Humu watu mnadanganyana mpaka mnakera. Vigumu sana kuwasaidia...
diagnosis za myoma ni kupma Hb iwapo itakuwa ndogo below normal range <12g/dl na upt kusoma -ve hii inaweza ikawa njia kubwa yakupma fibroids...pia ultrasonography inatumika ku confirm ugonjwa.
sja maanisha kuwa UPT kuwa +ve ina maanisha una fibroid . bali Upt inapo -ve na mtu anakuwa ana jihisi ako +ve ya pregnacy ndipo hapo sasa inapo kuwa njii za mwanzo zaku suspect fibroid.
rudi kwenye immunological investigation kama ulisoma Medical...ukajikumbushie criterias for pregnancy investigation.
diagnosis za myoma ni kupma Hb iwapo itakuwa ndogo below normal range <12g/dl na upt kusoma -ve hii inaweza ikawa njia kubwa yakupma fibroids...pia ultrasonography inatumika ku confirm ugonjwa.
Huyo mtoto anakuwa hai au inakuwaje????
Anakuwa hai lakn maranyingi anakuwa na uzito pungufu
Unakawaida ya kutumia kitanzi au ulishawahi kuweka??
Previous post ulisema one of the causes of myomas ni prolonged exposure to unopposed oestrogen,, sasa basis ya kutoa "hormonal oestrogen" ni nini? what is "inj. hormonal oestrogen" by the way?ohh huwaga tunawapa injection ya hormone oestrogen fibroid ikiwa ndogo, ila ikishakomaa huwa hamna altenative way ya kufanya zaidi ya surgery.
Mcheki kwa whatsapp. Japo mi hajawahi kunijibu ila nadhani wapo wengine ambao huwa anawajibu, so unaweza kuwa mmoja wao.Mbona hiyo namba naona kama ni ya nchi za nje? Hauna branch hapa Tanzania?
Sihawahi kukujibu mkuu ISLETS umesha wahi kuni add kwenye What's App yako? mimi huwa ninazungumza kila siku na Watu 200 kwenye What's App na wote ninawajibu mpaka mkono kuandika unauma itakuwa wewe Mkuu umeuliza lini swali lako sijakujibu?Mcheki kwa whatsapp. Japo mi hajawahi kunijibu ila nadhani wapo wengine ambao huwa anawajibu, so unaweza kuwa mmoja wao.
Sihawahi kukujibu mkuu ISLETS umesha wahi kuni add kwenye What's App yako? mimi huwa ninazungumza kila siku na Watu 200 kwenye What's App na wote ninawajibu mpaka mkono kuandika unauma itakuwa wewe Mkuu umeuliza lini swali lako sijakujibu?