Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
unasemaje?? nipigie kwa 0754533543 niko Mwanza jijiniMkuu naomba uni dm please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unasemaje?? nipigie kwa 0754533543 niko Mwanza jijiniMkuu naomba uni dm please
Soma thread yote mkuu, inamaelezo yote, niko tight sana na research mkuu.Naomba mwongozo kwa mtoa mada
Mkuu naomba ufute no yangu ya cm nasumbuliwa sanaHahahaha sawa mkuu tuna subiria utupe tena darasa
Mbona sins namba yako ya simMkuu naomba ufute no yangu ya cm nasumbuliwa sana
angalia thread au post ya pili ulini kot kuna namba ya cm mkuuMbona sins namba yako ya sim
majirani, marafiki, wafanyakazi wenzio n. ksoko?
Hizo material kama caustic soda vinapatikana wapi mkuu?Ili iitwe sabuni inatakiwa
-Ngumu kuiisha
-Yenye povu jingi
-Nyeupe
VIAMBATA VYA kutengenezea sabuni
1)Mafuta-mawese,mise,wanyana
2)Maji
3)Caustic soda(costiki soda)
VIFAA VYA KUTENGENEZEA
-Ndoo za plastiki lita 20 nne
-Diaba 1
-Mti wa kukorogea
-Mashine ya kukorogea
-Box la kugandishia
-Mhuri wa biashara
-Mzani wa saa
-Vibao vya kukatia
VIFAA VYA USALAMA
-Mask
-Groves
-Gum boots
-Goggles (miwani)
-Overall
-Ndoo ya maji au mchanga
FORMULA
-mafuta lt1+caustic soda grm135+maji mls350+sodium siligate prm100
KUCHANGANYA
pima maji ktk ndoo ya plastic kisa weka caustic soda ktk maji weka kidogokidogo huku ukikoroga mpaka itakapo yeyuka.mchanganyiko huu unaweza kuchemka na kutoa mosh usiogope. acha ipoe kuanzia masaa 8 nazaidi
KUCHANGANYA NA MAFUTA
yeyusha mafuta kwa kuyapasha joto kidogo ambapo unaweza kuyashika, tia sangi na mimina kidogo2 kuchanganya michanganyiko huku ukikoroga. mimina kwenye box la kugandishia acha igande tayari kwa kukata.Pia weka sodium siligate
Miss Salt heshima yako.Njoo nkufundishe
Kariakoo kwa Dar es salaamHizo material kama caustic soda vinapatikana wapi mkuu?
Bado unahitaji?
Soon tutaonana..... Tutayamaliza 😛mie nahitaji mama
Soon tutaonana..... Tutayamaliza 😛