Utendaji wa bangili ya Kupumbaza nyoka na Jiwe la nyoka

Utendaji wa bangili ya Kupumbaza nyoka na Jiwe la nyoka

Inawezekana,umeshajiuliza inakuwaje mdudu akiingia kwenye jicho au sikio akikutana na yale maji maji anakufa,ngoja nifanye research,siku nikikutana na Nyoka nimetemee mate nione nini kitatokea,halafu ntaleta mrejesho...
Ndugu yangu, sumu iliyopo kwenye mate yety haina effect kwa nyoka.

Unatakiwa kujifunza kutoujaribu umeme kwa kukojolea live wire
 
Hata Mimi sijui kipo wapi au vinarudi kwa wenyewe
😅😅😅😅 yawezekana maana mi ni mara ya pili nayapoteza mara ya kwanza nlinunua.moja nikaliweka kabatini sikuliona tena mara ya pili nikanunua mawili na sasa pia siyaoni
 
Ni story Tu hakuna jiwe linatibu sumu ya nyoka

Ukweli ni kwamba % ya nyoka wa tanzania sio wa sumu

Uking'atwa na nyoka wa sumu ukaweka Hilo jiwe utakufa tu
Iko hivi hilo jiwe, Ukipata lenyewe lina aina ya madini na pia liko porous. Hivyo ukiliweka sehemu ambayo nyoka amekung'ata muda huo huo linaifyonza sumu yote (yaani sumu inanyonywa na kuhamia kwenye jiwe) na hivyo kumnusuru mtu. Sasa ili uweze kulitumia tena ni lazima hilo jiwe ulidumbukize kwenye chombo chenye maziwa fresh na kulianika juani. Changamoto iliyopo ni kulipata jiwe lenyewe, hasa kipindi hiki cha utapeli.
 
Iko hivi hilo jiwe, Ukipata lenyewe lina aina ya madini na pia liko porous. Hivyo ukiliweka sehemu ambayo nyoka amekung'ata muda huo huo linaifyonza sumu yote (yaani sumu inanyonywa na kuhamia kwenye jiwe) na hivyo kumnusuru mtu. Sasa ili uweze kulitumia tena ni lazima hilo jiwe ulidumbukize kwenye chombo chenye maziwa fresh na kulianika juani. Changamoto iliyopo ni kulipata jiwe lenyewe, hasa kipindi hiki cha utapeli.

Kaka sumu ya cobra unaijua? Sumu ya kifutu unaijua? Acha utani ndugu yangu

Aking'atwa na nyoka kimbia kwenda hospital
 
Watu wameuziwa mawe ya kawaida yaliyopakwa rangi nyeusi. Siku ikifika unagundua too late!
 
Walikufa na elimu zao.
Hawa wangetusaidia Sana MOI pale kuunga mifupa ya bodaboda
Sijui ni kwanini kizazi hiki kimekuwa na ujuaji mwingi na kupinga kila kitu. Huo uungaji wa mifupa bila operation hata sasa wapo wanaofanya hivyo ila serikali haizitambui tiba asili kama tiba rasmi ndio maana hao wanaofanya hivyo hawawekwi huko MOI unaposema. Ni nipo Iringa na kuna mzee anafanya hiyo tiba ya kuunganisha mifupa ya mtu aliyevunjika bila operation. Vipawa hivyo vipo na watu wa Iringa wanaweza mjua mzee............. Siwezi taja Jina lake ila anafahamika tu.
 
Kaka sumu ya cobra unaijua? Sumu ya kifutu unaijua? Acha utani ndugu yangu

Aking'atwa na nyoka kimbia kwenda hospital
Jiwe lipo, tumeliona na kulitumia utotoni mwetu kwani wengine tumekulia sehenu zisizo na Hospitali wala Zahanati wala kituo cha afya. Tiba za asili zilikuwepo enzi na enzi kabla ya kuja kwa Wazungu na kuleta hii muitayo tiba za kisasa. Nyoka nao walikuwepo enzi na enzi na watu waliishi nao pia hata kung'atwa ila walitumia mawe na miti kama dawa na sio hizo za sasa

Jiwe la Nyoka lipo, lilikuwa Jeusi na lilikuwa "porous" mtu aking'atwa na Nyoka, alikuwa anachanjwa pale penye jeraha kidogo na damu nyeusi yenye madhara ya sumu inaanza kutoka kisha anawekewa hilo jiwe kwenye kidonda/alipoumwa na nyoka. Jiwe lile litakaa na kuning'inia pale alipokuwa na simu ukiisha kitaanguka. Ie porous nature na madini yaliyopo kwenye jiwe(Sijajua ni madini gani) ndiyo yanavuta na kuitoa ile sumu bila madhara kwa aliyekuwa.

Kipindi chetu, kila nyumba ilikuwa na yale mawe. Ni nimeyaona na kuyatumia.
 
Broo wangu alishawai kugongwa (kung'atwa na nyoko)
Walimchanja kidogo karibu na eneo alilohongwa.
Walimuwekea hilo jiwe la sumu, likaganda na kweli lilikua linavuta sumu

Baada ya muda linadondoka, inabidi mlichemshe
Then mnaliweka tena
Hiyo process inajirudi hadi unafika muda ukiliweka linaanguka muda huo huo

Alipona, na hakupelekwa hospital

TIBA ZA ASILI ZIPO, TENA KONKI SANA
Zipo sana mkuu ila vijana wa sasa wana ujuaji mwingi na kupinga kila kitu.

Niliishi na kufanya kazi kwenye Makambi ya wakimbizi kule Katumba na Mishamo Katavi. Jamaa wale wana dawa za asili, ukikutana na nyika hata wa namna gani. Ananyong'onyea na unaweza Mbena hata mgongoni. Anakuogopa na anakumbuka kabisa. Walimuonesha ule mti ila nilishasahau. Dawa hizi ndio anatumia yule Simon mwenye Kipindi cha "Snake in the City" kule kwenye Chaneli ya "Nat Geo Wild"
 
Jiwe lipo, tumeliona na kulitumia utotoni mwetu kwani wengine tumekulia sehenu zisizo na Hospitali wala Zahanati wala kituo cha afya. Tiba za asili zilikuwepo enzi na enzi kabla ya kuja kwa Wazungu na kuleta hii muitayo tiba za kisasa. Nyoka nao walikuwepo enzi na enzi na watu waliishi nao pia hata kung'atwa ila walitumia mawe na miti kama dawa na sio hizo za sasa

Jiwe la Nyoka lipo, lilikuwa Jeusi na lilikuwa "porous" mtu aking'atwa na Nyoka, alikuwa anachanjwa pale penye jeraha kidogo na damu nyeusi yenye madhara ya sumu inaanza kutoka kisha anawekewa hilo jiwe kwenye kidonda/alipoumwa na nyoka. Jiwe lile litakaa na kuning'inia pale alipokuwa na simu ukiisha kitaanguka. Ie porous nature na madini yaliyopo kwenye jiwe(Sijajua ni madini gani) ndiyo yanavuta na kuitoa ile sumu bila madhara kwa aliyekuwa.

Kipindi chetu, kila nyumba ilikuwa na yale mawe. Ni nimeyaona na kuyatumia.


Nyoka wengi wa tanzania sio wa sumu

Tunarudi pale pale,

Kama kuna nyoka Mia moja, basi nyoka 98 hawana sumu
 
Kuna aliyewahi kushuhudia mtu aliyevunjika mfupa mfano wa mguu na akatibiwa na mganga ambaye alikuwa kama anamkandakanda huo mguu lakini bila kuugusa kabisa huku mgonjwa mwenyewe akiwa anasikia maumivu makali kutokana na "kukandwakandwa" huko?
 
Back
Top Bottom