Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Bado unahitaji?
mie nahitaji mama
Soon tutaonana..... Tutayamaliza 😛
Na mimi nahitaji, sasa tutaonana wapi, lini na saa ngapi?
Maana inabidi tuyamalize mapema jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unahitaji?
mie nahitaji mama
Soon tutaonana..... Tutayamaliza 😛
MmmhNa mimi nahitaji, sasa tutaonana wapi, lini na saa ngapi?
Maana inabidi tuyamalize mapema jamani.
Mmmh
Mafuta lita 1 ni sawa na mls 1,000mkuu formula yk inasema mafuta lita1 + caustic soda grm135 + maji mls 350 + sodium soligate prm100. mkuu hii ndo formula yako.
sasa swali langu icho kipimo cha maji mbn kikubwa sn tofaut na izo grm za caustic na iyo sodium siligate afu tena na ayo mafuta mbn madogo sn maana ayawian kbs izo grm za caustic wala wala ayo maji maana ktk maelezo yk uko juu ulisema mafuta na caustic ndo yanatengeneza sabuni maji ni kiunganish2 ila hapo kwny iyo formula naona maji yamekua mengi kuliko ayo mafuta.
ebu nipi mwongozo mkuu ktk ili
Fomalin ni hatari haifai kuwekwa kwenye sabuni, hiyo inawekwa kwenye dawa ya toiletIpi hatari, fomalin au salfonic acid? Ni mambo ya kawaida - kikubwa ni ni kujua ration na kutumia vyema.
Vip hakuna mafuta mengine zaidi ya mawese?.maana mawese hayapatikani kwa urahisiPia elewa sabuni inatengenezwa na vitu viwili alkal na base, yaani caustic soda na mafuta. maji ni kiunganishi na sodium siligate inakazi zifuatazo
1)inaongeza povu
2)inaongeza ugum wa sabuni
3)inaondoa mwasho wa caustic soda
4)inaongeza nguvu ya kuondoa uchafu
Pia mafuta yanaweza kuwa machafu mf. mawese huwa yana rangi, nilazima yasafishwe, jinsi ya kusafisha Mafuta ya mawese tutajifunza kesho
Nasikia ni lazima uwe na ubao wa kutolea hizo sabuni ni kweli?Taro ni mafuta animal original yanauzwa tsh 1500/kg, jaribu kuuliza ,mimi mwenyewe natengeneza sabuni hapa nilipo tunapata ktk maduka ya mawakala wasambazaji wa mali gafi hizo
ASANTE, NDAGHA NALOLIStay tuned..
Na mimi naomba unitumie e mail yangu ni bintokalist@hotmail.comnipiem email yako,tuwasiliene ili nikutumie full notes about that! Nondo zipo za kila aina ya sabuni.
Ni pmNa mimi naomba unitumie e mail yangu ni bintokalist@hotmail.com
naomba nami nitumie hizo notes za utengenezaji wa sabuni mbalimbaili mkuu email yangu xuma144@gmail.comnipiem email yako,tuwasiliene ili nikutumie full notes about that! Nondo zipo za kila aina ya sabuni.