Mkuu lichukue na ufanye utafiti wewe mwemyeweNimeyaona sana ila hayajathibitishwa kisayansi kuwa ni venom ya aina gani yanayoweza kuimaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu lichukue na ufanye utafiti wewe mwemyeweNimeyaona sana ila hayajathibitishwa kisayansi kuwa ni venom ya aina gani yanayoweza kuimaliza.
Niko Bize na Singeli ya "hainaga ushemeji tunakulaga" ngoja iishe nikabishane Yanga Simba mie"Mkuu lichukue na ufanye utafiti wewe mwemyewe
Nchi yangu mimiKusoma hadi form four tu unahoji kila kitu
Unapaka wapi?Paka mafuta ya kondoo nyoka watatoka wenyewe tu.
AiseeNimewahi kutumia hili jiwe baada ya kungatwa na nyoka kijiji flani hivi na lilifanya kazi
SawasawaHili ni onyo kutoka WHO.
The World Health Organization is very clear in stating that it has no effect on snake-bites, bearing in mind that most snake-bites are from non-venomous snakes. They state that traditional medicines and other treatments such as wound incision or excision, suction, or application of “black stones” should be avoided.
Unabishabisha tu hata hujawahi kuliona,mlionyea mapoti mna shida Sana,hamjui chochote kuhusu mlikotoka,mnatukuza uzungu...tuliishi kabla ya wazungu kuja,tukizaana,tukiugua na kutibiana kwa elimu yetu
Tulikua na tiba zetu,wakunga wetu...au unadhani mama yake mkwawa au milambo walizalishwa na mkunga wa muhimbili!?..unadhani hatukuugua!!?Sawa kabisa
Mke wako akitoka kuzaa kile kidonda weka mchanga Tu kitapona faster
Hata ww ukiumia, pakaa mchanga Tu fresh, hata nyama Kula Mbichi kabisa
Kwasababu baba ako alikosa ada isiwe sababu ya kuwachukia waliofika chuoUpo sahihi. Vyuo vya kata vimeharibu sana vijana wa miaka hii. Ambacho wamejifunza chuoni unakuta ni ushoga tu. Hamna kingine...
Sijui umri wako,sijui umekulia wapi..Ila Mimi kwetu tabora nimeona tiba nyingi za kushangaza...ikiwemo ile dawa ya kuunga mfupa uliovunjika kwa tabibu kuchezesha viganja vya mikono pembezoni mwa mguu/mkono uliovunjika,Kuna ngariba umakondeni huko alikua hashiki kisu kukata govi,anaweka mhogo kwenye ungo,anakwambia chukua,menya nchani kwa kuvua,ukimaliza na govi lako halipo,anakupaka dawa ndo ushatahiriwaBila ya utafiti tutaendelea kutapeliana tu.
Ila yametatua tatizo ndiyo maana yakitumika sanaNimeyaona sana ila hayajathibitishwa kisayansi kuwa ni venom ya aina gani yanayoweza kuimaliza.
Hapana,inavuta sumu,na ikijaa inadondoka,unalitia kwenye maziwa,baada ya muda ukiliweka Tena linashika,japo muhimbili walisema kwa baadhi ya sumu jiwe litaongeza tatizoSasa kinaweza kuwa kinavuta maji maji,Venom ikishakuwa injected kwenye mshipa hiyo inasambazwa mwilini na kuanza kazi.
Next time usisahau kutukunjia kwenye mfumo wa Video, mimi huwa najiuliza sana inakuwaje tiba zetu nyingi za Kiafrika huwa ni za siri siri sana.nimeona
Hilo ndiyo tatizo Sana,wazee wanaficha maarifa Kisha wanakufa nayo...hospitali za tabora ukiumwa bawasiri Kuna waganga wa kienyeji wanakuitia,utapaka dawa utapona,bawasiri mzungu anakupasuaNext time usisahau kutukunjia kwenye mfumo wa Video, mimi huwa najiuliza sana inakuwaje tiba zetu nyingi za Kiafrika huwa ni za siri siri sana.
Kuna venom aina mbili kuu za Nyoka moja inashambulia seli za damu na nyingine inashambulia mfumo wa fahamu sasa hili jiwe linatibu aina ipi?Hapana,inavuta sumu,na ikijaa inadondoka
Ulienda mtembelea nani chuo? You dont sound like an educated person. You sound more like a dumb young girl in her teen age trying to mature and eventually proving her stupidness. Wewe chuo ulienda mtembelea nani?speak the truth girl.Kwasababu baba ako alikosa ada isiwe sababu ya kuwachukia waliofika chuo
Mi nakubali sijasoma, ila mi sio kama wewe... siwachukii waliofika chuo..... Kwahyo kwa hicho kimombo ndo unantishia nawewe umesoma?Ulienda mtembelea nani chuo? You sound like an educated person. You sound more like a dumb young girl in her teen age trying to mature and eventually proving her stupidness. Wewe chuo ulienda mtembelea nani?speak the truth girl.