu sana vijana wa miaka hii. Ambacho wamejifunza chuoni unakuta ni ushoga tu. Hamna kingine...Wapi ametaja Elimu yake? Hivi vyuo vya kata mnavyookota vyeti vinawafanya mjione Wasomi kwa marks za kugawiwa?
Jiwe la nyoka linatibu na uking'atwa na nyoka ukiliweka sehemu ya jeraha halitoki mpaka sumu iishe
...Sawa. Ndio Mkuu ameuliza ni Sayansi Gani unayotumia Hapo?Jiwe la nyoka linatibu na uking'atwa na nyoka ukiliweka sehemu ya jeraha halitoki mpaka sumu iishe
Nimewahi kutumia hili jiwe baada ya kungatwa na nyoka kijiji flani hivi na lilifanya kazi
Mimi ambacho sikielewi kuhusu hilo jiwe la nyoka ni pale linapowekwa kisha linaganda hapo hadi baada ya muda ndipo linadondoka lenyewe
Anhaa, okHata ukijikata na kisu ukaliweka litafanya hivyo hivyo
We mwenye phd siki hapo aitajiki elimu mzee!!Kusoma hadi form four tu unahoji kila kitu
Anti venom ni elimu ya wazungu,sisi tuna elimu yetu tangu kaleKungekuwa hakuna haja ya kutumia fedha nyingi kutengeza anti venom.
Ungesafiri na treni ile miaka ya 80,pale Dom wakiuza Sana haya mawe,usukumani huko Kuna miti unaweka tu kipande pale ulipong'atwa na nyoka au nge,kinanasia pale,kinafyonza na unasikia kabisa kinavutaPia kuna Nyoka wengi wasiokuwa na venom lakini huwa wanang'ata ili kujilinda
Hapo ndipo Mganga na jiwe lake anapopigia.
Unabishabisha tu hata hujawahi kuliona,mlionyea mapoti mna shida Sana,hamjui chochote kuhusu mlikotoka,mnatukuza uzungu...tuliishi kabla ya wazungu kuja,tukizaana,tukiugua na kutibiana kwa elimu yetuNi story Tu hakuna jiwe linatibu sumu ya nyoka
Ukweli ni kwamba % ya nyoka wa tanzania sio wa sumu
Uking'atwa na nyoka wa sumu ukaweka Hilo jiwe utakufa tu
Watoto wengi ni wabishi bila hata kujua jambo ni wapuuzi pia uzungu mwingi kumbe upumbavu.Unabishabisha tu hata hujawahi kuliona,mlionyea mapoti mna shida Sana,hamjui chochote kuhusu mlikotoka,mnatukuza uzungu...tuliishi kabla ya wazungu kuja,tukizaana,tukiugua na kutibiana kwa elimu yetu
Sasa kinaweza kuwa kinavuta maji maji,Venom ikishakuwa injected kwenye mshipa hiyo inasambazwa mwilini na kuanza kazi.Ungesafiri na treni ile miaka ya 80,pale Dom wakiuza Sana haya mawe,usukumani huko Kuna miti unaweka tu kipande pale ulipong'atwa na nyoka au nge,kinanasia pale,kinafyonza na unasikia kabisa kinavuta
Nimeyaona sana ila hayajathibitishwa kisayansi kuwa ni venom ya aina gani yanayoweza kuimaliza.Ungesafiri na treni ile miaka ya 80,pale Dom wakiuza Sana haya mawe,
Bila ya utafiti tutaendelea kutapeliana tu.Anti venom ni elimu ya wazungu,sisi tuna elimu yetu tangu kale
Ni kweli kipind fulani nilikuwa naishi Tanga mjini ,Kuna dogo wangu aling'atwa na nyoka akafungwa tambara kwanza then Kuna mzee akapigiwa simu anakaa sahare huko ni kama mganga vile na kanzu yake akaja na kijiwe cheusi akamuweka kweny jeraha wala hakushikiza na kitu kijiwe kikaganda kama nusu saa 30 kikadondoka akasema sumu ishaisha ila kesho yake...ChKwangu mimi sijawahi kuona hivyo vitu vikiwa kazini nikathibitisha utendaji wake.