Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Nashukuru sana, je mahitaji yote yanapatikana wapi?
 
Halafu msaada, nikishatengeneza sabuni na kuweka kwenye chupa za lita moja moja, je ninachapisha wapi label zangu? Kwa kuwa huwezi kuuza kitu bila kuwa na label (nembo) ya biashara, nifanyeje?
 
Halafu msaada, nikishatengeneza sabuni na kuweka kwenye chupa za lita moja moja, je ninachapisha wapi label zangu? Kwa kuwa huwezi kuuza kitu bila kuwa na label (nembo) ya biashara, nifanyeje?
Nine design labels. Ni pm
 
Aab.jpg
 
Sabuni ya maji ni Sabuni inayopendwa na watu wengi sana katika shughuli mbalimbali kama vile kufulia,kuoshea vyombo,magari ,kutumika katika shughuli za usafi na mambo mengine mbalimbali na Sabuni hii inaweza kumletea MTU faida Mara mbili hadi tatu kulingana na kuwa Sabuni hii mtaji wake mkubwa ni maji .
NOTE:Sabuni nyingi za maji zimekosa ubora kwa sababu ya watengenezaji wake kutozingatia hatua na vipimo maalumu Vya utengenezaji wa bidhaa hiyo hivyo basi na kufablnya Sabuni hiyo ikose ubora wake na kubakia kuwa kama maji yaani Sabuni isiyokuwa na uzito unaofaa

NINI KIFANYIKE ILI KUPATA SABUNI YENYE UBORA?

fuatana nami hatua kwa hatua jinsi ya utengenezaji wa bidhaa hii adhimu

MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA
1.Maji Lita nane
2.salphoniki asidi vijiko sita Vya chakula
3.sodash vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo lita koroga
4.CMC vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo Lita koroga
5.silesi nusu Lita
6.formalin kijiko kimoja cha chai
7.grycerlin vijiko 12 Vya chakula
8.rangi ya Sabuni ya maji robo kijiko cha chai
9.perfume kijiko kimoja cha chai au viwili
10 .chumvi maalumu au waweza tumia ya kawaida ukiikosa hiyo chumvi maalum kipimo ni robo Lita au zaidi weka polepole kwa kunyunyiza mpaka itakapokuwa nzito.mwisho koroga dakika nane mfululizo kuelekea upande mmoja tu
NOTE: Unapoweka kitu kimoja baada ya kingine zipishane dakika tatu tatu ,na koroga kwa kuelekea upande mmoja tu bila ya kugeuza au kusimama mpaka utakapomaliza .baada ya hapo Sabuni yako itakuwa tayari kwa matumizi


Kwa maswali mbalimbali na VITABU Vya utengenezaji bidhaa hizo wasiliana na 0743550599 kitakufikia ulipo kwa email au njia ya whatsap
Asamte sana kwa mafunzo mazuri.Binafsi natamani kujua jinsi ya kutengeneza sabuni za magadi at mawingu.
Je, utanisaidiaje katika hili. Vitabu vinavyohusu hilo mnavyo?
 
Habari wadau,
Naomba mwenye ujuzi wa biashara ya kutengeneza sabuni za miche anisaidie,natamani kufanya biashara hii naomba mwenye kuifahamu anisaidie mwangaza kidogo.Mahali yanapopatikana malighafi ,bei za malighafi izo,upatikanaji wa vifaa vya kutengenezea,changamoto na faida zake.
Asanteni
 
Mkuu biashara2000, Huu uzi bado upo? Mafunzo bado yapo au yalisitishwa??
 
Mkuu Biashara 2000 vp kuhusu huo mkaa wa kisasa mafunzo yake yana patikana?
 
Weka mchanganuo tujue faida unapata vipi..tununue kitabu
 
SABUNI YA UNGA

MALIGHAFI

i. Sodash kg 3
ii. Sodium metasaket kg 1
iii. CPP kg 1
iv. Salphonik asid lita 1
V. Optical brighter gm 50
vi. Nausa gm 50
vii. Stivson vijiko viwili vya chakula
viii.p Pfyum kijiko kimoja au viwili vya chai
IX. Besen la plastic

JINSI YA KUTENGENEZA
1. Andaa malighafi zote na vipimo vilivyotajwa hapo juu namba moja hadi nane
2. Andaa beseni lako la plastic
3. Andaa mwiko
4. Anza kuchanganya kwa kuweka kimoja baada ya kingine na kuchanganya vizuri
5. Changanya kwa kutumia mwiko wa kujengea
6. Changanya kwa dakika tano hadi ishirini mpaka ichanganyike vizuri
7. Baada ya kuchanganya anika katika kivuli
8. Baada ya kukauka pima na anza kuuza.
 
Back
Top Bottom