Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Sabuni sio lazima iwe nyeupe .... Jamaa liongo sana - kuanza tu nimekutana na makosa.
 
tuwasiliane, Hii inaingiza matumizi ya dawa hatari kidogo,si vizuri kuwa hadharani.

Ipi hatari, fomalin au salfonic acid? Ni mambo ya kawaida - kikubwa ni ni kujua ration na kutumia vyema.
 
Sabuni sio lazima iwe nyeupe .... Jamaa liongo sana - kuanza tu nimekutana na makosa.

Mkuu, elewa maudhui, kuwa nyeupe ni kung'aa kwa rangi uliyo ichagua, umechagua rangi nyekundu halafu inamadoa meusi au meupe, hiyo sio yeupe(safi) kwani nani hajui zipo sabuni za rangi nyingi? nyeupe, njano,kijani, nk. elewa kinacho maanishwa.
 
Ipi hatari, fomalin au salfonic acid? Ni mambo ya kawaida - kikubwa ni ni kujua ration na kutumia vyema.

Fomalin sio hatari? kwanza mtumiaji wa kawaida akiisikia anaweza asinunue kabisa bizaa hiyo
 
Sabuni sio lazima iwe nyeupe .... Jamaa liongo sana - kuanza tu nimekutana na makosa.

Uandishi wake umenipa taarifa nyingi kuhusu yeye, na ndicho kilicho nifanya anivutie sana, na ni mfano wa kuigwa.
 
bab-D hongera kwa ubunifu ili kupambana na maisha. Naomba formula ya kutengeneza sabuni ya maji hasa kwa matumizi ya jikoni. Uko pande ipi?
 
Last edited by a moderator:
Mahitaji:
- Sulphonic acid
- Sodium carbonate
- Perfume
- Soda ash
- Rangi
- Sodium sulphate
- Optical by tina

Jinsi ya kutengeneza:
- Andaa chombo (beseni/pipa) kutegemea na uwingi wa sabuni unayotaka kutengeneza.. Anza kuweka sodium carbonate kilo 1 kisha optical by tina vijiko 10 vya chakula kisha sodium sulphate kilo 1 kisha soda ash kilo 7 koroga kwa dakika 10.

Baada ya hapo weka mchanganyiko mwingine ambao ni sulphonic acid 2 na nusu kisha nausa vijiko 15 vya chakula kisha rangi vijiko vi5 changanya na perfume vijiko 6 vya chakula .

Sabuni ikiwa tayari anika kwenye kivuli....

Imeletwa kwenu na mkurugenzi wa kampuni ya Mjasiriaakili Enterprises.
...mawasiliano 0653-564080
 
INA cost being gan Kitengeneza sabun kilo 1?
 
INA cost being gan Kitengeneza sabun kilo 1?

sulphonic acid 1ltr -6000
optical by tina 100gm -3000 sodium carbonate 1kg-3000 sodium sulphate 1kg-3000 soda ash1kg-2000 rangi100gm-1000 perfume 100mls-3000.....Kwa kilo moja mkuu itakucost sana kama umeamua kuingia rasmi kwenye biashara hii wasiliana nami nikupe mafunzo ya vitendo mkuu
 
sulphonic acid 1ltr -6000
optical by tina 100gm -3000 sodium carbonate 1kg-3000 sodium sulphate 1kg-3000 soda ash1kg-2000 rangi100gm-1000 perfume 100mls-3000.....Kwa kilo moja mkuu itakucost sana kama umeamua kuingia rasmi kwenye biashara hii wasiliana nami nikupe mafunzo ya vitendo mkuu

Kwa mchanganyo huu unatoa kilo ngapi? au kiasi gani?
 
Mahitaji:
- Sulphonic acid
- Sodium carbonate
- Perfume
- Soda ash
- Rangi
- Sodium sulphate
- Optical by tina

Jinsi ya kutengeneza:
- Andaa chombo (beseni/pipa) kutegemea na uwingi wa sabuni unayotaka kutengeneza.. Anza kuweka sodium carbonate kilo 1 kisha optical by tina vijiko 10 vya chakula kisha sodium sulphate kilo 1 kisha soda ash kilo 7 koroga kwa dakika 10.

Baada ya hapo weka mchanganyiko mwingine ambao ni sulphonic acid 2 na nusu kisha nausa vijiko 15 vya chakula kisha rangi vijiko vi5 changanya na perfume vijiko 6 vya chakula .

Sabuni ikiwa tayari anika kwenye kivuli....

Imeletwa kwenu na mkurugenzi wa kampuni ya Mjasiriaakili Enterprises.


Hasa hapo kwenye RED ndo nimeshindwa kuelewa, naomba ufafanuzi kamiri, Kingine ni kuwa katika kutengeneza unatengeneza michanganyiko miwili na mwisho unaichanganay na kupata one mixture??????????? Asante na ubarikiwe
 
sulphonic acid 1ltr -6000
optical by tina 100gm -3000 sodium carbonate 1kg-3000 sodium sulphate 1kg-3000 soda ash1kg-2000 rangi100gm-1000 perfume 100mls-3000.....Kwa kilo moja mkuu itakucost sana kama umeamua kuingia rasmi kwenye biashara hii wasiliana nami nikupe mafunzo ya vitendo mkuu

Weka mawasiliano basi.
 
Karibu wana jf kuna elimu ninayo ya jinsi kupigana na umasikin,,,,,,,,,,,, nimejifunza elimu ya ujasiriamal nchi tatu tofauti sasa kama utapenda kushirikiana nami kupata elimu hii kwa mchango kidogo tu.

Karibu tuta jifunza kutengeneza sabuni za unga,sabuni ya ukwaju, sabuni ya kuogea, sabuni za miche, mishumaa, chaki, pipi, kilimo cha mboga mbog na matunda, dawa za usfi, ufugaji wa samaki, air fres, perfume, mapishi ya keki za harusi, pipi, na vingine vingi tu.

Pia utalipia pesa kidogo kupata kitabu cha muongozo na maelekezo yote pia utapata msaada wa kutafutiwa material za kufanyia kazi. Tuma sms kwenye no hii 0689606603 kwa wale watumiaji wa whtssp 0753 606 603 mshauri wa vijana
 
Back
Top Bottom