Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

Nakukubali mwamba Kwa habar nyeti kutoka maktaba
 
Mama ameanza kufuata njia safi ya utendaji kazi iliyoachwa na mtangulizi wake ili kuongeza ufanisi kazini. Wale wote wanaofanya kazi kwa mazoea, kama kina januari, piga chini; hakuna kubembelezana.
 
Hapa meunga mkono
 
Mama ameanza kufuata njia safi ya utendaji kazi iliyoachwa na mtangulizi wake ili kuongeza ufanisi kazini. Wale wote wanaofanya kazi kwa mazoea, kama kina januari, piga chini; hakuna kubembelezana.
Mtangulizi ndo aliharibu nchi aliwahi fukuza mkurugenz kwa kugombea naye demu .hawa wote wana kesi mahakaman mama anafanya kazi kwa kalamu na ripoti .yule alikuwa anaaibisha watumishi hadharani kwa umbea wa nyoka
 
Mtangulizi ndo aliharibu nchi aliwahi fukuza mkurugenz kwa kugombea naye demu .hawa wote wana kesi mahakaman mama anafanya kazi kwa kalamu na ripoti .yule alikuwa anaaibisha watumishi hadharani kwa umbea wa nyoka
Mbona na hawa wamewekwa hadharani mpaka na huku jf tumewaona? Au kuanikwa jf siyo kuwekwa hadharani? Tena wametenguliwa mama akiwa ugenini, lakini huku home tukajua, hivi hiyo siyo hadharani?
Btw, issue ya msingi ni kupigwa chini watumishi wasiowajibika.
 
Hawajawekwa jf ,jf wamecopy kutoka taarifa za ikulu.magu alikuwa anaweza kukufukuza kazi kisha umeulizwa idadi ya vifaranga vya samaki ziwan .ukamjibu mkuu mpaka nisome takwimu unafukuzwa kwa tv tena anauliza nimtumbue nisitumbue hapo mke na watoto wako wanakuangalia baba live wakiwa kwako sebuleni
 
Nafasi zao zitashikwa na wafuatao

Bwana Idd Mrisho

bwana Juma Khamis

bi husna Rajabu

Na bi Shamsa nasoro

Jamani, nabashiri tuu
Kwakuwa waliotenguliwa ndio wenye haki ya kuongoza nchi hii kama ilivyoandikwa kwenye katiba.
 
watumbuane wasitumbuane kwani inawahusu nini watu na maisha yao magumu? kimsingi ni wale wale wakiuana sawa tu maana hawana impact yoyote katika well being ya watanzania hawa masikini.
 
Siku zote Nabii huwa hakubaliki kwao.
 
Nafasi zao zitashikwa na wafuatao

Bwana Idd Mrisho

bwana Juma Khamis

bi husna Rajabu

Na bi Shamsa nasoro

Jamani, nabashiri tuu
Umewaza mbali, yaweza kuwa. Ila poti wangu Paskali Manjaa asikose maana kapambania sana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…