Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Asante Bw Biashara kwa kile kitabu kinachofundisha sabuni za mche bila ile caustic soda chemical hatari kwa afya zetu
 
Mkuu, elewa maudhui, kuwa nyeupe ni kung'aa kwa rangi uliyo ichagua, umechagua rangi nyekundu halafu inamadoa meusi au meupe, hiyo sio yeupe(safi) kwani nani hajui zipo sabuni za rangi nyingi? nyeupe, njano,kijani, nk. elewa kinacho maanishwa.
mkuu tafadhari ni dm please
 
Ili iitwe sabuni inatakiwa
-Ngumu kuiisha
-Yenye povu jingi
-Nyeupe
VIAMBATA VYA kutengenezea sabuni
1)Mafuta-mawese,mise,wanyana
2)Maji
3)Caustic soda(costiki soda)
VIFAA VYA KUTENGENEZEA
-Ndoo za plastiki lita 20 nne
-Diaba 1
-Mti wa kukorogea
-Mashine ya kukorogea
-Box la kugandishia
-Mhuri wa biashara
-Mzani wa saa
-Vibao vya kukatia
VIFAA VYA USALAMA
-Mask
-Groves
-Gum boots
-Goggles (miwani)
-Overall
-Ndoo ya maji au mchanga
FORMULA
-mafuta lt1+caustic soda grm135+maji mls350+sodium siligate prm100
KUCHANGANYA
pima maji ktk ndoo ya plastic kisa weka caustic soda ktk maji weka kidogokidogo huku ukikoroga mpaka itakapo yeyuka.mchanganyiko huu unaweza kuchemka na kutoa mosh usiogope. acha ipoe kuanzia masaa 8 nazaidi
KUCHANGANYA NA MAFUTA
yeyusha mafuta kwa kuyapasha joto kidogo ambapo unaweza kuyashika, tia sangi na mimina kidogo2 kuchanganya michanganyiko huku ukikoroga. mimina kwenye box la kugandishia acha igande tayari kwa kukata.Pia weka sodium siligate
***
mafata Lita 1 yanatoa sabuni ya ukubwa gani?
 
Pia elewa sabuni inatengenezwa na vitu
viwili alkal na base, yaani caustic soda na
mafuta. maji ni kiunganishi na sodium
siligate inakazi zifuatazo
1)inaongeza povu
2)inaongeza ugum wa sabuni 3)inaondoa mwasho wa caustic soda
4)inaongeza nguvu ya kuondoa uchafu Pia mafuta yanaweza kuwa machafu mf.
mawese huwa yana rangi, nilazima
yasafishwe, jinsi ya kusafisha Mafuta ya
mawese tutajifunza mkihitaji.

pia kwa sabuni za maji, dudu kila, dawa za chooni nitakufundisha ukipenda

mkuu nmefatilia sn somo lako tangia juu uko naomba mwongozo jinsi yakusafisha mafuta yamawese
 
ilo somo lako la sabuni ya kipande pamoja na formula yake je kunautafaut gn ktk utengenezaj wa sabun ya magan? naomba mwongozo wk ktk ili mkuu
 
Ili iitwe sabuni inatakiwa
-Ngumu kuiisha
-Yenye povu jingi
-Nyeupe
VIAMBATA VYA kutengenezea sabuni
1)Mafuta-mawese,mise,wanyana
2)Maji
3)Caustic soda(costiki soda)
VIFAA VYA KUTENGENEZEA
-Ndoo za plastiki lita 20 nne
-Diaba 1
-Mti wa kukorogea
-Mashine ya kukorogea
-Box la kugandishia
-Mhuri wa biashara
-Mzani wa saa
-Vibao vya kukatia
VIFAA VYA USALAMA
-Mask
-Groves
-Gum boots
-Goggles (miwani)
-Overall
-Ndoo ya maji au mchanga
FORMULA
-mafuta lt1+caustic soda grm135+maji mls350+sodium siligate prm100
KUCHANGANYA
pima maji ktk ndoo ya plastic kisa weka caustic soda ktk maji weka kidogokidogo huku ukikoroga mpaka itakapo yeyuka.mchanganyiko huu unaweza kuchemka na kutoa mosh usiogope. acha ipoe kuanzia masaa 8 nazaidi
KUCHANGANYA NA MAFUTA
yeyusha mafuta kwa kuyapasha joto kidogo ambapo unaweza kuyashika, tia sangi na mimina kidogo2 kuchanganya michanganyiko huku ukikoroga. mimina kwenye box la kugandishia acha igande tayari kwa kukata.Pia weka sodium siligate

mkuu formula yk inasema mafuta lita1 + caustic soda grm135 + maji mls 350 + sodium soligate prm100. mkuu hii ndo formula yako.

sasa swali langu icho kipimo cha maji mbn kikubwa sn tofaut na izo grm za caustic na iyo sodium siligate afu tena na ayo mafuta mbn madogo sn maana ayawian kbs izo grm za caustic wala wala ayo maji maana ktk maelezo yk uko juu ulisema mafuta na caustic ndo yanatengeneza sabuni maji ni kiunganish2 ila hapo kwny iyo formula naona maji yamekua mengi kuliko ayo mafuta.

ebu nipi mwongozo mkuu ktk ili
 
nakama iyo formula iko sawa bc naomba unipe mwongozo ktk gharama zamadawa km ilivo hapo kwny formula na uniambie ktk izo gharama unatoa miche mingap yasabun? km ilivo kwny sabun

naomba mwongozo mkuu
 
Back
Top Bottom