Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

iv ktk mafuta lita20 zinaingia grm ngp za caustic soda na sodium siligate kiasi gn? pamoja na maji lita ngp?

Naomba mwongozo mkuu
 
Nina ndoto kama hii miaka namiaka kuna siku nitaibuka pale cdo kujifunza zaidi.
Ivi mmashine wana uza shilingi ngapi.
 
niPm ukihitaji sabuni ya maji bei nafuu sabuni nzuriiii
 
Ili iitwe sabuni inatakiwa
-Ngumu kuiisha
-Yenye povu jingi
-Nyeupe
VIAMBATA VYA kutengenezea sabuni
1)Mafuta-mawese,mise,wanyana
2)Maji
3)Caustic soda(costiki soda)
VIFAA VYA KUTENGENEZEA
-Ndoo za plastiki lita 20 nne
-Diaba 1
-Mti wa kukorogea
-Mashine ya kukorogea
-Box la kugandishia
-Mhuri wa biashara
-Mzani wa saa
-Vibao vya kukatia
VIFAA VYA USALAMA
-Mask
-Groves
-Gum boots
-Goggles (miwani)
-Overall
-Ndoo ya maji au mchanga
FORMULA
-mafuta lt1+caustic soda grm135+maji mls350+sodium siligate prm100
KUCHANGANYA
pima maji ktk ndoo ya plastic kisa weka caustic soda ktk maji weka kidogokidogo huku ukikoroga mpaka itakapo yeyuka.mchanganyiko huu unaweza kuchemka na kutoa mosh usiogope. acha ipoe kuanzia masaa 8 nazaidi
KUCHANGANYA NA MAFUTA
yeyusha mafuta kwa kuyapasha joto kidogo ambapo unaweza kuyashika, tia sangi na mimina kidogo2 kuchanganya michanganyiko huku ukikoroga. mimina kwenye box la kugandishia acha igande tayari kwa kukata.Pia weka sodium siligate
Hizo material kama caustic soda vinapatikana wapi mkuu?
 
Napenda sana utengenezaji wa sabuni tatizo sabuni za kujitengenezea ukiweka juani inayeyuka pia zinakwisha haraka yaani ni laini sana je hizo unazofundisha zikoje? Ni sabuni bora
 
Ninapenda bidhaa ya sabuni kwa kuwa ni muhim kwa matumizi ya kila siku kwa mtu yeyote tatizo ni ubora wa sabuni ,ndiyo maana wengi tunajifunza mwisho wa siku hamna kitu hesabu ya faida inakataa
 
Back
Top Bottom