Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

WanaJF,

Naitaji kuanza kutengeneza sabuni za kufulia kama B 29, Star ya Uganda, Komesha n.k, mimi niko Mwanza na tatizo litakalonikwamisha ni soko sababu mwanzo ni mgumu. Naomba niwasilishe kwenu kwa maoni na ushauri zaidi.
 
sabuni bado zipo za kutosha ,tunaendelea kupokea oda
 
Heshima kwenu wadau.

Naomba masada wenu kama kuna yeyote anayejua jinsi ya kutengeneza JASIMINI ile ya kusafishia chooni.

Natanguliza shukrani.
 
Pelham 1,

Mkuu Pelham,hata mimi nilikua na wazo juu ya kiwanda hiki,unaweza ni PM nikupe clue nilipofikia juu ya utafit wangu, tunaweza chochote.
 
Kuna jamaa wanauza artsnd craft wamenipa appointment ya kuwaona j'pili baada ya hapo tutawasiliana, so kama wakiomba sampo unaweza kuituma??? Let me know
 
U Wa Zima Wanajamii. Ntaka Kujua Jinsi Ya Kutengeneza Sabuni Ya Unga Na Ya Mche.ni Matilio Gani Yanahitajika?nawasilisha Kwenu.
 
BATIKI ZA MASHATI na TSHIRT
Kwa kufuata sheria ya kuu ya tie dye ambayo inakutaka kukunja malinda kwa mtindo wa nje ndani au mbele nyuma, hata kwa nguo yoyote iwe tshirt au shati utatakiwa kukunja kwa mtindo huo kutegemeana na ubunifu wa ua unalolitaka. Kisha utafunga kwa kamba na kuchovya kwenye rangi iliyoandaliwa kama hapo juu.

MIKUNJO MBALIMBALI YA TSHIRT
DUARA
Ambapo unakunja katikati kisha unaweka alama namna hii.

1.png
kutengeneza malinda kama inavyoonekana katika picha hii hapo chini.

2.png
Kisha funga sehemu husika ambapo patapata rangi. Angalia picha hii.

3.png

Kwa picha na maelezo zaidi, tembelea CHANZO: ISHI MAISHA YAKO
 
Asante sana kwa elimu hii, Mimi mwenyewe nipo kwenye huo mpango wa kutengeneza batiki.

Naomba anaefahamu wapi nitapata malighafi za kutengenezea batiki anisaidie Mimi nipo Dodoma mjini, nimeenda sido wamesema huwa hawauzi na nimejaribu kuulizia madukan nako vivyo hivyo.

Naomba msaada kwa hilo.
 
Habari

Kutokana na maombi ya wengi na umuhimu wa utengenezaji na matumizi ya sabuni za unga katika maisha ya kila siku ya mwanadamu, nimeona nitoe mafunzo ya jinsi ya utengenezaji wa sabuni za unga.

Kumekuwa na mafunzo mbali mbali yanayokuwa yanatolewa nchi nzima na watu mbalimbali ambao hufundisha utengenezaji wa sabuni za ungaambapo imekuwa ni vigumu kwa wajasiriamali wengi kuanzisha biashara zao kwa kuwa ni list ndefu ya malighafi nyingi wanafundishwa lazinma wazitumie ili kuweza kutengeneza sabuni hizo. Hiyo ni kwa kuwa wanaambiwa hivyo kwa kuwa wasambazaji hao wa malighafi ndio wanaotoa hayo ,afunzo. Hivyo ni faida kwao.

Natoa mafunzo ya jinsi ya kutengeneza sabuni za unga kwa kutumia malighafi tatu tu. Hivyo inakuwezesha kupata faida karibu mara mbili ya gharama ya uzalishaji. Mafunzo haya yanapatikana katika kitabu nilichokiandika kutokana na uzoefu wangu katika biashara hii kwa kuwa nilikuwa naifanya kabla sijaanzishabiashara nyingine ya kutengeneza mkaa wa kisasa. Bei ya kitabu ni sh. 20,000 ambapo nakutumia kitabu katika email kama attachment nae unanitumia pesa kwa mpesa ya namba hii 0758 308193. Ntakuunganisha na wasambazaji wa malighafi, vifungashio, kukupa mbinu za masoko, ntakuunnganisha na mwenye kiwanda cha sabuni za mche ukajifonee na ntakutumia mafunzo mengine free ambayo nimekuwa nikiyatoa kwa miaka kadhaa sasa.

Nipigie tuzungumze.
 
Jamani wanajamii natafuta mtaalamu anaejua kutengeneza sabuni za miche nitamlipa nataka anisaidie tufanye nae kazi hiyo kwa namna tutakavyokubaliana. 0657 236094
 
Natafuta mtu mwenye utalaamu na uzoefu wakutengeneza sabuni za miche zenye kiango kizuri na anaeweza kutengeneza itoke katika rangi na kiwango ninachotaka nataka kufungua kiwanda changu kidogo cha sabuni za miche malipo tutakubaliana vizuri tu kama yuko vizuri katika kazi hiyo. 0657 236094
 
Dah. .natamani hicho kitabu kama kweli kipo. .ila natuma pesa tu ukisepa je? Sema vinapatikana wapi tuje. .
 
Ili iitwe sabuni inatakiwa:

- Ngumu kuiisha
- Yenye povu jingi
- Nyeupe

VIAMBATA VYA kutengenezea sabuni
1 )Mafuta-mawese,mise,wanyana
2) Maji
3) Caustic soda(costiki soda)

VIFAA VYA KUTENGENEZEA
- Ndoo za plastiki lita 20 nne
- Diaba 1
- Mti wa kukorogea
- Mashine ya kukorogea
- Box la kugandishia
- Mhuri wa biashara
- Mzani wa saa
- Vibao vya kukatia

VIFAA VYA USALAMA
- Mask
- Groves
- Gum boots
- Goggles (miwani)
- Overall
- Ndoo ya maji au mchanga

FORMULA
- Mafuta lt1+caustic soda grm135+maji mls350+sodium siligate prm100

KUCHANGANYA
Pima maji ktk ndoo ya plastic kisa weka caustic soda ktk maji weka kidogokidogo huku ukikoroga mpaka itakapo yeyuka.mchanganyiko huu unaweza kuchemka na kutoa mosh usiogope. acha ipoe kuanzia masaa 8 nazaidi.

KUCHANGANYA NA MAFUTA
Yeyusha mafuta kwa kuyapasha joto kidogo ambapo unaweza kuyashika, tia sangi na mimina kidogo2 kuchanganya michanganyiko huku ukikoroga. Mimina kwenye box la kugandishia acha igande tayari kwa kukata. Pia weka sodium siligate.
 
Back
Top Bottom