Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Habari wana JF,nahitaji msaada wa haraka jamani,nimekaa nikiteseka na fibroids kuanzia 2007 na nimeishatoa Mara mbili,Nina multiple fibroids...sasa imefika kipindi nashindwa hata Kushika mimba sababu hiyo sababu imeota Katika kizazi,jamani nimechoka sana sasa hivi nadhan labda nigeukie dawa za kienyeji tafadhali Kwa yoyote anaefahamu naomba msaada...

nina wifi yangu alikua nahilo tatizo mpaka amefikisha 45 years hakupata mtoto alienda kwenye hospitali moja ya miti shamba pale sinza akatibiwa kwa muda wa miezi sita tatizo limekwwisha kabisa na sasa ana mtoto wa kiume ana miezi saba,gharama zao ni kubwa kidogo ila matibabu yao ni ya uhakika, namba za huyo dokta hizi hapa 0754464525 anaitwa dokta kibona wasiliana nae atakuelekeza hospitali zao zilipo watakufanyia vipimo na watakupa tiba
 
Pole sana! Unatakiwa kupunguza uzito kama ni mnene sana, kuacha kunywa pombe kama unatumia,acha red meet na utafute phyto nutriends zitakazokusaidia kupunguza visababishi vya hizo vimbe ikiwa ni pamoja na
arctic sea tabs
bee pollen
pro 6
aloe berry necta
hiz zitakusaidia kukausha fibroid, ni gharama kidogo lakin zinafanya kaz vinzuri sana! Unaweza kuni pm kwa ushauri zaidi
 
wanajamvii naomba muongozo wa kujua gharama za matibabu ya fibroid kwa njia ya embolization hapa tanzania na wapi. ni urgent please!
 
Tanzania hakuna sehemu wanayofanya. Lakini tiba yenyewe pia sio nzuri, haina market sehemu nyingi Europe pia hawafanyi. Ni tiba ambayo bado kwa kiasi kikubwa iko kwenye utafiti.
 
hi wapendwa, kama miaka miwili imepita nilifanyiwa operation ya multiple fibroids, Sina mtoto bado,ila nilipata ujauzito last year on june lakini mwezi wa nane ukatoka,sasa since then sijawahi kupata ujauzito tena,am too worried, na pia wasiwasi wangu mkubwa nilisoma somewhere kwamba fibroids might come back after some years,kuna ukweli wowote? please msaada.
 
Kama kuna anaye fahamu clinic iliyopo Ilala inayotoa tiba ya dawa asilia za vidonge kutibu fibroids naomba anifahamishe jina la clinic na sehemu ilipo hapo Ilala, kuna mtu amepata tiba huko na kupona ila hapakumbuki vizuri. Asanteni
 
Huwezi kupona fibroid kwa mitishamba labda haikua fibroid,,dawa ni kuitoa yenyewe....utanisamehe kw kauli zangu ..kiukweli jamaa wanapotosha watu halafu kama kawaida nchi yetu pasent kubwa tunaamini ushirikina acheni wale hela zenu siku mkishtuka itakua ahueni yenu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari zenu wanajanvi,,
Kwa wale wataalam naombeni mnisaidie tafadhali,mwanamke anapofanyiwa upasuaji wa kuondolewa uvimbe kwenye kizazi ( fibrods ) inashauriwa akae kwa muda gani ndipo abebe mimba ?
 
Habari zenu wanajanvi,,
Kwa wale wataalam naombeni mnisaidie tafadhali,mwanamke anapofanyiwa upasuaji wa kuondolewa uvimbe kwenye kizazi ( fibrods ) inashauriwa akae kwa muda gani ndipo abebe mimba ?

Daktari aliyefanya upasuaji ndiye mwenye kuweza kushauri vizuri baada ya muda gani. Fibroid zinatofautiana..kuna wenye ndogo ndogo lakini nyingi nyingi..na wenye chache lakini kubwa kubwa. Wingi na ukubwa wa Fibroids ndio unaopelekea ukubwa operation yenyewe. Sasa mtu aliyetolewa Fibroid moja kubwa...si sawa na alitolewa Fibroids 3 ndogo ndogo sehemu tofauti. Nashauri urudi kwa daktari aliyekufanyia upasuaji akushauri kwenye hilo.
 
Habari zenu wana gt,naomba mwenye ushuhuda wa kupona fibroids kwa dr kibona wa shekilango,nimesikia ana dawa za mitishamba zinazotibu fibroids,ndugu yangu amepimwa na kukutwa na fibroids zenye ukubwa wa 4.2cm,dr amemwambia amfanyie upasuaji kuziondoa,nayeye anaogopa upasuaji kwani inasemekana baada ya upasuaji uwezo wa kushika ujauzito huwa ni mdogo zaidi kutokana na kizazi kupata makovu,naametafuta mtoto sasa ni mwaka wa pili bila mafanikio, na hana mtoto hata mmoja.
 
mhh!! wataalam wanakuja

japo namie nasubiri oparetion yng tar 16.3 pale regency!! kuondoa hizo fibrod
 
mhh!! wataalam wanakuja

japo namie nasubiri oparetion yng tar 16.3 pale regency!! kuondoa hizo fibrod

pole mwaya ila kuna dawa rahisi sana yaweza kutumika bila kufanya operation yeyote.
 
Wazungumzia kutoka muheza@Hornet?ni kweli hahitajiki kufanya operation i agree with you
 
Back
Top Bottom