Naombeni msaada kujua soko la uzalishaji sabuni za Miche,Maji na Dawa za kuuwa wadudu:
1. Mashine za utengezaji zinapakana wapi, bei gani na uwezo wa mashine katika kulazalisha kwa siku
2. Malighali inayotumika ni ipi? wananunua wapi? Be za malighafi?
3. Soko kuu la sabuni: zenye kiwango na zisizo na kiwango ni lipi!
4. Viwanda vya wazalendo na viwanda vya wageni?
5. Ushindani wa soko: je, washindani wa kuu ni wa ngapi?
6. Bei za washindani: Reja reja na jumla kwa aina za sabuni zilizopo
7. Je kuna wazalishaji wa kitanzania wanauza sabuni nje ya nchi?
8. Mitambo ama mashine za kutengeza sabuni zinapatikana wapi? zinaagizwa nje? tsh ngapi ama dola ngapi na ina uwezo gani wa kuzalisha?
9. Aina ya malighafi inayopendwa na watumiaji wa sabuni kwa lika ni ipi?
10. Gharama za msingi za uendeshaji wa mashine au kiwanda kidogo cha sabuni ni zipi?
11. Muundo wa uongozi/uzalishaji wa sabuni ukoje?
12. Kwa Dar es salaam, viwanda vya sabuni viko wapi?
13. Taratibu za kupata viwango: TBS na BAR CODE ukoje? gharama ni kiasi gani? ofisi husika?
14. Aina za sabuni zilizopo sokoni za (miche, maji, dawa)
15. Vifungashio vya sabuni za maji na vya sabuni za vipande vilivyo na kiwango vipatikana wapi? gharama ni tsh ngapi kwa bei ya jumla na reja reja?
Nataguliza shukrani za dhati kwa msaada wenu.