Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa sana ,,, kesho naenda kko kununua na kutengeenezasulphonic acid lita/kilo1
sless 1/2 lita /kilo
chumvi mawe 1/2 kilo
sodq ash 1/2 kijiko
Maki lita 17 -18
Angarolsless ndo nini mkuu
please nisaidie hizo notes za sabuninipiem email yako,tuwasiliene ili nikutumie full notes about that! Nondo zipo za kila aina ya sabuni.
0673114461! Nitumie email yako au angalia katika thread zangu.
Nami nitumie kwa email yangu robemongi@yahoo.comNitumie email yako kupitia 0673114461
nipiem email yako,tuwasiliene ili nikutumie full notes about that! Nondo zipo za kila aina ya sabuni.
Pls naomb unitumie hizo process na mm through eligikaroli0@gmail.com pls guynipiem email yako,tuwasiliene ili nikutumie full notes about that! Nondo zipo za kila aina ya sabuni.
Uzalishaji sio tatizo, tatizo ni soko la hiyo bidhaa.
Naitaka hii biashara, nitakuchekiHabari. Anzisha kiwanda cha kutengeneza sabuni za Maji aina zote km shower gel, ya kunawia mikono na ya kufulia. Unahitaji mashine km hii pamoja na malighafi. Unahitaji kuwa na sh. Laki 7 kwa ajili ya kununulia mashine hiyo ya umeme yenye mota yenye spidi kubwa. Ukinunua mashine utapewa mafunzo ya vitendo ya kutengeneza sabuni ya Maji. Ukishatemgeneza utapack ktk vifungashio km hiki hapo chino na kuweka nembo yako. Kwa maelezo zaidi wasilianacnami 0758 308193
Mashine inazalisha Lita 100 kwa dk 5
![]()