Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
Je inakuwa na ubora kama haya makampuni makubwa mana naona makampuni makubwa yanazidi kupeta sioni ushindani
Wapi napata kemikali ya Salicylic Acid kwa hapa Dar?Muzeiya karibu sana katika ukumbi wa ujasiliamali katika nyanja hiyo niko bomba ile mzuri waweza kinipata kwa {safariwafungo@yahoo.com} tuwasiliane tuweze fanya kazi mzee, na kwa wale wenye kutaka ku-invest in manufacturing industry and the like please let work together i have a huge exposure academically and in experience wise!
Kariakoo mtaa wa gerezani. Kwa mama mwindiWapi napata kemikali ya Salicylic Acid kwa hapa Dar?
Asante kwa maelekezo yako, Tafadhali kama unaweza kunipatia mawasiliano ya huyo Muuzaji ao ya ofisini.Kariakoo mtaa wa gerezani
Kwa mama mwindi
Hapana sina.Asante kwa maelekezo yako, Tafadhali kama unaweza kunipatia mawasiliano ya huyo Muuzaji ao ya ofisini.
Wapi napata kemikali ya Salicylic Acid kwa hapa Dar?
Asante sana kwa maelekezo, nitakwenda.Kemikali hiyo ngumu kupatikana nadhani. Hebu wacheki Lab Equip pale opposite Channel 10
Niko seriously Sana naomba formula MKUU. My email: lubangoseni@gmail.comKutengeneza sabuni ni kupata malighaafi kama Alkali, mafuta, n.k Kama uko serious nitakupa formula zote
sabuni ya unga unaweza nifundisha na kunieleza upatikanaji wa raw material??Kwa ufupi mpendwa hapo juu amesaidia sana maelezo ila mimi ningependa kama upo dsm naweza kuja kukufundisha.0717539573 ila ukipata semina ya Dr.Lunyungu ni nzuri kwani hata mimi ni zao lake.
number yako ya simu tafadhaliHabari
Kutokana na maombi ya wengi na umuhimu wa utengenezaji na matumizi ya sabuni za unga katika maisha ya kila siku ya mwanadamu, nimeona nitoe mafunzo ya jinsi ya utengenezaji wa sabuni za unga.
Kumekuwa na mafunzo mbali mbali yanayokuwa yanatolewa nchi nzima na watu mbalimbali ambao hufundisha utengenezaji wa sabuni za ungaambapo imekuwa ni vigumu kwa wajasiriamali wengi kuanzisha biashara zao kwa kuwa ni list ndefu ya malighafi nyingi wanafundishwa lazinma wazitumie ili kuweza kutengeneza sabuni hizo. Hiyo ni kwa kuwa wanaambiwa hivyo kwa kuwa wasambazaji hao wa malighafi ndio wanaotoa hayo ,afunzo. Hivyo ni faida kwao.
Natoa mafunzo ya jinsi ya kutengeneza sabuni za unga kwa kutumia malighafi tatu tu. Hivyo inakuwezesha kupata faida karibu mara mbili ya gharama ya uzalishaji. Mafunzo haya yanapatikana katika kitabu nilichokiandika kutokana na uzoefu wangu katika biashara hii kwa kuwa nilikuwa naifanya kabla sijaanzishabiashara nyingine ya kutengeneza mkaa wa kisasa. Bei ya kitabu ni sh. 20,000 ambapo nakutumia kitabu katika email kama attachment nae unanitumia pesa kwa mpesa ya namba hii 0758 308193. Ntakuunganisha na wasambazaji wa malighafi, vifungashio, kukupa mbinu za masoko, ntakuunnganisha na mwenye kiwanda cha sabuni za mche ukajifonee na ntakutumia mafunzo mengine free ambayo nimekuwa nikiyatoa kwa miaka kadhaa sasa.
Nipigie tuzungumze.
Nimepiga hizo number ya tigo nimemuuliza naongea na kampuni ya Tanzania bussiness creation? akasema sio, number ya Voda nimepiga wanasema hiyo number haipo. Air tel haipatikani, ninashida na hiyo idea nataka kuonana na watu ain hiyo ili nipate msaada wao.Kuna hawa jamaa wa Tanzania Business Creation Company wanatoa semina kwa wajasiriamali wanaotaka kumiliki viwanda vidogo vidogo. Mafunzo wanayotoa ni pamoja na utengenezaji wa:
sabuni za kufulia na kuogea
sabuni za maji
shampoo za kila aina
dawa za viatu
bleaching agent
petrolleam jelly etc.
waweza wasiliana nao kwa simu 0715851665 / 0784851665 / 0765871665
Pia wanayo mitambo ambayo wanatengeneza wenyewe na kuiuza kwa ajili ya kutengenezea sabuni za miche. Wako Sinza Mori
Jaribu SIDONimepiga hizo number ya tigo nimemuuliza naongea na kampuni ya Tanzania bussiness creation? akasema sio, number ya Voda nimepiga wanasema hiyo number haipo. Air tel haipatikani, ninashida na hiyo idea nataka kuonana na watu ain hiyo ili nipate msaada wao
Pia mcheki huyu mkemia mstaafu 0713-039875Jaribu SIDO
[emoji252] [emoji479]
Imekuwa muda kidogo, labda hawapo tena mkuuNimepiga hizo number ya tigo nimemuuliza naongea na kampuni ya Tanzania bussiness creation? akasema sio, number ya Voda nimepiga wanasema hiyo number haipo. Air tel haipatikani, ninashida na hiyo idea nataka kuonana na watu ain hiyo ili nipate msaada wao