Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Hata Mimi sometimes huwa nawaza hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nchi ipo uchumi wa kati ,we unasema maendeleo yamerudi nyuma 25%!!! Mna akili kweli nyie ufipa!
Hilo suala usibishane na mimi kawaulize World bank !, kwa sababu wao wana vigezo vyao , uchumi wa kati hawajausema CCM.! Mkae mkijua Hilo,Wacha ujinga wewe! Uchumi wa kati hakuna ajira na mishahara kwa wafanyakazi mwaka wa tano hakuna nyongeza? Akili za wapi hizi!? [emoji15] FYI the report above is not from Chadema. Just make sure you pay extra attention on any post on this forum.
Hilo swala usibishane na mimi kawaulize World bank !, kwa sababu wao wana vigezo vyao , uchumi wa kati hawajausema CCM.! Mkae mkijua Hilo,
Huwezi kuwa unacheka Cheka halafu kazi ziende! Ukitaka mambo yaende lazima uwe nasura ya mbuzi! Babu zako wasingechalazwa viboko unafikili reli ingejengwa? Acha kulialia piga kaziKusema ukweli Rais Jakaya Kikwete aliwafanya watanzania wawe na furaha sana.
Kusema ukweli Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Sasa chukua kolabo ya hulka na tabia ya JK halafu upendo wake tabasamu lake faraja zake wakati wa shida changanya na utendaji kazi bora wa Rais Magufuli unaojali matokeo yenye tija kwa wakati aisee tungekuwa na boooooongeee la Rais.
Ila kwa bahati mbaya;
Mungu hakupi vyote ndio maana anaweza akakupa urefu ila huna pesa na akili aliyepewa ufupi akapewa pesa na akili.
Magufuli angekuwa super man kama angekuwa na hulka za Kikwete.
Mungu ibariki Tanzania.
Walisema Tanzania imefika uchumi wa kati sio Bot ndugu ni Benkiya Dunia (WB)Tia akili kichwani wewe GARBAGE IN GARBAGE OUT unataka kuziamini namba FAKE za BoT!?
Huwezi kupewa vyote.
Walisema Tanzania imefika uchumi wa kati sio Bot ndugu ni Benkiya Dunia (WB)
Tutolee ungese wako hapaKusema ukweli Rais Jakaya Kikwete aliwafanya watanzania wawe na furaha sana.
Kusema ukweli Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Sasa chukua kolabo ya hulka na tabia ya JK halafu upendo wake tabasamu lake faraja zake wakati wa shida changanya na utendaji kazi bora wa Rais Magufuli unaojali matokeo yenye tija kwa wakati aisee tungekuwa na boooooongeee la Rais.
Ila kwa bahati mbaya;
Mungu hakupi vyote ndio maana anaweza akakupa urefu ila huna pesa na akili aliyepewa ufupi akapewa pesa na akili.
Magufuli angekuwa super man kama angekuwa na hulka za Kikwete.
Mungu ibariki Tanzania.
Kuhamia dodoma..BRT,makusanyo ya kod yaliyopitiliza,ukomboz sekta ya madin,..kufufuliwa kwa biashara ya usafir wa anga nchi.flyover zaa kutosha..kama 4 hiv...wahujumu uchum wa kutosha wako behind bars,elimu bure..mahakama ya madisad,madaraja kibao yamefunguliwa,stieglers ndo kama hyo..la muhimu zaid karudishaa heshima kazin..nchi kupanda kufika uchum wa kat etc etcTaja hayo makubwa ambayo Magufuli ameyafanya kwa muda mfupi!.Ni propaganda tu!
Kikwete katika miaka yake minne ya mwanzo ya utawala wake alikuwa ameshajenga UDOM imekamilika na Shule za kata nchi nzima.
Magufuli amekamilisha kitu gani cha maana ndani ya miaka yake hii mitano?
GDP per capitaUnaamanisha nini Jpm anafanya manunuzi? Unajua maan ya kujenga uchumi??
Daaaa umetia aibu kweli kweli ,nilkuwa nakuheshim kweli kumbe wewe mtu wa ovyoooo sana ,yaaani matusi kwako ni chakula haujastarabika kabisaa na kuwa kwenye watu wenye ufaham na exposure ndani ya JFKuhamia dodoma..BRT,makusanyo ya kod yaliyopitiliza,ukomboz sekta ya madin,..kufufuliwa kwa biashara ya usafir wa anga nchi.flyover zaa kutosha..kama 4 hiv...wahujumu uchum wa kutosha wako behind bars,elimu bure..mahakama ya madisad,madaraja kibao yamefunguliwa,stieglers ndo kama hyo..la muhimu zaid karudishaa heshima kazin..nchi kupanda kufika uchum wa kat etc etc
Hiv we ku.mer huon haya yote
Hayo mambo makubwa aliyofanya Magufuli ni yapi ?Kusema ukweli Rais Jakaya Kikwete aliwafanya watanzania wawe na furaha sana.
Kusema ukweli Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Sasa chukua kolabo ya hulka na tabia ya JK halafu upendo wake tabasamu lake faraja zake wakati wa shida changanya na utendaji kazi bora wa Rais Magufuli unaojali matokeo yenye tija kwa wakati aisee tungekuwa na boooooongeee la Rais.
Ila kwa bahati mbaya;
Mungu hakupi vyote ndio maana anaweza akakupa urefu ila huna pesa na akili aliyepewa ufupi akapewa pesa na akili.
Magufuli angekuwa super man kama angekuwa na hulka za Kikwete.
Mungu ibariki Tanzania.
Kuhamia dodoma..BRT,makusanyo ya kod yaliyopitiliza,ukomboz sekta ya madin,..kufufuliwa kwa biashara ya usafir wa anga nchi.flyover zaa kutosha..kama 4 hiv...wahujumu uchum wa kutosha wako behind bars,elimu bure..mahakama ya madisad,madaraja kibao yamefunguliwa,stieglers ndo kama hyo..la muhimu zaid karudishaa heshima kazin..nchi kupanda kufika uchum wa kat etc etc
Hiv we ku.mer huon haya yote
Who cares.Daaaa umetia aibu kweli kweli ,nilkuwa nakuheshim kweli kumbe wewe mtu wa ovyoooo sana ,yaaani matusi kwako ni chakula haujastarabika kabisaa na kuwa kwenye watu wenye ufaham na exposure ndani ya JF