Utendaji wa Rais Magufuli angevishwa Kikwete angekuwa Rais mzuri mno kuwahi kutokea Afrika

Utendaji wa Rais Magufuli angevishwa Kikwete angekuwa Rais mzuri mno kuwahi kutokea Afrika

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kusema ukweli Rais Jakaya Kikwete aliwafanya watanzania wawe na furaha sana.

Kusema ukweli Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.

Sasa chukua kolabo ya hulka na tabia ya JK halafu upendo wake tabasamu lake faraja zake wakati wa shida changanya na utendaji kazi bora wa Rais Magufuli unaojali matokeo yenye tija kwa wakati aisee tungekuwa na boooooongeee la Rais.

Ila kwa bahati mbaya;

Mungu hakupi vyote ndio maana anaweza akakupa urefu ila huna pesa na akili aliyepewa ufupi akapewa pesa na akili.

Magufuli angekuwa super man kama angekuwa na hulka za Kikwete.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Taja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!

Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.

Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
Amemchanganya Tundu Lissu amechanganyikiwa mpaka ameugua Magufuliphobia
 
Taja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!

Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.

Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
Leo kwikwete kawa mzuri kwenu ! Akili za Wana ufipa bana !
 
Taja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!

Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.

Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
Yafuatayo no kati ya aliyoya fanya wewe mwana ufipa !
1.Ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme unayoendea katika nchi yetu..mradi utawezesha nchi yetu iweze hata kuuza umeme Afrika nzima

2.kuondoa tatizo la wafanyakzi hewa waliokuwa wanaingizia nchi hasara ya mabilioni ya fedha.
.Umeondoa giza Tanzania...nikimaanisha mgao wa umeme umekuwa historia.

3.ameleta elimu bure ..watoto wa maskini sasa wanaoma shule

4.smeondoa mikatamibovu katika sector ya madini,umezuia makinikia na kujenga ukuta mererani...leo Tanzania ndio nchi ya kwanza Duniani kwa kuuza Tanzanite Duniani..kabla haujaingia madarakani Tanzania ilikuwa nchi ya saba.

4 .Amenunua ndege karibu nane sasa zinazofanya safari ndani na nje ya nchi

5.Anajenga reli kutoka Dar mpaka Dodoma

Ni hayo tu bado mengine mengi.. msijitie upofu wana ufipa! Maendeleo ni process!
 
Kafanya hayo yote kwa kuwa Mh Kikwete kajenga uchumi..yeye anafanya manunuzi tu..
 
Taja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!

Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.

Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
Kaongeza makusanyo ya kodi
 
Taja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!

Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.

Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
Tanzania imekuwa ya kwanza afrika kuhusu usambazaji wa umeme
 
Ripoti UNDP 2019: Maendeleo ya Watanzania yamerudi nyuma kwa 25%

Yafuatayo no kati ya aliyoya fanya wewe mwana ufipa !
1.Ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme unayoendea katika nchi yetu..mradi utawezesha nchi yetu iweze hata kuuza umeme Afrika nzima

2.kuondoa tatizo la wafanyakzi hewa waliokuwa wanaingizia nchi hasara ya mabilioni ya fedha.
.Umeondoa giza Tanzania...nikimaanisha mgao wa umeme umekuwa historia.

3.ameleta elimu bure ..watoto wa maskini sasa wanaoma shule

4.smeondoa mikatamibovu katika sector ya madini,umezuia makinikia na kujenga ukuta mererani...leo Tanzania ndio nchi ya kwanza Duniani kwa kuuza Tanzanite Duniani..kabla haujaingia madarakani Tanzania ilikuwa nchi ya saba.

4 .Amenunua ndege karibu nane sasa zinazofanya safari ndani na nje ya nchi

5.Anajenga reli kutoka Dar mpaka Dodoma

Ni hayo tu bado mengine mengi.. msijitie upofu wana ufipa! Maendeleo ni process!
 
Umezaliwa lini? Mbona Nyerere alifanya hili zamani sana? Muulize Magufuli aliposoma shule za serikali kama alikuwa analipa karo.
Zamani sio sasa ndugu Ccm iliahidi elimu bure! Na limetekelezwa , mbona ninyi mliahidi elimu bure hadi chuo kikuu 2015 au mmesahahu , na hamkujua kama nyerere alifanya? Acheni kutapatapa
 
Taja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!

Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.

Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
Mnyonge mumpe haki yake huku mnamnyonga..
 
Usitumie lugha ya "nyie" wakati unaongea na mtu mmoja (Omusolopagasi). Vinginevyo unafanya niache kabisa kukutilia maani kwa vile hiyo ni tabia ya kishabiki kama kushabikia timu ya mpira.
Zamani sio sasa ndugu Ccm iliahidi elimu bure! Na limetekelezwa , mbona ninyi mliahidi elimu bure hadi chuo kikuu 2015 au mmesahahu , na hamkujua kama nyerere alifanya? Acheni kutapatapa
 
Kusema ukweli Rais Jakaya Kikwete aliwafanya watanzania wawe na furaha sana.

Kusema ukweli Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.

Sasa chukua kolabo ya hulka na tabia ya JK halafu upendo wake tabasamu lake faraja zake wakati wa shida changanya na utendaji kazi bora wa Rais Magufuli unaojali matokeo yenye tija kwa wakati aisee tungekuwa na boooooongeee la Rais.

Ila kwa bahati mbaya;

Mungu hakupi vyote ndio maana anaweza akakupa urefu ila huna pesa na akili aliyepewa ufupi akapewa pesa na akili.

Magufuli angekuwa super man kama angekuwa na hulka za Kikwete.

Mungu ibariki Tanzania.

Uongozi sio Tabasamu ndugu. Tabasamu ni matokeo ya kuridhishwa na kufurahishwa.

Mwananchi hafurahi kwa sababu kiongozi kafurahi au katabasamu. Kwenye serikalibya kishkaji eanaonufaika NI washkaji
Washkaji walikuwa na uwezo wa kumfanya raia chochote na wakalindwa

Watendaji wa vijiji na kata, Makatibu tarafa, wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mpaka natajiri binfsi walikuwa na uwezo wa kukunyanyasa na usipate pa kushtaki maana serikali ya kishkaji ilikuwa inalinda washkaji.

Hapa ndipo ule msemo baba kambale ndevu mpaka mtoto kambale ndevu ilikuwa na maana.

Leo HII chini ya JPM mpaka Waziri hawezi kukunyanyasa Kama una ujasiri wa kukomaa. Leo HII simuogopi mtendaji,karibu tarafa, mkurugenzi, mkuu wa wilaya au mkoa achilia mbali tajiri, watu Wanamatumaini ya kupata haki zao na hapo ndipo kwenye chanzo Cha furaha ya kweli na sio tabasamu la kiongozi.

Tanzania huwezi kumchkea mtumishi wa umma na akadeliver.

Kiongozi mkimya, mpole na wakuchekacheka hawezi kuisukuma Tanzania
 
Usitumie lugha ya "nyie" wakati unaongea na mtu mmoja (Omusolopagasi). Vinginevyo unafanya niache kabisa kukutilia maani kwa vile hiyo ni tabia ya kishabiki kama kushabikia timu ya mpira.
Ok sawa naongea na mtu mmoja! Niambie mbona upinzani waliahidi elimu bure mpaka chuo kikuu 2015 ! Hawakujua kama Nyerere alifanya??
 
Taja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!

Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.

Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
Akili za wapinzani wa Tz bhana..leo tena unamgeukia kikwete? Na wakati mlikuwa mnamponda kutwa kucha..nyie kushika hii nchi mtasubiri sana..siku mkiwa na akili mtaishika
 
Back
Top Bottom