Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Safi.kuna machine ya kuzalisha sabuni ya unga. Dola 1500 .Je sihitaji machine kwa njia ya kitabu chako?
 
ndugu pls ni call kwa0767310320 tuongee niependa uzi wako pls
 
kutengeneza sabuni ya unga ninajua. sabuni ya maji, kunawia, dawa ya usafi, mishumaa, mafuta ya kupaka... batiki..n.k. ni-pm tubonge..achana na huyu mtoa post!
 
Kuna watu wanauliza vipi kuhusu sabuni ya maji. Mi nasema kuwa ni nzuri na ni cheap kuimake na ina faida kubwa
 
Habari

Kutokana na maombi ya wengi na umuhimu wa utengenezaji na matumizi ya sabuni za unga katika maisha ya kila siku ya mwanadamu, nimeona nitoe mafunzo ya jinsi ya utengenezaji wa sabuni za unga.

Kumekuwa na mafunzo mbali mbali yanayokuwa yanatolewa nchi nzima na watu mbalimbali ambao hufundisha utengenezaji wa sabuni za ungaambapo imekuwa ni vigumu kwa wajasiriamali wengi kuanzisha biashara zao kwa kuwa ni list ndefu ya malighafi nyingi wanafundishwa lazinma wazitumie ili kuweza kutengeneza sabuni hizo. Hiyo ni kwa kuwa wanaambiwa hivyo kwa kuwa wasambazaji hao wa malighafi ndio wanaotoa hayo ,afunzo. Hivyo ni faida kwao.

Natoa mafunzo ya jinsi ya kutengeneza sabuni za unga kwa kutumia malighafi tatu tu. Hivyo inakuwezesha kupata faida karibu mara mbili ya gharama ya uzalishaji. Mafunzo haya yanapatikana katika kitabu nilichokiandika kutokana na uzoefu wangu katika biashara hii kwa kuwa nilikuwa naifanya kabla sijaanzishabiashara nyingine ya kutengeneza mkaa wa kisasa. Bei ya kitabu ni sh. 20,000 ambapo nakutumia kitabu katika email kama attachment nae unanitumia pesa kwa mpesa ya namba hii 0758 308193. Ntakuunganisha na wasambazaji wa malighafi, vifungashio, kukupa mbinu za masoko, ntakuunnganisha na mwenye kiwanda cha sabuni za mche ukajifonee na ntakutumia mafunzo mengine free ambayo nimekuwa nikiyatoa kwa miaka kadhaa sasa.

Nipigie tuzungumze.

nitafute ninunue 0658087412
 
Mwaka huu unaelekea mwaka mpya na mambo mapya. Km mwaka huu ullikuwa hunha biahara inayokuingizia kipato amua sasa hivi kuwa mwakani ni mwaka wako. Anza kutengeneza sabuni za maji, mche na unga kwa mtaji wa elfu kumi leo hii
 
Ila watengeneza sabuni inatakiwa tbs iwaangalie hizi sabuni zenu mtakuja kutuua, yani kuna sabuni ukiifungua unapiga chafya tu yani ni chafya muda wote sa ndo nini
 
hahahaaaaa kumbe ni we tapeli? wasiokujua wacha watapeliwe!
 
Back
Top Bottom